MKUDE ATENGEWA WIKI MBILI SAUZ
![](http://api.ning.com:80/files/SWXdzvDqQaJIsgaKtfGFt1K6kFSbItCwhrISwZWH*Q4UeXuPlSVuFGYPycPkFJjQrnMy5yc5jR96MiXvYgp*fEsGSltPz8oi/Mkude2.jpg?width=650)
Na Hans Mloli Dar es Salaam Kiungo mkabaji wa Simba SC, Jonas Mkude. HATIMAYE sasa yametimia na rasmi kiungo mkabaji wa Simba SC, Jonas Mkude, anatarajia kuondoka nchini Alhamisi ya wiki hii kwa ajili ya kwenda kufanya majaribio ya wikimbili kwenye kikosi cha Bidvest Wits ya Afrika Kusini ‘Sauz’. Mipango hiyo ya mchezaji huyo ilianza kuiva tangu akiwa kambini nchini Ethiopia na kikosi cha timu ya taifa, Taifa Stars...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi27 Jul
Pigo Simba, Mkude nje wiki sita
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NRpz*rV1U-ux0uZwioODkLn-kdBWSLy6izUPtRbVr5NetkXv0sCQQCTG7SK6iFuVuR9WEJbIwVEa7OyFftVMZVUEzbPOLXKE/lucy.jpg)
LUCY KOMBA: NIMEISHI NA MR. WIKI MBILI TU!
10 years ago
BBCSwahili08 Nov
IGAD yaipa S-Sudan wiki mbili.
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-yafSCvfZg1Y/XprICP7pHVI/AAAAAAAAyMs/Dtf0S13nIXY35Vg0eGLt2TnSXVA9QpMQQCLcBGAsYHQ/s72-c/w1240-p16x9-paul_kagame_president_rwanda_0.jpg)
RWAND YAONGEZA WIKI MBILI KUTOTOKA NJE
![](https://1.bp.blogspot.com/-yafSCvfZg1Y/XprICP7pHVI/AAAAAAAAyMs/Dtf0S13nIXY35Vg0eGLt2TnSXVA9QpMQQCLcBGAsYHQ/s400/w1240-p16x9-paul_kagame_president_rwanda_0.jpg)
Hii ni hatua ya pili kali kutangazwa na serikali wiki mbili baada ya amri ya kwanza ya kutotoka nje kutangazwa ghafla usiku wa Machi 21 na kuanza kutekelezwa asubuhi yake.
Wakati huo Rwanda ilikuwa imeripoti kuwa na wagonjwa 17 pekee wa orona, lakini idadi hiyo siku ya Ijumaa iliongezeka hadi 138, huku watu 60 wakithibitishwa...
9 years ago
Mtanzania05 Jan
Leicester City kumkosa Vardy wiki mbili
LONDON, ENGLAND
MSHAMBULIAJI nyota wa klabu ya Leicester City, Jamie Vardy, atakuwa nje ya uwanja kwa wiki mbili kutokana na kufanyiwa upasuaji.
Mchezaji huyo wa nchini England, amefanyiwa upasuaji mdogo wa mtoki, hivyo utamfanya apumzike kwa wiki mbili.
Vardy amekuwa na makali msimu huu kutokana na kuongoza katika upachikaji mabao ambapo hadi sasa ana mabao 15 aliyoyafunga kwenye michuano ya Ligi Kuu na kuifanya klabu hiyo kushika nafasi ya pili katika msimamo wa ligi.
Kocha wa timu ya...
11 years ago
Tanzania Daima18 Mar
Kazi hii haitazidi wiki mbili — Shekifu
MJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba, Henry Shekifu, amesema kuwa endapo mambo mawili yanayoleta ukinzani kwenye Raismu ya Katiba yakipatiwa ufafanuzi, kazi ya kuandika katiba mpya haiwezi kuzidi wiki mbili....
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-VQnTK6-sfUQ/VPmT10ZNUOI/AAAAAAAHIAk/_KWMU8eAz90/s72-c/magufuli(9).jpg)
TBA wapewa wiki mbili kukarabati majengo mawili
![](http://3.bp.blogspot.com/-VQnTK6-sfUQ/VPmT10ZNUOI/AAAAAAAHIAk/_KWMU8eAz90/s1600/magufuli(9).jpg)
Dkt. Magufuli pia ameagiza aliyekuwa meneja wa TBA Mkoa wa Kilimanjaro, Paul Ndossa kusimamishwa kazi mahali alipo ili arejee kujibu tuhuma na kuwajibishwa kwa mujibu wa sheria.
Waziri huyo alitoa agizo hilo wakati akikagua jengo la mkuu wa Wilaya ya Siha mkoani Kilimanjaro...
9 years ago
Michuzi12 Sep
DRFA YAZINDUA KOZI YA WIKI MBILI YA MKOCHA WA LESENI C’
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-gtLtaMzNl9s/VM_mgEz1iZI/AAAAAAACzOY/9KEkHZsBHZY/s72-c/pombe-may14-2013.jpg)
TBA wapewa wiki mbili kukarabati majengo mawili
![](http://3.bp.blogspot.com/-gtLtaMzNl9s/VM_mgEz1iZI/AAAAAAACzOY/9KEkHZsBHZY/s640/pombe-may14-2013.jpg)