Kazi hii haitazidi wiki mbili — Shekifu
MJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba, Henry Shekifu, amesema kuwa endapo mambo mawili yanayoleta ukinzani kwenye Raismu ya Katiba yakipatiwa ufafanuzi, kazi ya kuandika katiba mpya haiwezi kuzidi wiki mbili....
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
MichuziWIKI TATU KUELEKEA FAINALI YA SHINDANO LA TANZANIA MPVIE TALENTS (TMT), WASHIRIKI WENGINE WAWILI WAAGA SHINDANO WIKI HII
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/SWXdzvDqQaJIsgaKtfGFt1K6kFSbItCwhrISwZWH*Q4UeXuPlSVuFGYPycPkFJjQrnMy5yc5jR96MiXvYgp*fEsGSltPz8oi/Mkude2.jpg?width=650)
MKUDE ATENGEWA WIKI MBILI SAUZ
10 years ago
BBCSwahili08 Nov
IGAD yaipa S-Sudan wiki mbili.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NRpz*rV1U-ux0uZwioODkLn-kdBWSLy6izUPtRbVr5NetkXv0sCQQCTG7SK6iFuVuR9WEJbIwVEa7OyFftVMZVUEzbPOLXKE/lucy.jpg)
LUCY KOMBA: NIMEISHI NA MR. WIKI MBILI TU!
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-yafSCvfZg1Y/XprICP7pHVI/AAAAAAAAyMs/Dtf0S13nIXY35Vg0eGLt2TnSXVA9QpMQQCLcBGAsYHQ/s72-c/w1240-p16x9-paul_kagame_president_rwanda_0.jpg)
RWAND YAONGEZA WIKI MBILI KUTOTOKA NJE
![](https://1.bp.blogspot.com/-yafSCvfZg1Y/XprICP7pHVI/AAAAAAAAyMs/Dtf0S13nIXY35Vg0eGLt2TnSXVA9QpMQQCLcBGAsYHQ/s400/w1240-p16x9-paul_kagame_president_rwanda_0.jpg)
Hii ni hatua ya pili kali kutangazwa na serikali wiki mbili baada ya amri ya kwanza ya kutotoka nje kutangazwa ghafla usiku wa Machi 21 na kuanza kutekelezwa asubuhi yake.
Wakati huo Rwanda ilikuwa imeripoti kuwa na wagonjwa 17 pekee wa orona, lakini idadi hiyo siku ya Ijumaa iliongezeka hadi 138, huku watu 60 wakithibitishwa...
9 years ago
Mtanzania05 Jan
Leicester City kumkosa Vardy wiki mbili
LONDON, ENGLAND
MSHAMBULIAJI nyota wa klabu ya Leicester City, Jamie Vardy, atakuwa nje ya uwanja kwa wiki mbili kutokana na kufanyiwa upasuaji.
Mchezaji huyo wa nchini England, amefanyiwa upasuaji mdogo wa mtoki, hivyo utamfanya apumzike kwa wiki mbili.
Vardy amekuwa na makali msimu huu kutokana na kuongoza katika upachikaji mabao ambapo hadi sasa ana mabao 15 aliyoyafunga kwenye michuano ya Ligi Kuu na kuifanya klabu hiyo kushika nafasi ya pili katika msimamo wa ligi.
Kocha wa timu ya...
10 years ago
Habarileo08 Aug
JK aipa wiki mbili Cosota kumaliza kero za wasanii
RAIS Jakaya Kikwete amekipa wiki mbili Chama cha Hatimiliki cha Tanzania (COSOTA) kuhakikisha kinamaliza kero za wasanii hapa nchini ili wanufaike na kazi zao kama ilivyo kwa wasanii wa nje.
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-gtLtaMzNl9s/VM_mgEz1iZI/AAAAAAACzOY/9KEkHZsBHZY/s72-c/pombe-may14-2013.jpg)
TBA wapewa wiki mbili kukarabati majengo mawili
![](http://3.bp.blogspot.com/-gtLtaMzNl9s/VM_mgEz1iZI/AAAAAAACzOY/9KEkHZsBHZY/s640/pombe-may14-2013.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-VQnTK6-sfUQ/VPmT10ZNUOI/AAAAAAAHIAk/_KWMU8eAz90/s72-c/magufuli(9).jpg)
TBA wapewa wiki mbili kukarabati majengo mawili
![](http://3.bp.blogspot.com/-VQnTK6-sfUQ/VPmT10ZNUOI/AAAAAAAHIAk/_KWMU8eAz90/s1600/magufuli(9).jpg)
Dkt. Magufuli pia ameagiza aliyekuwa meneja wa TBA Mkoa wa Kilimanjaro, Paul Ndossa kusimamishwa kazi mahali alipo ili arejee kujibu tuhuma na kuwajibishwa kwa mujibu wa sheria.
Waziri huyo alitoa agizo hilo wakati akikagua jengo la mkuu wa Wilaya ya Siha mkoani Kilimanjaro...