SIMBA YAICHAKAZA KMKM 5-0 ZANZIBAR
SIMBA SC imewafunga mabingwa wa Zanzibar, KMKM mabao 5-0 katika mchezo wa kirafiki kujiandaa na Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara usiku huu Uwanja wa Amaan, Zanzibar.KMKM inayofundishwa na Ally Bushiri ‘Bush’ ambayo Jumatano wiki hii ilifungwa 2-0 na Yanga SC, leo iligeuzwa asusa na Wekundu wa Msimbazi.
Simba SC ilikwenda kupumzika ikiwa inaongoza mabao 4-0, yaliyotiwa kimiani na Amisi Tambwe mawili, Amri Kiemba na Shaaban Kisiga ‘Malone’ moja kila mmoja.
Amri Kiemba ndiye aliyefungua karamu...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
TheCitizen05 Aug
Resurgent Simba face KMKM test in Zanzibar
10 years ago
Mwananchi16 Feb
Simba SC yaichakaza Polisi Moro
11 years ago
Tanzania Daima01 Sep
Simba yaitungua KMKM 5-0
TIMU ya Simba chini ya Kocha wake Mzambia, Patrick Phiri, juzi ilituma salamu kwa timu za Ligi Kuu ya Tanzania bara, baada ya kuwafumua maafande wa KMKM mabao 5-0. Katika...
11 years ago
Tanzania Daima05 Jan
Simba SC, KMKM zarushana kichura
TIMU ya Simba usiku wa leo itashuka dimbani kucheza mechi ya mwisho ya hatua ya makundi dhidi ya maafande wa KMKM katika mfululizo wa michuano ya Kombe la Mapinduzi. Mechi...
11 years ago
Tanzania Daima17 Dec
Simba nayo yajipigia KMKM
WEKUNDU wa Msimbazi, Simba, wameendeleza machungu kwa mabingwa wa soka Zanzibar, maafande wa KMKM, baada ya kuwachapa mabao 3-1 kwenye Uwanja wa Taifa, jijini Dar es Salaam. Kipigo hicho, kinakuja...
11 years ago
Mwananchi12 Dec
KMKM kucheza na Yanga, Simba
10 years ago
Habarileo07 Aug
Kocha wa Simba asifia KMKM
KOCHA Mkuu wa timu ya Simba Dylan Kerr ameimwagia sifa klabu ya KMKM kutokana na kiwango cha wachezaji wake walichokionesha katika mchezo wa kirafiki kati yao uliochezwa juzi. Katika mchezo huo uliochezwa kwenye uwanja wa Amani Simba ilishinda mabao 3-2.
10 years ago
MichuziYANGA YAITANDIKA KMKM YA ZANZIBAR 1-0
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
11 years ago
Mwananchi05 Jan
Simba yawavaa KMKM leo, Mbeya City, Ashanti hoi