YANGA YAITANDIKA KMKM YA ZANZIBAR 1-0
Mshambuliaji wa Yanga, Kpah Sherman akichuana na beki wa KMKM ya Zanzibar, Musa Said katika mchezo wa kirafiki uliofanyika leo kwenye Uwanja wa Taifa Dar es Salaam. Yanga imeshinda 1-0. (Picha na Francis Dande)
Mshambuliaji wa Yanga, Kpah Sherman akichuana na beki wa KMKM ya Zanzibar, Musa Said.
Mshambuliaji wa Yanga, Geofrey Mwashiuya akjimtoka beki wa KMKM, Kassim Abdulkadir.
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboKMKM YA ZANZIBAR YACHAPWA BAO 1-0 KUTOKA KWA YANGA
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-zPJww8X_T5U/UvZE8V_mbWI/AAAAAAAFLxE/QejPno5uC9M/s72-c/MMG20301.jpg)
YANGA YAITANDIKA KOMOROZINE BAO 7-0
![](http://4.bp.blogspot.com/-zPJww8X_T5U/UvZE8V_mbWI/AAAAAAAFLxE/QejPno5uC9M/s1600/MMG20301.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-o9BYBnT0KHU/UvZCKTsSB1I/AAAAAAAFLwg/uqpSIRzwrIE/s1600/MMG20240.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-2-JBCqz_P4U/UvZCKaTFc7I/AAAAAAAFLwc/q_tK1-Lrrrs/s1600/MMG20259.jpg)
9 years ago
MichuziLigi Kuu ya Zanzibar: JKU yaitandika KVZ bao 2-0 katika mchezo uliopigwa Uwanja wa Amaan
Mchezo uliochezwa jioni mabao ya JKU yamefungwa katika kipindi cha kwanza na katika dakika ya 8 mshambuliaji wa Timu ya JKU Mbarouk Chande ameipatia bao timu yake katika dakika ya nane ya mchezo huo kipindi cha kwanza na Bao la ushindi la JKU limepatikana katika kipindi hicho cha kwanza katika dakika ya 35 ya...
11 years ago
Tanzania Daima15 Dec
Yanga yaifyatua KMKM 3-2
MABINGWA wa soka Tanzania bara, Yanga, jana waliwachapa maafande wa KMKM ya Zanzibar mabao 3-2 katika mechi ya kirafiki iliyochezwa Uwanja wa Taifa, jijini Dar es Salaam. Yanga walioanza mchezo...
10 years ago
Raia Tanzania24 Jul
Yanga, KMKM hapatoshi
MABINGWA wa Ligi Kuu Tanzania Bara Yanga na wale wa Zanzibar KMKM wanakutana leo katika mchezo muhimu wa michuano ya Kombe la Kagame inayoendelea jijini Dar es Salaam katika Uwanja wa Taifa.
Mchezo huu ni muhimu, kwasababu mshindi ataungana na Gor Mahia ya Kenya, Khartoum ya Sudan ambao tayari wamejihakikishia kuingia robo fainali katika kundi A baada ya kila mmoja kujipatia ushindi katika michezo ya awali.
Yanga na KMKM wao wana pointi tatu kila mmoja baada ya kushinda michezo moja...
10 years ago
TheCitizen11 Aug
Yanga net KMKM hitman
11 years ago
Mwananchi12 Dec
KMKM kucheza na Yanga, Simba
10 years ago
MichuziKOMBE LA KAGAME: YANGA YAIFUNGA KMKM 2-0
10 years ago
Mwananchi24 Jul
Udugu kando, vita Yanga, KMKM