Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Simba SC yaichakaza Polisi Moro

>Simba imepaa hadi nafasi ya nne katika msimamo wa Ligi Kuu baada ya kuichapa Polisi Morogoro kwa mabao 2-0 jana kwenye Uwanja wa Jamhuri, Morogoro.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

SIMBA HOI KWA POLISI MORO UWANJA WA TAIFA DAR

Kikosi cha timu ya Simba SC kilichoanza dhidi ya Polisi Moro na kuambulia sare ya bao 1-1 Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Kikosi cha timu ya Polisi Moro kilichoanza dhidi ya Simba SC.…

 

10 years ago

Mwananchi

Simba yasaka nne bora mgongoni mwa Polisi Moro

Simba leo inashuka kwenye Uwanja wa Jamhuri mjini Morogoro kukabiliana na wenyeji Polisi Morogoro kutafuta ushindi ambao kwa mara ya kwanza utawawezesha kuingia kwenye nafasi nne za juu kwenye msimamo wa ligi pia kujaribu kuondoa jinamizi la sare linalowaandama msimu huu.

 

10 years ago

Michuzi

SIMBA YAICHAKAZA KMKM 5-0 ZANZIBAR

 SIMBA SC imewafunga mabingwa wa Zanzibar, KMKM mabao 5-0 katika mchezo wa kirafiki kujiandaa na Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara usiku huu Uwanja wa Amaan, Zanzibar.KMKM inayofundishwa na Ally Bushiri ‘Bush’ ambayo Jumatano wiki hii ilifungwa 2-0 na Yanga SC, leo iligeuzwa asusa na Wekundu wa Msimbazi.
Simba SC ilikwenda kupumzika ikiwa inaongoza mabao 4-0, yaliyotiwa kimiani na Amisi Tambwe mawili, Amri Kiemba na Shaaban Kisiga ‘Malone’ moja kila mmoja.

Amri Kiemba ndiye aliyefungua karamu...

 

10 years ago

Vijimambo

NMB BANK YALIPATIA JESHI LA POLISI VIFAA VYA MICHEZO, NI KWA AJILI YA TIMU ZA POLISI DAR NA MORO

Mkuu wa Kitengo cha Wateja binafsi wa benki ya NMB, Bw.Abdulmajid Nsekela( katikati) akimkabidhi vifaa vya Michezo Naibu Kamishna wa Polisi (DCP) Mary Nzuki kwa ajili ya Timu za Polisi ambazo ni Kombaini ya Polisi itakayoshiriki Michezo ya majeshi kwa nchi za kusini mwa Afrika nchini Swaziland pamoja na timu za mpira wa miguu za Polisi Dar es Salaam na Polisi Morogoro.Kulia ni Mkuu wa Kitengo cha Michezo Mrakibu mwanadamizi wa Polisi (SSP) Jonas Mahanga(Picha na Frank Geofray-Jeshi la...

 

10 years ago

Mtanzania

Simba yatakata Moro

SIMBA NA POLISI2TIMU ya soka ya Simba, jana ilizinduka na kuwapa raha mashabiki wake baada ya kuichapa Polisi Morogoro mabao 2-0 katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara (VPL), uliochezwa kwenye Uwanja wa Jamhuri, mjini hapa.
Matokeo hayo yameiwezesha Simba kupanda kutoka nafasi ya tisa hadi ya tatu katika msimamo wa ligi hiyo, baada ya kufikisha pointi 20, kutokana na mechi 14.
Azam ndio waliopo kileleni na pointi 25 baada ya kushuka dimbani mara 13, sawa na Yanga, lakini ‘Wanalambalamba’ hao wapo kileleni...

 

10 years ago

TheCitizen

Simba out to gun down Police Moro

A tricky assignment awaits Mainland giants Simba this afternoon when they take on stubborn Police Morogoro in the Vodacom Premier League match at Jamhuri Stadium in Morogoro.

 

10 years ago

Mwananchi

Polisi Moro yapata viongozi

Polisi Moro SC imemchagua Zuberi Chembera kuwa mwenyekiti atakayeongoza klabu hiyo kwa miaka minne ijayo katika uchaguzi uliofanyika kwenye Ukumbi wa Manispaa ya Morogoro juzi.

 

9 years ago

Mwananchi

Polisi Moro yanyukwa nyumbani

Polisi Moro SC imedondokea pua baada ya kukubali kukung’utwa bao 1-0 na Kurugenzi Mufindi FC ya Iringa katika mchezo wa Ligi Daraja la Kwanza Tanzania Bara uliochezwa Uwanja wa Jamhuri mkoani hapa juzi.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Lipuli yailipua Polisi Moro

LIGI ya soka Daraja la Kwanza (FDL), raundi ya pili, ilianza juzi kwa Lipuli FC kuwapigisha kwata maafande wa Polisi Morogoro kwa kuwaadhibu mabao 3-1 kwenye Uwanja wa CCM Samora...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani