Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Polisi Moro yanyukwa nyumbani

Polisi Moro SC imedondokea pua baada ya kukubali kukung’utwa bao 1-0 na Kurugenzi Mufindi FC ya Iringa katika mchezo wa Ligi Daraja la Kwanza Tanzania Bara uliochezwa Uwanja wa Jamhuri mkoani hapa juzi.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

Kapombe: Naumwa, nipo tu nyumbani Moro

Beki aliyekuwa akikipiga AS Cannes ya Ufaransa, Shomari Kapombe. Na Martha Mboma
BEKI aliyekuwa akikipiga AS Cannes ya Ufaransa, Shomari Kapombe, amesema ameshindwa kufanya mazoezi kwa kuwa amekuwa akisumbuliwa na malaria mara kwa mara. Awali beki huyo alikuwa akicheza Simba na alikwenda kuichezea AS Cannes lakini amesema kwa sasa anatumia muda wake mwingi akiwa Morogoro akijiuguza. Akizungumza na Championi Ijumaa, beki huyo...

 

10 years ago

Vijimambo

NMB BANK YALIPATIA JESHI LA POLISI VIFAA VYA MICHEZO, NI KWA AJILI YA TIMU ZA POLISI DAR NA MORO

Mkuu wa Kitengo cha Wateja binafsi wa benki ya NMB, Bw.Abdulmajid Nsekela( katikati) akimkabidhi vifaa vya Michezo Naibu Kamishna wa Polisi (DCP) Mary Nzuki kwa ajili ya Timu za Polisi ambazo ni Kombaini ya Polisi itakayoshiriki Michezo ya majeshi kwa nchi za kusini mwa Afrika nchini Swaziland pamoja na timu za mpira wa miguu za Polisi Dar es Salaam na Polisi Morogoro.Kulia ni Mkuu wa Kitengo cha Michezo Mrakibu mwanadamizi wa Polisi (SSP) Jonas Mahanga(Picha na Frank Geofray-Jeshi la...

 

10 years ago

Mwananchi

Polisi Moro yapata viongozi

Polisi Moro SC imemchagua Zuberi Chembera kuwa mwenyekiti atakayeongoza klabu hiyo kwa miaka minne ijayo katika uchaguzi uliofanyika kwenye Ukumbi wa Manispaa ya Morogoro juzi.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Lipuli yailipua Polisi Moro

LIGI ya soka Daraja la Kwanza (FDL), raundi ya pili, ilianza juzi kwa Lipuli FC kuwapigisha kwata maafande wa Polisi Morogoro kwa kuwaadhibu mabao 3-1 kwenye Uwanja wa CCM Samora...

 

10 years ago

Mwananchi

Simba SC yaichakaza Polisi Moro

>Simba imepaa hadi nafasi ya nne katika msimamo wa Ligi Kuu baada ya kuichapa Polisi Morogoro kwa mabao 2-0 jana kwenye Uwanja wa Jamhuri, Morogoro.

 

10 years ago

Mwananchi

Yanga, Polisi Moro wachimbana mkwara

Wakati Yanga ikishuka uwanjani leo mjini Morogoro kuikabili Polisi, makocha wa timu hizo wamechimbana mkwara kwa kila mmoja kumwadhiri mwenzake.

 

5 years ago

Michuzi

YANGA YANYUKWA 3-0 NA KMC UWANJA WA UHURU JIJINI DAR

Na Zainab Nyamka

WAMEKAA!!! Mchezo wa Kirafiki kati ya Yanga na KMC imemalizika kwa Yanga kukubali kipigo cha goli 3-0.

Mchezo huo umechezwa leo katika Uwanja wa Uhuru ikiwa ni mchezo wao wa pili wa kirafiki baada ya kupata ushindi wa 3-1 dhidi ya Transit Camp.

Mpira ulianza kwa kasi KMC wakitawala mchezo kwa dakika za mwanzo kabla ya Yanga kubadilisha mchezo na kuonekana kuutawala.

KMC walichukua dakika 31 kuweza kuandika goli la kwanza kupitia kwa Sadala Lipangile akipokea pasi ya Charlse...

 

5 years ago

StarTV

Mtibwa Sugar yaiondosha Polisi Moro kombe la FA

Timu ya maafande wa Polisi Morogoro inayoshiriki ligi Daraja la Kwanza ngazi ya Taifa, imetupwa nje ya michuano ya kombe la Shirikisho, baada ya kushindwa kutamba mbele ya mahasimu wao, wakata miwa Turiani timu ya Mtibwa Sugar, kupitia mikwaju ya Penati. Mchezo huo ulimalizika kwa timu zote mbili kutoka sare ya goli mbili kwa mbili …

 

10 years ago

Mwananchi

Bavicha Moro watoa tamko Jeshi la Polisi

Baraza la Vijana wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Bavicha) Mkoa wa Morogoro, limetoa tamko na kulitaka Jeshi la Polisi kuwachukulia hatua vijana wanaodaiwa kumfanyia fujo aliyekuwa Mwenyekiti wa iliyokuwa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji mstaafu Joseph Warioba.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani