Polisi Moro yanyukwa nyumbani
Polisi Moro SC imedondokea pua baada ya kukubali kukung’utwa bao 1-0 na Kurugenzi Mufindi FC ya Iringa katika mchezo wa Ligi Daraja la Kwanza Tanzania Bara uliochezwa Uwanja wa Jamhuri mkoani hapa juzi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8KGb8vxx0Yl5Ci4-pe6P90otyLo0w68MuV0BsdWkEXNUPVhPJCs5Eh*8BB6lXVxJIVrgKwTnPmY4qykBXXzanBvhwqhCTjxA/kapombe.jpg?width=600)
Kapombe: Naumwa, nipo tu nyumbani Moro
Beki aliyekuwa akikipiga AS Cannes ya Ufaransa, Shomari Kapombe. Na Martha Mboma
BEKI aliyekuwa akikipiga AS Cannes ya Ufaransa, Shomari Kapombe, amesema ameshindwa kufanya mazoezi kwa kuwa amekuwa akisumbuliwa na malaria mara kwa mara. Awali beki huyo alikuwa akicheza Simba na alikwenda kuichezea AS Cannes lakini amesema kwa sasa anatumia muda wake mwingi akiwa Morogoro akijiuguza. Akizungumza na Championi Ijumaa, beki huyo...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-YfeWR9TFKNI/Va0De2WQO_I/AAAAAAAAWak/82cqhBYxmNo/s72-c/1%2B%25281%2529.jpg)
NMB BANK YALIPATIA JESHI LA POLISI VIFAA VYA MICHEZO, NI KWA AJILI YA TIMU ZA POLISI DAR NA MORO
![](http://4.bp.blogspot.com/-YfeWR9TFKNI/Va0De2WQO_I/AAAAAAAAWak/82cqhBYxmNo/s640/1%2B%25281%2529.jpg)
10 years ago
Mwananchi22 Dec
Polisi Moro yapata viongozi
Polisi Moro SC imemchagua Zuberi Chembera kuwa mwenyekiti atakayeongoza klabu hiyo kwa miaka minne ijayo katika uchaguzi uliofanyika kwenye Ukumbi wa Manispaa ya Morogoro juzi.
11 years ago
Tanzania Daima17 Feb
Lipuli yailipua Polisi Moro
LIGI ya soka Daraja la Kwanza (FDL), raundi ya pili, ilianza juzi kwa Lipuli FC kuwapigisha kwata maafande wa Polisi Morogoro kwa kuwaadhibu mabao 3-1 kwenye Uwanja wa CCM Samora...
10 years ago
Mwananchi16 Feb
Simba SC yaichakaza Polisi Moro
>Simba imepaa hadi nafasi ya nne katika msimamo wa Ligi Kuu baada ya kuichapa Polisi Morogoro kwa mabao 2-0 jana kwenye Uwanja wa Jamhuri, Morogoro.
10 years ago
Mwananchi24 Jan
Yanga, Polisi Moro wachimbana mkwara
Wakati Yanga ikishuka uwanjani leo mjini Morogoro kuikabili Polisi, makocha wa timu hizo wamechimbana mkwara kwa kila mmoja kumwadhiri mwenzake.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/--NR7-EW9_7E/Xt0biFMLMLI/AAAAAAALs70/9ZLHVe4eyes22e_c7G3vqYvr1IrXhaStQCLcBGAsYHQ/s72-c/fdad5cae-9c4c-4f65-b63e-16fd8dbd1c7e.jpg)
YANGA YANYUKWA 3-0 NA KMC UWANJA WA UHURU JIJINI DAR
Na Zainab Nyamka
WAMEKAA!!! Mchezo wa Kirafiki kati ya Yanga na KMC imemalizika kwa Yanga kukubali kipigo cha goli 3-0.
Mchezo huo umechezwa leo katika Uwanja wa Uhuru ikiwa ni mchezo wao wa pili wa kirafiki baada ya kupata ushindi wa 3-1 dhidi ya Transit Camp.
Mpira ulianza kwa kasi KMC wakitawala mchezo kwa dakika za mwanzo kabla ya Yanga kubadilisha mchezo na kuonekana kuutawala.
KMC walichukua dakika 31 kuweza kuandika goli la kwanza kupitia kwa Sadala Lipangile akipokea pasi ya Charlse...
WAMEKAA!!! Mchezo wa Kirafiki kati ya Yanga na KMC imemalizika kwa Yanga kukubali kipigo cha goli 3-0.
Mchezo huo umechezwa leo katika Uwanja wa Uhuru ikiwa ni mchezo wao wa pili wa kirafiki baada ya kupata ushindi wa 3-1 dhidi ya Transit Camp.
Mpira ulianza kwa kasi KMC wakitawala mchezo kwa dakika za mwanzo kabla ya Yanga kubadilisha mchezo na kuonekana kuutawala.
KMC walichukua dakika 31 kuweza kuandika goli la kwanza kupitia kwa Sadala Lipangile akipokea pasi ya Charlse...
5 years ago
StarTV19 Feb
Mtibwa Sugar yaiondosha Polisi Moro kombe la FA
Timu ya maafande wa Polisi Morogoro inayoshiriki ligi Daraja la Kwanza ngazi ya Taifa, imetupwa nje ya michuano ya kombe la Shirikisho, baada ya kushindwa kutamba mbele ya mahasimu wao, wakata miwa Turiani timu ya Mtibwa Sugar, kupitia mikwaju ya Penati. Mchezo huo ulimalizika kwa timu zote mbili kutoka sare ya goli mbili kwa mbili …
10 years ago
Mwananchi05 Nov
Bavicha Moro watoa tamko Jeshi la Polisi
Baraza la Vijana wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Bavicha) Mkoa wa Morogoro, limetoa tamko na kulitaka Jeshi la Polisi kuwachukulia hatua vijana wanaodaiwa kumfanyia fujo aliyekuwa Mwenyekiti wa iliyokuwa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji mstaafu Joseph Warioba.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania