Simba yatakata Moro
TIMU ya soka ya Simba, jana ilizinduka na kuwapa raha mashabiki wake baada ya kuichapa Polisi Morogoro mabao 2-0 katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara (VPL), uliochezwa kwenye Uwanja wa Jamhuri, mjini hapa.
Matokeo hayo yameiwezesha Simba kupanda kutoka nafasi ya tisa hadi ya tatu katika msimamo wa ligi hiyo, baada ya kufikisha pointi 20, kutokana na mechi 14.
Azam ndio waliopo kileleni na pointi 25 baada ya kushuka dimbani mara 13, sawa na Yanga, lakini ‘Wanalambalamba’ hao wapo kileleni...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo09 Aug
Simba yatakata Taifa
SIMBA ya Tanzania jana ilisherehekea vizuri siku yao (Simba Day), baada ya kuifunga Club Sports Villa ya Uganda 1-0 katika mchezo uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.
10 years ago
Mwananchi07 Apr
Simba yatakata, Mtibwa majanga
10 years ago
Vijimambo28 Feb
Simba yatakata, yaichapa Prisons 5-O, Ajib atupia hat-trick
![](http://shaffihdauda.co.tz/wp-content/uploads/2015/02/simba-ushindi.jpg)
Klabu ya Simba ya Jijini Dar es salaam leo imefanikiwa kutoa dozi ya msimu kwa maafande wa Tanzania Prisons, baada ya kuwafunga mabao 5-0 katika mchezo wa ligi kuu ya Tanzania bara uliopigwa katika uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam.
Katika mchezo huo mshambuliaji wa Simba Ibrahim Ajib ndio aliibuka kinara wa kufumania nyavu baada ya kutupia kambani bao 3 (Hat trick) ambapo katika kipindi cha pili alipumzishwa baada ya kupewaa kadi njano.
Simba walijipatia...
9 years ago
Dewji Blog12 Sep
Simba SC yatakata Mkoani Tanga, Mbeya City taabani, Azam Fc mbele kwa mbele!!
Kikosi cha Simba SC kilichoifunga 1-0 African Sports leo Uwanja wa Mkwakwani, Tanga (Picha kwa hisani ya mtandao wa http://www.binzubeiry.co.tz
Mabingwa wa zamani wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Simba leo wamevunja mwiko wa kutoshinda kwenye Uwanja wa Mkwakwani Tanga baada ya kuigaragaza African Sports kwa bao 1-0.
Simba leo iliingia katika mchezo huo ikiwa na presha baada ya kutoshinda mchezo wowote kwenye uwanja huo kwa miaka mitatu mfulilizo. Bao la Simba katika mchezo huo limefungwa na...
10 years ago
TheCitizen15 Feb
Simba out to gun down Police Moro
10 years ago
Mwananchi16 Feb
Simba SC yaichakaza Polisi Moro
10 years ago
GPLSIMBA HOI KWA POLISI MORO UWANJA WA TAIFA DAR
10 years ago
Mwananchi15 Feb
Simba yasaka nne bora mgongoni mwa Polisi Moro
10 years ago
Mwananchi02 Feb
Arsenal yatakata