Simba bado Zanzibar
SIMBA jana ilishindwa kuonesha makali yake baada ya kupokea kichapo cha mabao 2-0 kutoka kwa Jeshi la Kujenga Uchumi (JKU), katika mchezo uliofanyika kwenye Uwanja wa Amaan mjini hapa.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mtanzania25 Aug
‘Niang bado sana Simba’
NA JUDITH PETER, DAR ES SALAAM
INATIA shaka! Ndivyo unavyoweza kuielezea hatima ya mshambuliaji Msenegali, Papa Niang kusajiliwa na timu ya Simba, kufuatia kuonyesha kiwango kisichoridhisha kwenye mchezo wake wa kwanza ndani ya timu hiyo dhidi ya Mwadui katika Uwanja wa Taifa Dar es Salaam jana.
Niang aliyewasili nchini Ijumaa iliyopita kusaka ulaji wa kusajiliwa na Simba inayosaka straika hatari wa kufumania nyavu, alicheza kwa dakika 45 tu za kwanza za mchezo huo kabla ya kutolewa kipindi...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-dAN3oqsvL74/VKW6vcJeTFI/AAAAAAADUHY/5SVksNqPkFM/s72-c/DSC_0904-1.jpg)
SIMBA BADO HIKO GONJWA TU
![](http://4.bp.blogspot.com/-dAN3oqsvL74/VKW6vcJeTFI/AAAAAAADUHY/5SVksNqPkFM/s1600/DSC_0904-1.jpg)
Simba wakiwa na kikosi cha vijana ambacho kilikuwa chini ya Kocha Suleiman Matola huku wakiwa wanatazmwa na kocha wao mpya Goran Kopunovic aliyekuwa jukwaani akifuatilia mchezo huo , walishindwa kuelewana na kuwaruhusu...
11 years ago
GPLRAGE BADO MWENYEKITI HALALI SIMBA
9 years ago
Habarileo31 Dec
Simba bado wajivuta ofa ya Mo Dewji
WAKATI mdau wa Simba, Mohamed Dewji akionesha nia ya kutaka kuwekeza katika klabu hiyo kwa Sh bilioni 20, uongozi wa Simba bado unajivuta kutoa maamuzi huku ukiweka mambo sawa kuwa timu hiyo haiuzwi.
10 years ago
Mwananchi03 Aug
Kerr: Simba bado hatujakaa vizuri
9 years ago
Mwananchi13 Dec
Zanzibar bado hakieleweki
9 years ago
Habarileo04 Nov
Mbuna bado alia kipigo cha Simba
MCHEZAJI wa Majimaji ya Songea, Fred Mbuna amesema amesikitishwa na kipigo cha mabao 6-1, ambacho timu yake ilikipata mwishoni mwa wiki kutoka kwa Simba Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
9 years ago
Mwananchi04 Nov
Hatima ya Zanzibar bado kujulikana