Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Simba bado wajivuta ofa ya Mo Dewji

WAKATI mdau wa Simba, Mohamed Dewji akionesha nia ya kutaka kuwekeza katika klabu hiyo kwa Sh bilioni 20, uongozi wa Simba bado unajivuta kutoa maamuzi huku ukiweka mambo sawa kuwa timu hiyo haiuzwi.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

OFA! OFA! OFA KUTOKA JAMES COSMETICS

OFA! OFA! OFA JAMES COSMETIC CO.LTD inawatangazia ofa ya punguzo la bei kwa mwezi huu mtukufu kwa kila bidhaa
pia usisahau hizi ni bidhaa za mimea na matunda kutoka viwandani na zimedhibitishwa hazina kemikal zenye madhara 1) kutoa chunusi na madoa = 50,000

2)kushep hips na figure = 60,000

3) kuongeza unene na uzito wa mwili = 60,000

4) kupunguza unene na uzito wa mwili = 70,000
5) kuondoa kitambi na nyama za...

 

10 years ago

GPL

Ofa! Ofa! Ofa! Pendeza na James Kosmetic

OFA! OFA! OFA! OFA! OFA! SASA NI SAWA NA BURE PENDEZA NA JAMES KOSMETIC CO.LTD BILA MADHARA KWA AFYA YAKO KWA BIDHAA BORA ZA MIMEA NA MATUNDA KUTOKA VIWANDANI TUNAZO ZA= 1) kutoa chunusi na madoa = 50,000 2)kushep hips na figure kwa mafuta (a)= 70,000 (b) vidonge 170,000 C) Dawa ya maji =80,000 3) kuongeza unene na uzito wa mwili = 80,000 4) kupunguza unene na uzito wa mwili = a) kwa vidonge 90,000 b) sliming tea 80,000
5)...

 

10 years ago

Michuzi

Azim Dewji awataka wana Simba kuwa Watulivu

Na Mwandishi Wetu
MWANAMICHEZO maarufu nchini, Azim Dewji amewataka wanachama na wapenzi wa timu ya soka ya Simba kuamini timu yao bado ni bora, isipokuwa ipo katika kipindi cha mpito kuelekea katika mafanikio yatakayowashangaza wengi.
Kutokana na imani yake hiyo, ameshauri ni vyema wakatoa ushirikiano wa kila aina kwa viongozi, wachezaji na benchi lote la ufundi, vivyo hivyo akiwataka viongozi kushikamana na wachezaji na benchi la ufundi, badala ya kuanza kunyoosheana vidole.
Aliyasema hayo...

 

9 years ago

StarTV

Mchakato  Kuinunua Simba Tarimba aunga mkono dhamira ya Dewji.

Rais wa zamani wa klabu ya Yanga, Abbas Tarimba ameunga mkono dhamira ya Mohamed Dewji kutaka kuinunua klabu ya Simba akisema hiyo ndiyo njia pekee kuinusuru Simba ambayo inazidi kupoteza dira katika ulimwengu wa soka la kimtaifa.

Tarimba ana uzoefu wa kushindwa na pale alipotaka kuifanya Yanga imilikiwe na  kampuni lakini akakumbana na vikwazo .

Hicho ndicho kinachotaka kumtokea Mohamed Dewji ambaye anataka kuinunua klabu ya Simba.

Tarimba anasema wanachama wa Simba na Yanga wameshindwa...

 

9 years ago

Bongo5

Mohammed Dewji anataka kuinunua klabu ya Simba, kuwekeza bilioni 20

Mfanyabiashara mkubwa nchini, Mohammed Dewji ameweka wazi mpango wake wa kuinunua klabu ya Simba inayoshiriki ligi kuu ya Tanzania Bara. Akizungumza na kipindi cha Mkasi TV kinachoruka kupitia EATV, Dewji alisema tayari wapo kwenye mazungumzo na rais wa klabu hiyo ili kukamilisha mpango huo. “Unajua kila mtu ana interest, hakuna interest ya klabu, mimi nimeona […]

 

9 years ago

StarTV

Uwekezaji Mohamed Dewji Mo  kwa Simba upo hatua za mwisho za mazungumzo

 

Klabu ya Simba imesema ipo katika hatua za mwisho za mazungumzo juu ya uwekezaji wa mfanyabiashara maarufu hapa nchini Mohamed Dewji Mo ambaye anatarajia kuwekeza kiasi cha Shilingi Bilioni 20 katika Klabu hiyo.

Makamu wa Rais wa Klabu ya Simba Kaburu Nyange,ameiambia Star tv kwa njia ya simu kuwa, Uongozi wa klabu hiyo unafuatilia kwa umakini juu ya uwekezaji huo ambao Wanachama wa Klabu hiyo ndio watakaotoa maamuzi ya mwisho.

Kaburu amesema Klabu hiyo inapaswa kubadilika na kuendeshwa...

 

5 years ago

Michuzi

MO DEWJI FOUNDATION NA KLABU YA SIMBA WAHITIMISHA ZOEZI LA UGAWAJI WA BARAKOA JIJINI DAR .

Na Zainab Nyamka, Globu ya Jamii
Klabu ya Simba kwa kushirikiana na Taasisi ya Mo Dewji  imehitimisha zoezi la ugawaji wa Barakoa kwa wakazi wa maeneo mbali mbali ya jiji la Dar es Salaam.
Zoezi hilo limehitimishwa kwa watendaji wa taasisi hiyo kukabidhi barakoa kwa ajili ya kujilinda na homa kali ya Mapafu (COVID-19) inayosababishwa na virusi vya corona.
Ikiwa ni siku ya tatu toka kuanza kwa ugawaji wa barakoa hizo, wananchi wamefurahia zoezi hilo la kuwakumbuka wananchi hususani wale...

 

5 years ago

Michuzi

KLABU YA SIMBA,MO DEWJI WAGAWA BARAKOA BURE KWA WAKAZI WA JIJI LA DAR ES SALAAM KUJIKINGA NA CORONA

Na, Al-Hasan Muhidin, MichuziTv

Klabu ya Simba kwa kushirikiana na Taasisi ya Mo Dewji wametoa msaada wa Barakoa kwa wananchi wa maeneo mbalimbali ndani ya Jiji la Dar es Salaam kwa ajili ya kujikinga na maambukizi ya virusi vya Corona.

Akizungumza na waandish wa habari wakati wa tukio hilo,  Msaidizi wa Mkurugenzi Mtendaji wa Klabu ya Simba Rispa Hatib amesema tukio hilo ni la siku tatu kuanzia leo Jumamosi na litahitimishwa siku ya Jumatatu.

Amesema, janga hili ni la Dunia na nchi nzima kwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani