Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mohammed Dewji anataka kuinunua klabu ya Simba, kuwekeza bilioni 20

Mfanyabiashara mkubwa nchini, Mohammed Dewji ameweka wazi mpango wake wa kuinunua klabu ya Simba inayoshiriki ligi kuu ya Tanzania Bara. Akizungumza na kipindi cha Mkasi TV kinachoruka kupitia EATV, Dewji alisema tayari wapo kwenye mazungumzo na rais wa klabu hiyo ili kukamilisha mpango huo. “Unajua kila mtu ana interest, hakuna interest ya klabu, mimi nimeona […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

MillardAyo

Baada ya headlines za bilionea wa 24 Afrika kutaka kuinunua klabu ya Simba, hii ndio kauli rasmi ya Simba …

Baada ya stori nyingi kuingia katika headlines kwa siku za hivi karibuni kuhusu uamuzi wa moja kati ya mabilionea wa Afrika kutaka kuinunua klabu ya Simba, mengi yameandikwa na mengi yameongewa, najua unahitaji kufahamu kuhusu stori za bilionea Mohamed Dewji ambaye maarufu kama MO kuweka bayana dhamira yake ya kutaka kuinunua Simba kupitia kipindi cha […]

The post Baada ya headlines za bilionea wa 24 Afrika kutaka kuinunua klabu ya Simba, hii ndio kauli rasmi ya Simba … appeared first on...

 

9 years ago

StarTV

Mchakato  Kuinunua Simba Tarimba aunga mkono dhamira ya Dewji.

Rais wa zamani wa klabu ya Yanga, Abbas Tarimba ameunga mkono dhamira ya Mohamed Dewji kutaka kuinunua klabu ya Simba akisema hiyo ndiyo njia pekee kuinusuru Simba ambayo inazidi kupoteza dira katika ulimwengu wa soka la kimtaifa.

Tarimba ana uzoefu wa kushindwa na pale alipotaka kuifanya Yanga imilikiwe na  kampuni lakini akakumbana na vikwazo .

Hicho ndicho kinachotaka kumtokea Mohamed Dewji ambaye anataka kuinunua klabu ya Simba.

Tarimba anasema wanachama wa Simba na Yanga wameshindwa...

 

10 years ago

Bongo5

Mohammed Dewji achukua mkopo wa shilingi bilioni 434 kukuza himaya yake!!

Mfanyabiashara na mwanasiasa maarufu nchini, Mohammed ‘Mo’ Dewji amechukua mkopo wa dola milioni 260 (zaidi ya shilingi bilioni 434) kutoka kwa benki mbalimbali kuimarisha kampuni yake ya METL. Wiki mbili zilizopita, kampuni yake ya Star Oils Limited ambayo ni sehemu ya METL Group ilipokea mkopo wa dola milioni 60 kutoka kwa benki ya NBC, Barclays […]

 

5 years ago

Michuzi

MO DEWJI FOUNDATION NA KLABU YA SIMBA WAHITIMISHA ZOEZI LA UGAWAJI WA BARAKOA JIJINI DAR .

Na Zainab Nyamka, Globu ya Jamii
Klabu ya Simba kwa kushirikiana na Taasisi ya Mo Dewji  imehitimisha zoezi la ugawaji wa Barakoa kwa wakazi wa maeneo mbali mbali ya jiji la Dar es Salaam.
Zoezi hilo limehitimishwa kwa watendaji wa taasisi hiyo kukabidhi barakoa kwa ajili ya kujilinda na homa kali ya Mapafu (COVID-19) inayosababishwa na virusi vya corona.
Ikiwa ni siku ya tatu toka kuanza kwa ugawaji wa barakoa hizo, wananchi wamefurahia zoezi hilo la kuwakumbuka wananchi hususani wale...

 

5 years ago

Michuzi

KLABU YA SIMBA,MO DEWJI WAGAWA BARAKOA BURE KWA WAKAZI WA JIJI LA DAR ES SALAAM KUJIKINGA NA CORONA

Na, Al-Hasan Muhidin, MichuziTv

Klabu ya Simba kwa kushirikiana na Taasisi ya Mo Dewji wametoa msaada wa Barakoa kwa wananchi wa maeneo mbalimbali ndani ya Jiji la Dar es Salaam kwa ajili ya kujikinga na maambukizi ya virusi vya Corona.

Akizungumza na waandish wa habari wakati wa tukio hilo,  Msaidizi wa Mkurugenzi Mtendaji wa Klabu ya Simba Rispa Hatib amesema tukio hilo ni la siku tatu kuanzia leo Jumamosi na litahitimishwa siku ya Jumatatu.

Amesema, janga hili ni la Dunia na nchi nzima kwa...

 

10 years ago

Bongo5

Bilionea wa Nigeria Aliko Dangote bado anataka kuinunua timu ya Arsenal!

Tajiri wa kwanza Afrika, Aliko Dangote, amekiri kuwa bado ana mpango wa kuinunua club ya Arsenal licha ya kushindwa kufanya hivyo mwaka 2010. Dangote mwenye utajiri wa dola bilioni 15.7 (£10.38bn) anawazidi walimiki wa sasa wa club hiyo, Stan Kroenke (£3.7bn) na Alisher Usmanov (£9.65bn). “Bado nina matumaini, siku moja kwa bei sahihi kwamba nitainunua […]

 

9 years ago

MillardAyo

Bilionea wa 24 Afrika atoa siku tatu kwa viongozi wa klabu ya Simba kuhusu bilioni 20 zake …

Baada ya stori nyingi kuingia katika headlines kwa siku za hivi karibuni kuhusu uamuzi wa moja kati ya mabilionea wa Afrika kutaka kuinunua klabu ya Simba, mengi yameandikwa na mengi yameongewa. kuhusu Mohamed Dewji maarufu kama MO ambaye amewahi kutajwa na jarida la Forbes kuwa ni bilione wa 24 Afrika kutaka kuinunua Simba. Ikiwa ni […]

The post Bilionea wa 24 Afrika atoa siku tatu kwa viongozi wa klabu ya Simba kuhusu bilioni 20 zake … appeared first on TZA_MillardAyo.

 

11 years ago

Bongo5

Rihanna apanga kuinunua klabu ya Liverpool

Hivi karibuni kulikuwa na ripoti kuwa muimbaji wa ‘Diamond’ Rihanna ana mpango wa kununua klabu ya soka ya nchini Uingereza lakini haikufahamika ni ipi. Na Jumanne hii gazeti la El Mundo Deportivo limethibitisha kuwa klabu hiyo ambayo Riri anataka kuinunua si nyingine bali ni Liverpool! Hiyo ni baada ya muimbaji huyo kupewa ushauri na mshambuliaji […]

 

9 years ago

Dewji Blog

Shabiki mkongwe wa Simba amuomba MO kuendeleza mpango wake wa kuinunua Simba

IMG_1615

Pichani ni Mohammed Dewji alipokuwa mgeni rasmi wa tamasha la Simba Day, akisalimiana na mmoja wa wadau kwenye jukwaa kuu. Kulia ni Nyange Kaburu.  (Picha na Maktaba yetu).

Na Rabi Hume, Modewjiblog

Mmoja wa mashabiki wa wakongwe wa klabu ya Simba, Stanbul Mponda amemuomba Bilionea namba moja nchini, Mohammed Dewji ‘MO’ kuendeleza mipango yake ya kuinunua Simba ili aweze kufanya uwekezaji kama alivyokuwa amepanga awali.

Mponda ameyasema hayo ikiwa ni siku chache zimepita za tarehe ya mwisho...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani