Rihanna apanga kuinunua klabu ya Liverpool
Hivi karibuni kulikuwa na ripoti kuwa muimbaji wa ‘Diamond’ Rihanna ana mpango wa kununua klabu ya soka ya nchini Uingereza lakini haikufahamika ni ipi. Na Jumanne hii gazeti la El Mundo Deportivo limethibitisha kuwa klabu hiyo ambayo Riri anataka kuinunua si nyingine bali ni Liverpool! Hiyo ni baada ya muimbaji huyo kupewa ushauri na mshambuliaji […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo520 Oct
Mohammed Dewji anataka kuinunua klabu ya Simba, kuwekeza bilioni 20
9 years ago
BBCSwahili02 Jan
Gerrard apanga kurejea Liverpool
9 years ago
MillardAyo22 Dec
Baada ya headlines za bilionea wa 24 Afrika kutaka kuinunua klabu ya Simba, hii ndio kauli rasmi ya Simba …
Baada ya stori nyingi kuingia katika headlines kwa siku za hivi karibuni kuhusu uamuzi wa moja kati ya mabilionea wa Afrika kutaka kuinunua klabu ya Simba, mengi yameandikwa na mengi yameongewa, najua unahitaji kufahamu kuhusu stori za bilionea Mohamed Dewji ambaye maarufu kama MO kuweka bayana dhamira yake ya kutaka kuinunua Simba kupitia kipindi cha […]
The post Baada ya headlines za bilionea wa 24 Afrika kutaka kuinunua klabu ya Simba, hii ndio kauli rasmi ya Simba … appeared first on...
9 years ago
MillardAyo02 Jan
Baada ya Liverpool kujishauri kumsajili Alexandre Pato, haya ndio maamuzi yaliofanywa na klabu yake …
Mshambuliaji wa kimataifa wa Brazil ambaye amewahi kuichezea klabu ya AC Milan ya Italia Alexandre Pato alikuwa katika mipango ya Liverpool ya Uingereza kwa muda mrefu, lakini uhamisho wake ulikuwa unatajwa kukamilishwa January. Pato yupo katika klabu ya Corinthians baada ya kuondoka AC Milan mwaka 2013. Baada ya Liverpool kujishauri kumsajili Alexandre Pato, licha ya kuwa waliwahi kutuma ofa […]
The post Baada ya Liverpool kujishauri kumsajili Alexandre Pato, haya ndio maamuzi yaliofanywa...
9 years ago
MillardAyo25 Dec
Achana na klabu ya Lille ya Ufaransa,hii ndio klabu ya Ulaya inayotajwa kumsajili Mbwana Samatta
Headlines za mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania anayekipiga katika klabu ya TP Mazembe ya Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Kongo Mbwana Samatta zinazidi kushika kasi, Samatta anatajwa kuwa katika mpango wa kwenda kucheza soka la kulipwa barani Ulaya,mara tu dirisha dogo la usajili la mwezi January litakapofunguliwa. Headlines ambazo zimenifikia kutoka katika mtandao wa www.voetbalkrant.com zinaripo nyota […]
The post Achana na klabu ya Lille ya Ufaransa,hii ndio klabu ya Ulaya inayotajwa...
11 years ago
GPL
FACEBOOK KUINUNUA WHATSAPP
11 years ago
BBCSwahili29 May
10 years ago
BBCSwahili18 Jun
Bilionea wa Afrika ataka kuinunua Arsenal
10 years ago
GPL
MJUE BILIONEA ANAYETAKA KUINUNUA ARSENAL