Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Baada ya Liverpool kujishauri kumsajili Alexandre Pato, haya ndio maamuzi yaliofanywa na klabu yake …

Mshambuliaji wa kimataifa wa Brazil ambaye amewahi kuichezea klabu ya AC Milan ya Italia Alexandre Pato alikuwa katika mipango ya Liverpool ya Uingereza kwa muda mrefu, lakini uhamisho wake ulikuwa unatajwa kukamilishwa January. Pato yupo katika klabu ya Corinthians baada ya kuondoka AC Milan mwaka 2013. Baada ya Liverpool kujishauri kumsajili Alexandre Pato, licha ya kuwa waliwahi kutuma ofa […]

The post Baada ya Liverpool kujishauri kumsajili Alexandre Pato, haya ndio maamuzi yaliofanywa...

MillardAyo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

MillardAyo

Achana na klabu ya Lille ya Ufaransa,hii ndio klabu ya Ulaya inayotajwa kumsajili Mbwana Samatta

Headlines za mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania anayekipiga katika klabu ya TP Mazembe ya Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Kongo Mbwana Samatta zinazidi kushika kasi, Samatta anatajwa kuwa katika mpango wa kwenda kucheza soka la kulipwa barani Ulaya,mara tu dirisha dogo la usajili la mwezi January litakapofunguliwa. Headlines ambazo zimenifikia kutoka katika mtandao wa www.voetbalkrant.com zinaripo nyota […]

The post Achana na klabu ya Lille ya Ufaransa,hii ndio klabu ya Ulaya inayotajwa...

 

9 years ago

MillardAyo

Hii ndio klabu iliyotangaza kumsajili staa wa soka wa Brazil Ronaldinho …

Staa wa soka wa kimataifa wa Brazil ambaye amewahi kukipiga katika vilabu kadhaa vya soka barani Ulaya, ikiwemo FC Barcelona ya Hispania na AC Milan ya Italia Ronaldinho amerudi katika headlines jioni ya December 28. Baada ya klabu ya Racing Club de Montevideo ya Uruguay kutangaza kumsajili Ronaldinho. Mkali huyo wa soka wa Brazil ambaye amewahi […]

The post Hii ndio klabu iliyotangaza kumsajili staa wa soka wa Brazil Ronaldinho … appeared first on TZA_MillardAyo.

 

10 years ago

Dewji Blog

Haya ndio majimbo mapya 26 ya uchaguzi baada ya kugawanywa

lub

Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji Mstaafu Damian Lubuva.

Majimbo 26 Mapya 13 JULAI 2015.pdf 

 

9 years ago

MillardAyo

Baada ya headlines za bilionea wa 24 Afrika kutaka kuinunua klabu ya Simba, hii ndio kauli rasmi ya Simba …

Baada ya stori nyingi kuingia katika headlines kwa siku za hivi karibuni kuhusu uamuzi wa moja kati ya mabilionea wa Afrika kutaka kuinunua klabu ya Simba, mengi yameandikwa na mengi yameongewa, najua unahitaji kufahamu kuhusu stori za bilionea Mohamed Dewji ambaye maarufu kama MO kuweka bayana dhamira yake ya kutaka kuinunua Simba kupitia kipindi cha […]

The post Baada ya headlines za bilionea wa 24 Afrika kutaka kuinunua klabu ya Simba, hii ndio kauli rasmi ya Simba … appeared first on...

 

9 years ago

MillardAyo

Baada ya David Beckham kusikia kuwa Zidane ameteuliwa kuwa kocha wa Real Madrid, haya ndio aliyoandika …

Baada ya kuwepo na tetesi za muda mrefu kuhusu uongozi wa klabu ya Real Madrid kutoridhishwa na mwenendo wa timu yao January 4, umetangaza rasmi kumfuta kazi aliyekuwa kocha wa klabu hiyo Rafael Benitez. Real Madrid walitangaza kumfuta kazi Benitez na Zidane kutajwa kurithi nafasi hiyo kwa muda hadi mwisho wa msimu. Kufuatia kuteuliwa kwa Zidane […]

The post Baada ya David Beckham kusikia kuwa Zidane ameteuliwa kuwa kocha wa Real Madrid, haya ndio aliyoandika … appeared first on...

 

10 years ago

BBCSwahili

Liverpool kumsajili Benteke

Liverpool imekubali kumsajili mshambuliaji wa Aston Villa Christian Benteke kulingana na mtandao wa Talksport.

 

10 years ago

BBCSwahili

Liverpool kumsajili James Milner

Liverpool imekubali kumsajili kiungo wa kati wa Uingereza James Milner kutoka kwa kilabu ya Manchester City kwa uhamisho wa bure.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani