‘Niang bado sana Simba’
NA JUDITH PETER, DAR ES SALAAM
INATIA shaka! Ndivyo unavyoweza kuielezea hatima ya mshambuliaji Msenegali, Papa Niang kusajiliwa na timu ya Simba, kufuatia kuonyesha kiwango kisichoridhisha kwenye mchezo wake wa kwanza ndani ya timu hiyo dhidi ya Mwadui katika Uwanja wa Taifa Dar es Salaam jana.
Niang aliyewasili nchini Ijumaa iliyopita kusaka ulaji wa kusajiliwa na Simba inayosaka straika hatari wa kufumania nyavu, alicheza kwa dakika 45 tu za kwanza za mchezo huo kabla ya kutolewa kipindi...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo26 Aug
Simba yamtupia virago Niang, mwingine atua
UONGOZI wa Simba umeamua kuachana na mshambuliaji Papa Niang kutoka Senegal.
10 years ago
Dewji Blog12 Mar
Tahariri: Mimba ya Aunt Ezekiel bado bado sana, blogs zitafute ukweli kwanza na sio kukurupuka
Na Andrew Chale wa Mo dewji blog
Huenda nawe umezisikia taarifa zilizozagaa kwenye mitandao yaa kijaamii na kwingineko juu ya kuwa star mwenye mvuto wa asili anayetikisa Bongo kwa filamu mbalimbali, Msanii wa kike, Aunt Ezekiel ambaye kwa sasa ni mjamzito, amejifungua?.
Kwa taarifa za uhakika kutoka katikaa moja ya mtandao wa kijamii wa Global Publisher inayokubalika hapa nchini (http://www.globalpublishers.info/profiles/blogs/aunt-ezekiel-akanusha-taarifa-za-kujifungua-asema-video-ya) ...
10 years ago
StarTV05 Dec
Mugabe: Bado nipo sana.
Rais wa Zimbabwe Robert Mugabe amelaumu baadhi ya watu ndani ya chama chake tawala cha ZANU-PF kwamba wanapanga kumng’oa madarakani.
Akizungumza katika kongamano la chama hicho, Mugabe amesema amebaini kuwepo majaribio ya kuwahonga wajumbe kumpinga kama kiongozi, lakini akasisitiza wajumbe hawawezi kupokea hongo.
Mugabe ameahidi kupambana na rushwa ndani ya chama na kukabiliana na maafisa wa chama hicho ambao kazi yao ni kutoa hongo na kupokea rushwa.
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/625/amz/worldservice/live/assets/images/2014/12/04/141204173006_congress_1.jpg)
10 years ago
Mwananchi17 Jan
Ney wa Mitego: Kuvuta jiko?…bado sana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/fF4HFdlaoO65x27O6Tqdaeiv0lh9wZRYZfApONGZZcmx9gvAmqJ*s*X2jP2c7pMkNJspW8YNUFzpTS9zRKpSVURwiPIfiGeu/koletha.jpg)
KOLETA: NAKULA UJANA, KUOLEWA BADO SANA
10 years ago
Mwananchi01 Sep
Van Gaal: Man United bado sana
9 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-XZO72LeGnis/VhP3vTId89I/AAAAAAAAHS0/fhkMB1fYZLg/s72-c/6.jpg)
RAY KIGOSI AWASTUA KISHAPU, AWAAMBIA UPINZANI BADO SANA
![](http://3.bp.blogspot.com/-XZO72LeGnis/VhP3vTId89I/AAAAAAAAHS0/fhkMB1fYZLg/s640/6.jpg)
9 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-XZO72LeGnis/VhP3vTId89I/AAAAAAAAHS0/fhkMB1fYZLg/s72-c/6.jpg)
RAY KIGOSI AWAAMBIA WAKAZI WA KISHAPU SHINYANGA UPINZANI BADO SANA
![](http://3.bp.blogspot.com/-XZO72LeGnis/VhP3vTId89I/AAAAAAAAHS0/fhkMB1fYZLg/s640/6.jpg)