SIMBA BADO HIKO GONJWA TU
![](http://4.bp.blogspot.com/-dAN3oqsvL74/VKW6vcJeTFI/AAAAAAADUHY/5SVksNqPkFM/s72-c/DSC_0904-1.jpg)
Huku wakiwa na kumbukumbu ya kufugwa mchezo wao wa mwisho wa ligi kuuu ya Tanzania bara , wekundu wa msimbazi Simba Sports Club hii leo waliendelea na mkosi wao baada ya kukubali kipigo cha 1-0 mbele ya Mtibwa Sugar katika mchezo wa kombe la Mapinduzi uliopigwa usiku huu.
Simba wakiwa na kikosi cha vijana ambacho kilikuwa chini ya Kocha Suleiman Matola huku wakiwa wanatazmwa na kocha wao mpya Goran Kopunovic aliyekuwa jukwaani akifuatilia mchezo huo , walishindwa kuelewana na kuwaruhusu...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo07 Apr
HUKO KUNAKO LIGI YA BPL MAMBO HIKO HIVI BAADA YA MCHEZO WA LEO THE BLUES BADO MCHARO
POSLOGO &TEAMPWDLGDPTS1
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/hpMD5afDfdbMsFFhLM6YfJhJU76ebI3g3OeZFFe82Eg-f26OySkc5-iU4kHo6dYciDy46lYeSBHNHayoaRtEu36YR-co42Wy/buheti.jpg)
ESHA BUHETI GONJWA GONJWA, TUMUOMBEENI
10 years ago
Mwananchi05 Oct
Simba gonjwa ile ile, Yanga leo
9 years ago
Habarileo30 Aug
Simba bado Zanzibar
SIMBA jana ilishindwa kuonesha makali yake baada ya kupokea kichapo cha mabao 2-0 kutoka kwa Jeshi la Kujenga Uchumi (JKU), katika mchezo uliofanyika kwenye Uwanja wa Amaan mjini hapa.
9 years ago
Mtanzania25 Aug
‘Niang bado sana Simba’
NA JUDITH PETER, DAR ES SALAAM
INATIA shaka! Ndivyo unavyoweza kuielezea hatima ya mshambuliaji Msenegali, Papa Niang kusajiliwa na timu ya Simba, kufuatia kuonyesha kiwango kisichoridhisha kwenye mchezo wake wa kwanza ndani ya timu hiyo dhidi ya Mwadui katika Uwanja wa Taifa Dar es Salaam jana.
Niang aliyewasili nchini Ijumaa iliyopita kusaka ulaji wa kusajiliwa na Simba inayosaka straika hatari wa kufumania nyavu, alicheza kwa dakika 45 tu za kwanza za mchezo huo kabla ya kutolewa kipindi...
11 years ago
GPLRAGE BADO MWENYEKITI HALALI SIMBA
10 years ago
Mwananchi03 Aug
Kerr: Simba bado hatujakaa vizuri
9 years ago
Habarileo31 Dec
Simba bado wajivuta ofa ya Mo Dewji
WAKATI mdau wa Simba, Mohamed Dewji akionesha nia ya kutaka kuwekeza katika klabu hiyo kwa Sh bilioni 20, uongozi wa Simba bado unajivuta kutoa maamuzi huku ukiweka mambo sawa kuwa timu hiyo haiuzwi.
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10