Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SIMBA BADO HIKO GONJWA TU

Huku wakiwa na kumbukumbu ya kufugwa mchezo wao wa mwisho wa ligi kuuu ya Tanzania bara , wekundu wa msimbazi Simba Sports Club hii leo waliendelea na mkosi wao baada ya kukubali kipigo cha 1-0 mbele ya Mtibwa Sugar katika mchezo wa kombe la Mapinduzi uliopigwa usiku huu.
Simba wakiwa na kikosi cha vijana ambacho kilikuwa chini ya Kocha Suleiman Matola huku wakiwa wanatazmwa na kocha wao mpya Goran Kopunovic aliyekuwa jukwaani akifuatilia mchezo huo , walishindwa kuelewana na kuwaruhusu...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

HUKO KUNAKO LIGI YA BPL MAMBO HIKO HIVI BAADA YA MCHEZO WA LEO THE BLUES BADO MCHARO


POSLOGO &TEAMPWDLGDPTS1ChelseaChelsea30217237702ArsenalArsenal31196630633Manchester UnitedManchester United31188527624Manchester CityManchester City31187633615LiverpoolLiverpool3116699546Tottenham HotspurTottenham Hotspur3116695547SouthamptonSouthampton311651020538Swansea CitySwansea City3113711-2469West Ham UnitedWest Ham United311191124210Stoke CityStoke City3112613-44211Crystal PalaceCrystal Palace3110912-43912EvertonEverton3191012-33713Newcastle UnitedNewcastle United319814-163514West Bromwich AlbionWest Bromwich Albion318914-153315SunderlandSunderland3151412-202916Hull CityHull City3161015-142817Aston VillaAston Villa317717-222818BurnleyBurnley3151115-232619Queens Park RangersQueens Park Rangers317420-202520Leicester City

 

10 years ago

GPL

ESHA BUHETI GONJWA GONJWA, TUMUOMBEENI

Stori: Shakoor Jongo
MUIGIZAJI aliyelamba tuzo ya Muigizaji Bora wa Kike katika Tamasha la Zanzibar Festival Film ‘ZIFF’ mwaka huu, Esha Salim Buheti hali yake siyo nzuri na anahitaji maombi ili apone kutokana na kusumbuliwa na tatizo la uvimbe kwenye kizazi. Mwigizaji, Esha Salim Buheti akiwa hoi kitandani. Akizungumza na Ijumaa lililokwenda kumjulia hali katika Hospitali ya TMJ iliyopo Mikocheni jijini Dar,...

 

10 years ago

Mwananchi

Simba gonjwa ile ile, Yanga leo

 Jahazi la Simba limeendelea kuyumba baada ya jana kulazimisha sare 1-1 na Stand United kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam, wakati watani zao Yanga wenyewe watashuka uwanjani hapo kuivaa JKT Ruvu.

 

9 years ago

Habarileo

Simba bado Zanzibar

SIMBA jana ilishindwa kuonesha makali yake baada ya kupokea kichapo cha mabao 2-0 kutoka kwa Jeshi la Kujenga Uchumi (JKU), katika mchezo uliofanyika kwenye Uwanja wa Amaan mjini hapa.

 

9 years ago

Mtanzania

‘Niang bado sana Simba’

??????????????????NA JUDITH PETER, DAR ES SALAAM

INATIA shaka! Ndivyo unavyoweza kuielezea hatima ya mshambuliaji Msenegali, Papa Niang kusajiliwa na timu ya Simba, kufuatia kuonyesha kiwango kisichoridhisha kwenye mchezo wake wa kwanza ndani ya timu hiyo dhidi ya Mwadui katika Uwanja wa Taifa Dar es Salaam jana.

Niang aliyewasili nchini Ijumaa iliyopita kusaka ulaji wa kusajiliwa na Simba inayosaka straika hatari wa kufumania nyavu, alicheza kwa dakika 45 tu za kwanza za mchezo huo kabla ya kutolewa kipindi...

 

11 years ago

GPL

RAGE BADO MWENYEKITI HALALI SIMBA

Mwenyekiti wa Simba, Ismail Aden Rage. Ismail Aden Rage ndiye Mwenyekiti halali wa Simba ambapo Kamati ya Sheria na Hadhi za Wachezaji imemtaka kuitisha Mkutano Mkuu kwa mujibu wa taratibu za klabu ya Simba. Kamati imebaini upungufu kadhaa wa kisheria kwenye uamuzi wa Kamati ya Utendaji ya Simba uliofanywa Novemba 18, 2013 kwa kumsimamisha Mwenyekiti wao. Upungufu huo ni pamoja na ukiukwaji wa Ibara ya 33 ya Katiba ya Simba juu...

 

10 years ago

Mwananchi

Kerr: Simba bado hatujakaa vizuri

Simba imeshinda mechi zake tatu za kirafiki visiwani hapa, lakini kocha wa timu hiyo, Dylan Kerr amesema bado hajapata kikosi anachokihitaji kwa ajili ya mapambano ya Ligi Kuu Bara.

 

9 years ago

Habarileo

Simba bado wajivuta ofa ya Mo Dewji

WAKATI mdau wa Simba, Mohamed Dewji akionesha nia ya kutaka kuwekeza katika klabu hiyo kwa Sh bilioni 20, uongozi wa Simba bado unajivuta kutoa maamuzi huku ukiweka mambo sawa kuwa timu hiyo haiuzwi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani