Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


HUKO KUNAKO LIGI YA BPL MAMBO HIKO HIVI BAADA YA MCHEZO WA LEO THE BLUES BADO MCHARO


POSLOGO &TEAMPWDLGDPTS1ChelseaChelsea30217237702ArsenalArsenal31196630633Manchester UnitedManchester United31188527624Manchester CityManchester City31187633615LiverpoolLiverpool3116699546Tottenham HotspurTottenham Hotspur3116695547SouthamptonSouthampton311651020538Swansea CitySwansea City3113711-2469West Ham UnitedWest Ham United311191124210Stoke CityStoke City3112613-44211Crystal PalaceCrystal Palace3110912-43912EvertonEverton3191012-33713Newcastle UnitedNewcastle United319814-163514West Bromwich AlbionWest Bromwich Albion318914-153315SunderlandSunderland3151412-202916Hull CityHull City3161015-142817Aston VillaAston Villa317717-222818BurnleyBurnley3151115-232619Queens Park RangersQueens Park Rangers317420-202520Leicester City

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

TZToday

MSIMAMO WA LIGI KUU YA ENGLAND BAADA YA MCHEZO WA LEO

Widget powered by WhatstheScore.com

 

10 years ago

Vijimambo

YANGA BAADA YA KUGEUZWA MASALO NA GOR MAHIA LEO WAKEUKA MCHARO


Baada ya mchezo wa ufunguzi kugeuzwa chachandu na Gor Mahia kwa kuchapwa 2 kwa 1 leo Yanga wamegeuka mcharo baada ya kuwageuza Telecom ya Djibouti chips mayai 3 na pia wakikosa penati 2. Hili swala la penati limekuwa gonjwa ndani ya miguu ya wachezaji wa timu ya Yanga ukikumbuka hii ni penati ya 3 wanakosa katika michezo miwili, mchezo wa ufunguzi na Gor Mahia walikosa moja na leo wamekosa penati 2 wakosaji wa penati hizo ni Msuva na Tambwe. Nikijana mzarendo aliesajiliwa kutoka Mgambo JKT...

 

10 years ago

Vijimambo

SIMBA BADO HIKO GONJWA TU

Huku wakiwa na kumbukumbu ya kufugwa mchezo wao wa mwisho wa ligi kuuu ya Tanzania bara , wekundu wa msimbazi Simba Sports Club hii leo waliendelea na mkosi wao baada ya kukubali kipigo cha 1-0 mbele ya Mtibwa Sugar katika mchezo wa kombe la Mapinduzi uliopigwa usiku huu.
Simba wakiwa na kikosi cha vijana ambacho kilikuwa chini ya Kocha Suleiman Matola huku wakiwa wanatazmwa na kocha wao mpya Goran Kopunovic aliyekuwa jukwaani akifuatilia mchezo huo , walishindwa kuelewana na kuwaruhusu...

 

11 years ago

Michuzi

HIVI NDIVYO MAMBO YALIVYOKUWA BAADA YA WAJASILIAMALI WALEMAVU WAFUNGA BARABARA YA KAWAWA NA UHURU JIJINI DAR

Kundi la walemavu, wajasilimali wafanyabiashara ndogo ndongo, leo May 20, 2014 wamefunga makutano ya barabara ya Kawawa na Uhuru (Karume) kwa muda wa masaa matatu wakishinikiza Serikali iwapatie maeneo ya kufanyia biashara baada ya kuwaondoa katika eneo la Mtaa wa Kongo Kariakoo jijini Dar es Salaam. Askari wa Jeshi la Polisi wakiwa Juu ya gari kuangalia tukio hilo lililodumu kwa muda wa zaidi ya masaa matatu katika eneo la makutano ya barabara ya Kawawa na Uhuru (Karume).  Baadhi ya...

 

10 years ago

Vijimambo

YANGA HII NI TAMU ZAIDI YA MCHARO COASTAL WAGEUZWA CHIPS FUNGA WAPOKEA 8 SAWA NA TAREHE YA MCHEZO WAO NA YANGA.


Yanga hii ni ya kimataifa na kitaifa ndiyo habari ya mjini Coastal Union hawatasahau milele kipigo cha leo tarehe 8 mwezi wa 4 wapigwa bao sawa na tarehe ya siku ya mchezo wao na Yanga taifa. Amis Tambwe apiga nne, Mliberia  nae afunga bao lake la kwanza toka ajiunge Yanga na baada ya kufunga bao hilo alitoa machozi kwa furaha pia mliberia huyo alitoa pasi tatu zilizo zaa mabao matatu katika mchezo huo. Yanga sasa inazidi kujikita kileleni kwa kuwa na point 43 wakishuka dimbani mara 20, Azam...

 

9 years ago

Vijimambo

9 years ago

MillardAyo

Pichaz 15 baada ya mvua kunyesha Dar leo December 15, hivi ndivyo hali ilivyo mitaani

Asubuhi ya December 15 jijini Dar Es Salaam ilinyesha mvua kubwa katika maeneo mbalimbali kiasi hata kupelekea baadhi ya watu, kushindwa na wengine kuchelewa kwenda kazini kutokana na mvua kuwa kubwa. Mtu wangu wa nguvu baada ya mvua kukata ilibidi nitembelee mitaa tofauti tofauti ya Jiji la Dar Es Salaam ili kuona hali ya maeneo […]

The post Pichaz 15 baada ya mvua kunyesha Dar leo December 15, hivi ndivyo hali ilivyo mitaani appeared first on TZA_MillardAyo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani