YANGA HII NI TAMU ZAIDI YA MCHARO COASTAL WAGEUZWA CHIPS FUNGA WAPOKEA 8 SAWA NA TAREHE YA MCHEZO WAO NA YANGA.
Yanga hii ni ya kimataifa na kitaifa ndiyo habari ya mjini Coastal Union hawatasahau milele kipigo cha leo tarehe 8 mwezi wa 4 wapigwa bao sawa na tarehe ya siku ya mchezo wao na Yanga taifa. Amis Tambwe apiga nne, Mliberia nae afunga bao lake la kwanza toka ajiunge Yanga na baada ya kufunga bao hilo alitoa machozi kwa furaha pia mliberia huyo alitoa pasi tatu zilizo zaa mabao matatu katika mchezo huo. Yanga sasa inazidi kujikita kileleni kwa kuwa na point 43 wakishuka dimbani mara 20, Azam...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Vijimambo03 Oct
YANGA HII NI TAMU HATARI. .
![](https://fbcdn-photos-c-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xat1/v/t1.0-0/s526x296/12039557_1005171819525351_4875535068220800723_n.jpg?oh=1e22046cf478c4daec4f2b70d77597ff&oe=56A8BD35&__gda__=1452269470_885e316e8dfa02f2966642c878c00d3a)
HEBU CHEKI HII:-*Tumecheza michezo 5,Tumeshinda yote.*Tumefunga magoli 13,Tumefungwa goli 1.*Tunaongoza ligi toka ligi ilipoanza.*Timu yetu ndio ina safu kali ya kupachika mabao.*Timu yetu ndio ina safu ngumu ya ulinzi.*Timu mbili za juu kati ya 3 tumeshazifunga.
WACHEZAJI:-*Amiss Tambwe kafunga magoli 4.*Donald Ngoma kafunga magoli 4.*Malimi Busungu kafunga magoli 2.*Ally Mustafa hadi sasa ndie kipa bora.*Kamusoko,Twite na Msuva wamefunga goli moja kila mmoja.*Kiwango cha Kelvin Yondani...
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-4oCOCI625Y0/Vga5yEO7rII/AAAAAAAD9kA/3Dd163fP7rk/s72-c/Simba-vs-Yanga-pic.png)
YANGA NI ZAIDI YA MCHARO WAWALIZA SIMBA KWEUPEEE GOLI 2 BILA MAJIBU UTEJA KWA SIMBA KWISHINEIIIIIII!!
![](http://4.bp.blogspot.com/-4oCOCI625Y0/Vga5yEO7rII/AAAAAAAD9kA/3Dd163fP7rk/s640/Simba-vs-Yanga-pic.png)
10 years ago
Vijimambo05 Feb
YANGA SC YA TAIFA SIYO YA TANGA COASTAL WAKAA NYUMBANI NA KUIPISHA YANGA IFANYE YAKE
![](http://shaffihdauda.co.tz/wp-content/uploads/2015/02/Cannavaro-6.jpg)
Ushindi huo umeifanya Yanga SCiwang’oekileleni Azam FC ikifikisha pointi 22,moja nyuma ya wanalambalamba ambao hata hivyo, wana mechi moja mkokoni.Katika mechi hiyo ya kiporo ya raundi ya 10 iliyopaswa kuchezwa jijini hapa Januari 10 lakini ikapigwa kalenda na Shirikisho la Soka Tanzania (TFF)...
10 years ago
Vijimambo22 Jul
YANGA BAADA YA KUGEUZWA MASALO NA GOR MAHIA LEO WAKEUKA MCHARO
![](http://shaffihdauda.co.tz/wp-content/uploads/2015/07/Yanga-leo11.jpg)
Baada ya mchezo wa ufunguzi kugeuzwa chachandu na Gor Mahia kwa kuchapwa 2 kwa 1 leo Yanga wamegeuka mcharo baada ya kuwageuza Telecom ya Djibouti chips mayai 3 na pia wakikosa penati 2. Hili swala la penati limekuwa gonjwa ndani ya miguu ya wachezaji wa timu ya Yanga ukikumbuka hii ni penati ya 3 wanakosa katika michezo miwili, mchezo wa ufunguzi na Gor Mahia walikosa moja na leo wamekosa penati 2 wakosaji wa penati hizo ni Msuva na Tambwe. Nikijana mzarendo aliesajiliwa kutoka Mgambo JKT...
9 years ago
Mwananchi14 Sep
Yanga yajipigia Coastal
9 years ago
Habarileo03 Dec
Simba, Yanga mguu sawa
TIMU za Simba na Yanga zimetamba sasa zimeimarika baada ya wachezaji wao kurejea nchini wakitokea Ethiopia walikokuwa katika michuano ya Kombe la Chalenji. Wakizungumza kwa nyakati tofauti makocha wa timu hizo walisema wanaamini kuanzia leo wachezaji hao watakuwa wamejiunga na vikosi vyao na maandalizi yatakuwa yamekamilika.
10 years ago
GPLYANGA, ETOILE DU SAHEL NGUVU SAWA