Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Simba, Yanga mguu sawa

TIMU za Simba na Yanga zimetamba sasa zimeimarika baada ya wachezaji wao kurejea nchini wakitokea Ethiopia walikokuwa katika michuano ya Kombe la Chalenji. Wakizungumza kwa nyakati tofauti makocha wa timu hizo walisema wanaamini kuanzia leo wachezaji hao watakuwa wamejiunga na vikosi vyao na maandalizi yatakuwa yamekamilika.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

MASHABIKI YANGA, SIMBA WAFANANISHA UFICHO WA MAPATO MTANI JEMBE SAWA NA ESCROW

Na Saleh AllyNIMECHAMBUA mambo kadhaa kuhusiana na mechi ya Nani Mtani Jembe iliyowakutanisha watani, Simba wakashinda kwa mabao 2-0 dhidi ya Yanga.Mechi hiyo ya mwishoni mwa mwaka jana ilifana kwenye Uwanja wa Taifa, Dar. Siku chache baadaye nikaanza kuhoji kuhusiana na mapato kwa kuwa hayakutangazwa, kwa nini ilikuwa siri?Nilitaka kujua kuhusiana na mgawo na Yanga na Simba zilifaidikaje kwa kuwa inaonekana wadhamini wao, Bia ya Kilimanjaro, walichukua kiasi cha fedha. Swali likawa vipi...

 

9 years ago

Habarileo

Taifa Stars mguu sawa

TIMU ya Taifa Tanzania, Taifa Stars, leo wanashuka dimbani kuvaana na Malawi ‘The Flames’ katika mchezo wa kufuzu Kombe la Dunia 2018, huku Kocha Mkuu Charles Mkwasa akiahidi kuibuka na ushindi. Mchezo huo wa awali utachezwa kwenye Uwanja wa Taifa Dar es Salaam kuanzia saa 10:30 jioni .

 

10 years ago

Mwananchi

Mguu sawa kwa walimu wa Tanzania

Baraza la Mawaziri la Afrika Mashariki (EAC) limekamilisha mpango unaolenga kumaliza uhaba wa walimu kwa kuwaruhusu walimu kufanya kazi katika nchi yoyote mwanachama wa jumuiya hiyo.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Mbowe awaweka vijana mguu sawa

MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe, amesema hawatokubali kukaa kimya na kuona Bunge Maalum la Katiba Mpya likiwa linaendelea hadi Oktoba 4. Mbowe alisema, endapo watapuuzwa...

 

10 years ago

Mwananchi

JK awaambia polisi wakae mguu sawa

>Rais Jakaya Kikwete amelikata Jeshi la Polisi nchini kujiandaa kikamilifu ili kukabiliana na vurugu zozote zitakazojitokeza wakati wa uandikishaji wapigakura, upigaji Kura ya Maoni ya kupitisha Katiba Inayopendekezwa na Uchaguzi Mkuu wa Oktoba, mwaka huu.

 

10 years ago

Habarileo

Magufuli leo mguu sawa kwa urais

MGOMBEA Urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk John Magufuli leo anatarajiwa kuchukua fomu ya uteuzi katika Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) ili kusaka wadhamini na kisha kuidhinishwa kuwa mgombea katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 25, mwaka huu.

 

5 years ago

Michuzi

BARAZA LA MADIWANI IKUNGI LAJIWEKA MGUU SAWA KUKABILIANA NA MVUA ZINAZOENDELEA


Mwenyekiti wa Halmashauri ya Ikungi (kushoto) Ally Mwanga na Makamu wake Stephano Missai wakifuatilia matukio ya kikao cha Baraza la Madiwani wa halmashauri hiyo.
Mkurugenzi wa Halmashauri ya Ikungi, Justise Kijazi akizungumza kwenye kikao cha baraza hilo.
Mwenyekiti wa Halmashauri ya Ikungi Ally Mwanga akizungumza.
Mkuu wa Wilaya ya Ikungi, (aliyevaa shati ya bluu katikati) Edward Mpogolo, na viongozi mbalimbali wakiwa kwenye moja ya tukio la kikao hicho.
Mkuu wa Wilaya ya Ikungi, Edward...

 

10 years ago

Vijimambo

YANGA HII NI TAMU ZAIDI YA MCHARO COASTAL WAGEUZWA CHIPS FUNGA WAPOKEA 8 SAWA NA TAREHE YA MCHEZO WAO NA YANGA.


Yanga hii ni ya kimataifa na kitaifa ndiyo habari ya mjini Coastal Union hawatasahau milele kipigo cha leo tarehe 8 mwezi wa 4 wapigwa bao sawa na tarehe ya siku ya mchezo wao na Yanga taifa. Amis Tambwe apiga nne, Mliberia  nae afunga bao lake la kwanza toka ajiunge Yanga na baada ya kufunga bao hilo alitoa machozi kwa furaha pia mliberia huyo alitoa pasi tatu zilizo zaa mabao matatu katika mchezo huo. Yanga sasa inazidi kujikita kileleni kwa kuwa na point 43 wakishuka dimbani mara 20, Azam...

 

11 years ago

GPL

Logarusic atua Yanga, mguu mmoja

Kocha wa Simba, Zdravko Logarusic. Na Mwandishi Wetu
KOCHA wa Simba, Zdravko Logarusic sasa ndiyo chaguo la kwanza la Yanga katika nafasi ya kocha mpya iliyoachwa na Ernie Brandts. Taarifa za uhakika zinasema tayari Yanga imetuma mtu afanye mazungumzo na kocha huyo raia wa Croatia ambaye anaonekana atawezana na mastaa wa Jangwani. Mtoa habari ameliambia Championi Jumatano, jana mchana kuwa Yanga wamemtuma mtu huyo kufanya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani