Logarusic atua Yanga, mguu mmoja
![](http://api.ning.com:80/files/FqkiRUfegChinTlKKZo*ihkgkl4q02brgtDbln8RnMGr-yzN83*wDUELrzfHtYnBaewenSED3ILKJLCK9nnY0ckD-3g7lvVH/logarusic.jpg?width=650)
Kocha wa Simba, Zdravko Logarusic. Na Mwandishi Wetu KOCHA wa Simba, Zdravko Logarusic sasa ndiyo chaguo la kwanza la Yanga katika nafasi ya kocha mpya iliyoachwa na Ernie Brandts. Taarifa za uhakika zinasema tayari Yanga imetuma mtu afanye mazungumzo na kocha huyo raia wa Croatia ambaye anaonekana atawezana na mastaa wa Jangwani. Mtoa habari ameliambia Championi Jumatano, jana mchana kuwa Yanga wamemtuma mtu huyo kufanya...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili16 Dec
Aendesha baiskeli kwa mguu mmoja
9 years ago
Mwananchi08 Sep
‘Nilitembea kutumia mguu mmoja miaka saba’
11 years ago
GPLLogarusic aichambua Yanga
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NEC3sUsJox6kjRz25BEEC2ftQ7Eb*nEAPGFj3L3JLxvHpGsbW9vfWaOkL1GGIsqRsyzuKuiWIRv-LV70FYA134N9uh4ZEarD/kochayanga.jpg?width=650)
Logarusic aingia rada za Yanga
9 years ago
Bongo517 Nov
Picha: Wastara onesha miguu yake kwa mara ya kwanza toka alipokatwa mguu mmoja miaka 6 iliyopita
![Wastara](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2014/06/Wastara-200x133.jpg)
Weekend iliyopita muigizaji mrembo wa filamu za Bongo, Wastara Juma aliamua kuweka wazi kile kinachoendelea kwenye maisha yake toka alipokatwa mguu wake wa kulia miaka 6 iliyopita.
Akiwa jijini Nairobi kwenye matibabu, Wastara alipost picha hii kwenye akaunti yake ya Intagram na kuandika ujumbe ufuatao;
“Kwa mara ya kwanza toka nimekatwa mguu miaka 6 iliyopita leo nimechukua nafasi hii kupost hii pic kuondoa maswali mengi yaliyopo vichwani mwa watu
Nipo kma unavyoiona pic.
Huyo ndio...
11 years ago
Mwananchi14 Jan
Logarusic ampa ulaji kocha Yanga
9 years ago
Habarileo03 Dec
Simba, Yanga mguu sawa
TIMU za Simba na Yanga zimetamba sasa zimeimarika baada ya wachezaji wao kurejea nchini wakitokea Ethiopia walikokuwa katika michuano ya Kombe la Chalenji. Wakizungumza kwa nyakati tofauti makocha wa timu hizo walisema wanaamini kuanzia leo wachezaji hao watakuwa wamejiunga na vikosi vyao na maandalizi yatakuwa yamekamilika.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/6vIMLmuhUcoKolNreH1RLmST5btDchIn3qkveKpbkvyxdelXULavVoNhuhRkp8IPhhT34Th1rsQHqUbXa7CUzO4N8N2YSAAD/logasian.gif?width=650)
Logarusic avunja mazoezi Simba, aifuata Yanga Taifa