Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Aendesha baiskeli kwa mguu mmoja

Christian Haettich ana mguu mmoja na mkono mmoja lakini ana kipaji cha hali ya juu. kuendesha baiskeli. Je anawezaje hilo?

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Mzee wa miaka 69 aendesha baiskeli umbali wa kilomita 200 kumzika Moi

Nathan Abudi amefanya safari ya umbali wa kilomita 200 kwenda kumzika Moi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Baiskeli yamvunja mguu John Kerry

Waziri wa mashauri ya nchi za kigeni wa Marekani amelazwa katika Hospitali mjini Geneva, baada ya kuvunjika mguu,alipokuwa akiendesha baiskeli Nchini Ufaransa.

 

10 years ago

Dewji Blog

MO DEWJI FOUNDATION yampatia Baiskeli kijana aliyepooza mguu

DSC_0370

Mtendaji Mkuu wa MO DEWJI FOUNDATION, Gerald Mgesi David akimkabidhi rasmi kijana Paulo Ezekiel (23) msaada wa baiskeli ya magurudumu matatu (tricycle) itakayomsaidia katika kutembelea kwenye shughuli zake za kila siku.

Na Andrew Chale wa Modewji blog

Taasisi ya MO DEWJI FOUNDATION   inayojishughulisha na miradi ya kusaidia jamii Tanzania katika masuala mbalimbali ikiwemo Afya, elimu na maji mwishoni mwa wiki imeweza kumpatia  kijana Paulo Ezekiel (23) msaada wa baiskeli ya magurudumu...

 

9 years ago

Bongo5

Picha: Wastara onesha miguu yake kwa mara ya kwanza toka alipokatwa mguu mmoja miaka 6 iliyopita

Wastara

Weekend iliyopita muigizaji mrembo wa filamu za Bongo, Wastara Juma aliamua kuweka wazi kile kinachoendelea kwenye maisha yake toka alipokatwa mguu wake wa kulia miaka 6 iliyopita.

Wastara

Akiwa jijini Nairobi kwenye matibabu, Wastara alipost picha hii kwenye akaunti yake ya Intagram na kuandika ujumbe ufuatao;

wastara mguu

“Kwa mara ya kwanza toka nimekatwa mguu miaka 6 iliyopita leo nimechukua nafasi hii kupost hii pic kuondoa maswali mengi yaliyopo vichwani mwa watu
Nipo kma unavyoiona pic.

Huyo ndio...

 

11 years ago

GPL

Logarusic atua Yanga, mguu mmoja

Kocha wa Simba, Zdravko Logarusic. Na Mwandishi Wetu
KOCHA wa Simba, Zdravko Logarusic sasa ndiyo chaguo la kwanza la Yanga katika nafasi ya kocha mpya iliyoachwa na Ernie Brandts. Taarifa za uhakika zinasema tayari Yanga imetuma mtu afanye mazungumzo na kocha huyo raia wa Croatia ambaye anaonekana atawezana na mastaa wa Jangwani. Mtoa habari ameliambia Championi Jumatano, jana mchana kuwa Yanga wamemtuma mtu huyo kufanya...

 

9 years ago

Mwananchi

‘Nilitembea kutumia mguu mmoja miaka saba’

Unaweza kudhani mzaha, lakini ni kweli. Raphael Yusto (18), mkazi wa kijiji cha Ngogwa Halmashauri ya mji wa Kahama mkoani Shinyanga ni kijana mlemavu mwenye mguu mmoja na mkono mmoja aliyekuwa akisakata kabumbu.

 

11 years ago

Mwananchi

Ukawa sasa mguu ndani, mguu nje

>Hatima ya wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba, ambao ni wanachama wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) kuendelea kushiriki vikao vya Bunge au kutoendelea inatarajiwa kujulikana leo.

 

10 years ago

Dewji Blog

Miss Tanzania 2012 Brigitte aendesha mafunzo ya ujasiriamali kwa albino

1

Miss Tanzania 2012 Brigitte Alfred akiwa katika picha ya pamoja na walemavu wa ngozi mara baada ya kumaliza mafunzo ya usajisiriamali kwenye viwanja vya Makumbusho ya Taifa jijini.

Na Mwandishi wetu

Taasisi ya Miss Tanzania 2012, Brigitte Alfred Foundation (BAF) imeendesha mafunzo ya ujasiriamali kwa vijana 50 wenye ulemavu wa ngozi.

Brigitte aliendesha mafunzo hayo kwa kushirikiana na taasisi ya Junior Achievement Tanzania yalifungwa jana kwenye viwanja vya Makumbusho ya Taifa na kupambwa...

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Waziri wa Sierra Leone aendesha kikao kwa njia ya video akiwa na mwanae mgongoni

Waziri wa elimu wa Sierra Leone David Sengeh achanganya kazi za ofisi na malezi ya mtoto nyumbani.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani