Aendesha baiskeli kwa mguu mmoja
Christian Haettich ana mguu mmoja na mkono mmoja lakini ana kipaji cha hali ya juu. kuendesha baiskeli. Je anawezaje hilo?
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili13 Feb
Mzee wa miaka 69 aendesha baiskeli umbali wa kilomita 200 kumzika Moi
10 years ago
BBCSwahili01 Jun
Baiskeli yamvunja mguu John Kerry
10 years ago
Dewji Blog25 Mar
MO DEWJI FOUNDATION yampatia Baiskeli kijana aliyepooza mguu
Mtendaji Mkuu wa MO DEWJI FOUNDATION, Gerald Mgesi David akimkabidhi rasmi kijana Paulo Ezekiel (23) msaada wa baiskeli ya magurudumu matatu (tricycle) itakayomsaidia katika kutembelea kwenye shughuli zake za kila siku.
Na Andrew Chale wa Modewji blog
Taasisi ya MO DEWJI FOUNDATION inayojishughulisha na miradi ya kusaidia jamii Tanzania katika masuala mbalimbali ikiwemo Afya, elimu na maji mwishoni mwa wiki imeweza kumpatia kijana Paulo Ezekiel (23) msaada wa baiskeli ya magurudumu...
9 years ago
Bongo517 Nov
Picha: Wastara onesha miguu yake kwa mara ya kwanza toka alipokatwa mguu mmoja miaka 6 iliyopita
Weekend iliyopita muigizaji mrembo wa filamu za Bongo, Wastara Juma aliamua kuweka wazi kile kinachoendelea kwenye maisha yake toka alipokatwa mguu wake wa kulia miaka 6 iliyopita.
Akiwa jijini Nairobi kwenye matibabu, Wastara alipost picha hii kwenye akaunti yake ya Intagram na kuandika ujumbe ufuatao;
“Kwa mara ya kwanza toka nimekatwa mguu miaka 6 iliyopita leo nimechukua nafasi hii kupost hii pic kuondoa maswali mengi yaliyopo vichwani mwa watu
Nipo kma unavyoiona pic.
Huyo ndio...
11 years ago
GPLLogarusic atua Yanga, mguu mmoja
9 years ago
Mwananchi08 Sep
‘Nilitembea kutumia mguu mmoja miaka saba’
11 years ago
Mwananchi26 Mar
Ukawa sasa mguu ndani, mguu nje
10 years ago
Dewji Blog27 Nov
Miss Tanzania 2012 Brigitte aendesha mafunzo ya ujasiriamali kwa albino
Miss Tanzania 2012 Brigitte Alfred akiwa katika picha ya pamoja na walemavu wa ngozi mara baada ya kumaliza mafunzo ya usajisiriamali kwenye viwanja vya Makumbusho ya Taifa jijini.
Na Mwandishi wetu
Taasisi ya Miss Tanzania 2012, Brigitte Alfred Foundation (BAF) imeendesha mafunzo ya ujasiriamali kwa vijana 50 wenye ulemavu wa ngozi.
Brigitte aliendesha mafunzo hayo kwa kushirikiana na taasisi ya Junior Achievement Tanzania yalifungwa jana kwenye viwanja vya Makumbusho ya Taifa na kupambwa...
5 years ago
BBCSwahili01 May
Virusi vya corona: Waziri wa Sierra Leone aendesha kikao kwa njia ya video akiwa na mwanae mgongoni