Baiskeli yamvunja mguu John Kerry
Waziri wa mashauri ya nchi za kigeni wa Marekani amelazwa katika Hospitali mjini Geneva, baada ya kuvunjika mguu,alipokuwa akiendesha baiskeli Nchini Ufaransa.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili16 Dec
Aendesha baiskeli kwa mguu mmoja
10 years ago
Dewji Blog25 Mar
MO DEWJI FOUNDATION yampatia Baiskeli kijana aliyepooza mguu
Mtendaji Mkuu wa MO DEWJI FOUNDATION, Gerald Mgesi David akimkabidhi rasmi kijana Paulo Ezekiel (23) msaada wa baiskeli ya magurudumu matatu (tricycle) itakayomsaidia katika kutembelea kwenye shughuli zake za kila siku.
Na Andrew Chale wa Modewji blog
Taasisi ya MO DEWJI FOUNDATION inayojishughulisha na miradi ya kusaidia jamii Tanzania katika masuala mbalimbali ikiwemo Afya, elimu na maji mwishoni mwa wiki imeweza kumpatia kijana Paulo Ezekiel (23) msaada wa baiskeli ya magurudumu...
11 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/75072000/jpg/_75072001_75070847.jpg)
John Kerry will testify on Benghazi
10 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/82770000/jpg/_82770343_johnkerryap.jpg)
John Kerry in brief visit to Mogadishu
11 years ago
BBCSwahili22 Jun
John Kerry azuru Misri
10 years ago
BBCSwahili05 May
John Kerry azuru mji wa Mogadishu
10 years ago
BBCSwahili09 Apr
John Kerry aionya Iran kuhusu Yemen
10 years ago
StarTV09 Apr
John Kerry aionya Iran kuhusu mgogoro Yemen
Waziri wa maswala ya kigeni nchini Marekani John Kerry ameionya Iran dhidi ya hatua yake ya kuwaunga mkono wapiganaji wa Houthi wanaopambana na serikali ya Yemen.
Katika mahojiano ya Televisheni, John Kerry amesema Marekani itaiunga mkono nchi yoyote mashariki ya Kati itakayotishiwa na Iran.
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/624/amz/worldservice/live/assets/images/2015/04/02/150402180008_iran_640x360_ap_nocredit.jpg)
Jana Iran ilituma meli mbili za kivita katika bandari ya Aden kuwaunga mkono waasi, ambao wanapambana kuudhibiti mji huo.
Marekani inaunga mkono muungano wa kijeshi unaoongozwa na Saudia...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Gaifjrfkcmw/VjzhPK5ZMII/AAAAAAAIEvQ/t-a5zcYOkuw/s72-c/us.jpg)
Tamko la Waziri wa Mambo ya Nje John Kerry kuhusu Uchaguzi wa Tanzania
![](http://4.bp.blogspot.com/-Gaifjrfkcmw/VjzhPK5ZMII/AAAAAAAIEvQ/t-a5zcYOkuw/s640/us.jpg)
Kwa niaba ya Rais Obama na watu wa Marekani, nawapongeza watu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa uchaguzi wa rais na wabunge ulioendelea kuthibitisha rekodi nzuri ya Tanzania katika kujenga demokrasia imara.Wakati Rais John Pombe Joseph Magufuli na serikali yake wakichukua majukumu yao, tunatarajia kuendelea na ubia wetu wa karibu na kuimarisha zaidi ushirikiano baina ya nchi zetu mbili tunapofanya...