Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


John Kerry azuru Misri

Waziri wa maswala ya kigeni nchini Marekani John Kerry yupo mjini Cairo nchini Misri ili kukutana na raiswa taifa hilo.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

John Kerry azuru mji wa Mogadishu

Waziri wa maswala ya Marekani John Kerry amewasili katika mji wa Mogadishu ambapo anakutana na rais Hassan Sheikh Mohamud

 

10 years ago

BBC

John Kerry in brief visit to Mogadishu

John Kerry becomes the first US secretary of state to visit the Somali capital Mogadishu, which is recovering from years of conflict

 

11 years ago

BBC

John Kerry will testify on Benghazi

US Secretary of State John Kerry will testify in front of a House panel about the deadly Benghazi attacks according to a letter obtained by the BBC.

 

10 years ago

BBCSwahili

Baiskeli yamvunja mguu John Kerry

Waziri wa mashauri ya nchi za kigeni wa Marekani amelazwa katika Hospitali mjini Geneva, baada ya kuvunjika mguu,alipokuwa akiendesha baiskeli Nchini Ufaransa.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mkuu wa kanisa Anglikana azuru Misri

Askofu mkuu wa Cantebury ,Justin Welby anawatembelea viongozi wa kisiasa pamoja na wale wa kidini nchini Misri

 

10 years ago

BBCSwahili

John Kerry aionya Iran kuhusu Yemen

John Kerry ameionya Iran dhidi ya hatua yake ya kuwaunga mkono wapiganaji wa Houthi wanaopambana na serikali ya Yemen.

 

10 years ago

StarTV

John Kerry aionya Iran kuhusu mgogoro Yemen

Waziri wa maswala ya kigeni nchini Marekani John Kerry ameionya Iran dhidi ya hatua yake ya kuwaunga mkono wapiganaji wa Houthi wanaopambana na serikali ya Yemen.

Katika mahojiano ya Televisheni, John Kerry amesema Marekani itaiunga mkono nchi yoyote mashariki ya Kati itakayotishiwa na Iran.

Iran na Marekani

Jana Iran ilituma meli mbili za kivita katika bandari ya Aden kuwaunga mkono waasi, ambao wanapambana kuudhibiti mji huo.

Marekani inaunga mkono muungano wa kijeshi unaoongozwa na Saudia...

 

9 years ago

Michuzi

Tamko la Waziri wa Mambo ya Nje John Kerry kuhusu Uchaguzi wa Tanzania

Ubalozi wa Marekani

 Dar es Salaam

TANZANIA

5 Novemba, 2015

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI


Kwa niaba ya Rais Obama na watu wa Marekani, nawapongeza watu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa uchaguzi wa rais na wabunge ulioendelea kuthibitisha rekodi nzuri ya Tanzania katika kujenga demokrasia imara.Wakati Rais John Pombe Joseph Magufuli na serikali yake wakichukua majukumu yao, tunatarajia kuendelea na ubia wetu wa karibu na kuimarisha zaidi ushirikiano baina ya nchi zetu mbili tunapofanya...

 

11 years ago

BBCSwahili

Kerry: Israel na Palestina zungumzeni

Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani John Kerry srael na Palestina kutia maanani usitishwaji wa mapigano.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani