Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Zanzibar bado hakieleweki

Dalili za kufanyika kwa uchaguzi wa Rais wa Zanzibar na wawakilishi zinaonekana kuwa finyu kutokana na kutokuwapo maelekezo yoyote ya kuitaka Tume ya Uchaguzi (ZEC) kuanza kuuandaa.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Simba bado Zanzibar

SIMBA jana ilishindwa kuonesha makali yake baada ya kupokea kichapo cha mabao 2-0 kutoka kwa Jeshi la Kujenga Uchumi (JKU), katika mchezo uliofanyika kwenye Uwanja wa Amaan mjini hapa.

 

10 years ago

Mwananchi

Hatima ya Zanzibar bado kujulikana

Waswahili husema jambo usilolijua ni sawa na usiku wa giza. Msemo huo unaweza usiwe na maana kwa watu wengine, lakini siyo wananchi wa Zanzibar, waliojikuta wakipoteza ndoto ya kumpata rais waliyemchagua baada ya Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) kufuta matokeo ya Uchaguzi Mkuu wa 2015 visiwani humo.

 

10 years ago

Mwananchi

Zanzibar ,ukuza ji utalii bado kizungumkuti

Safari hii nilitembelea mashamba ya viungo na mapango ya Manga Pwani na mabafu ya Hamamni yaliyokuwa yakitumiwa na mke wa Mfalme Sayyid Said miaka ya 1847 na baadaye.

 

11 years ago

Vijimambo

Watalii bado kivutia kikubwa Zanzibar

Kizimkazi imekuwa kivutio Kikubwa cha Watalii kutoka Sehemu mbali mbali Ulimwenguni kuja kuangalia Dolphine katika Bahari Hind ya Zanzibar,Afrika Mashariki Kwao ni Kivutio cha kuwatia Hamasa hasa kwa Kuwaona vile Wanavyoshuhulika katika maeneo yao na kupata fursa ya kuwapiga picha na video Wavuvi wa Kizimkazi hufaidika na shughuli hiyo ya kuwapeleka Watalii kuona Umashuhuri wa Dolphin wa Bahari hiyo walisema wakati nilipofanya mahojiano nao katika ziara yangu huko zenj.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Zanzibar bado kuelekea uchaguzi huru

MARA nyingi nimeeleza kupitia gazeti hili na vyombo vingine vya habari kuwa licha ya kutolewa ahadi nyingi za kuwa na uchaguzi huru na wa haki, bado Zanzibar inayo safari ndefu...

 

10 years ago

BBCSwahili

Mchezo wa ngumi bado marufuku Zanzibar

Mchezo wa Ngumi za Mateke (Kick Boxing) bado umeendelea kupigwa marufuku katika visiwa vya Zanzibar.

 

9 years ago

GPL

NIKIIANGALIA ZANZIBAR; BADO WATANZANIA TUPO MAJARIBUNI

Hayati mwalimu Julius Kambarage Nyerere. HAKIKA Mungu ni mwema na anastahili kuhimidiwa milele. Nasema hivyo kutokana na hali ya usalama na amani ambayo ipo nchini kwa sasa. Wengi kabla ya uchaguzi mkuu tulikuwa na wasiwasi na tulikuwa tukikesha tukiombea nchi amani, Mungu ametusikia. Lakini jambo moja la wazi ni kwamba mgogoro wa Zanzibar unaumiza vichwa watu wote wanaoitakia mema nchi hii na tukiri kuwa tupo majaribuni. Kwa...

 

10 years ago

Habarileo

Kasi ya kutelekeza wake, watoto Zanzibar bado kubwa

TATIZO la wanaume kutelekeza wanawake na watoto limetajwa kushika nafasi ya pili katika vitendo vya udhalilishaji wa kijinsia baada ya ubakaji Zanzibar.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani