Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mchezo wa ngumi bado marufuku Zanzibar

Mchezo wa Ngumi za Mateke (Kick Boxing) bado umeendelea kupigwa marufuku katika visiwa vya Zanzibar.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

HAFRA FUPI YA SHIRIKISHO LA NGUMI ZA RIDHAA TANZANIA KWA AJILI YA KUHAMASISHA MCHEZO WA NGUMI KWA VIJANA TANZANIA

Baadhi ya wachezaji wa timu ya Taifa wa ngumi za Ridhaa pamoja na wadau wengine wa mchezo huo katika Picha ya pamoja, wakati wa hafra hiyo.

Aliyesimama kushoto ni mkurugenzi wa Afrika Mashariki kupitia kinywaji cha Battery Bwana Tony Misokia akiwa anaongea na wananchi walioshiriki katika Hafra hiyo.…

 

5 years ago

Michuzi

Mchezo wa Ngumi Warejesha Heshima ya Tanzania Kimataifa

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli
akizungumza na Wachezaji wa timu ya Taifa ya Mpira wa Miguu Taifa Stars
ambao walifika Ikulu Machi 25, 2019 mara baada ya kufanikiwa kufuzu kushiriki Fainali za michuano ya Mataifa ya Africa AFCON baada ya kuifunga Timu ya Taifa ya Uganda The Cranes magoli 3-0 jijini Dar es Salaam.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli
akiwa na Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan, Waziri Mkuu Kassim Majaliwa,...

 

11 years ago

Michuzi

MCHEZO WA NGUMI KUHAMIA WILAYANI KISARAWE APRIL 26


Bondia Mbaruku Heri (kushoto) akimkabidhi barua ya maombi ya kuhamasisha mchezo wa masumbwi katika Wilaya ya Kisarawe Mwenyekiti wa halimashauri ya Wilaya ya Kisarawe, Adam Ng'imba  (kulia)
ambapo imepagwa April 26 kutakuwa na ngumi za wazi kwa ajili ya kuhamasisha mchezo huo uliopotea wilayani humo. wengine wa pili kushoto ni Masudi Bakari na Saidi Chaku.
Mwenyekiti wa halimashauri ya Wilaya ya Kisarawe, Adam Ng'imba (kushoto) akitaniana na Masudi Bakari mara baada ya kuletewa barua kwa...

 

10 years ago

BBCSwahili

V. Gaal:Bado sifurahishwi na mchezo wetu

kocha Louis Van Gaal amemwambia aliyekuwa kocha wa timu hiyo Alex Furguson kwamba bado hajafurahishwa na mchezo wa kilabu hiyo

 

10 years ago

Michuzi

TAIFA STARS BADO NGOMA NGUMU COSAFA, YAPOTEZA MCHEZO WA PILI KWA KUPIGWA 2-0 NA MADAGASCER

Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) jana imepoteza mchezo wa pili mfululizo katika michuano ya kombe la Cosafa, baada ya kufungwa mabao 2 - 0 na Madagascar, mchezo uliofanyika katika uwanja wa Royal Bafokeng jijini Rustenburg.
Kwa Taifa Stars kupoteza mchezo huo, moja kwa moja inakua imeaga michuano katika hatua ya makundi, kutokana na kubakisha mchezo mmoja tu wa kukamilisha ratiba dhidi ya Lesotho utakaochezwa kesho ijumaa katika uwanja wa Moruleng.Katika mchezo huo wa jana, Taifa Stars...

 

10 years ago

Vijimambo

HUKO KUNAKO LIGI YA BPL MAMBO HIKO HIVI BAADA YA MCHEZO WA LEO THE BLUES BADO MCHARO


POSLOGO &TEAMPWDLGDPTS1ChelseaChelsea30217237702ArsenalArsenal31196630633Manchester UnitedManchester United31188527624Manchester CityManchester City31187633615LiverpoolLiverpool3116699546Tottenham HotspurTottenham Hotspur3116695547SouthamptonSouthampton311651020538Swansea CitySwansea City3113711-2469West Ham UnitedWest Ham United311191124210Stoke CityStoke City3112613-44211Crystal PalaceCrystal Palace3110912-43912EvertonEverton3191012-33713Newcastle UnitedNewcastle United319814-163514West Bromwich AlbionWest Bromwich Albion318914-153315SunderlandSunderland3151412-202916Hull CityHull City3161015-142817Aston VillaAston Villa317717-222818BurnleyBurnley3151115-232619Queens Park RangersQueens Park Rangers317420-202520Leicester City

 

9 years ago

Michuzi

FAINALI YA MCHEZO WA BAO NA KARATA EACROTANALI ZANZIBAR


 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akicheza bao la kete na mzee Abdalla Salim Kitambo wa Wilaya ya Mjini wakati alipofika kuyafunga mashindano ya fainali ya mchezo huo na mchezo wa Karata katika viwaja vya Eacrotanal leo

 Baadhi ya Timu mbali mbali za Michezo ya Bao la Kete na karata wakiwa katika fainali ya michezo hiyo iliyofanyika leo katika viwanja vya Eacrotanal Mjini Unguja,wakati mgeni rasmi akiwa  Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza...

 

10 years ago

Vijimambo

Al Hilal ya Sudan Yawasili Zanzibar kwa Mchezo wao na KMKM

Wachezaji wa timu ya Al Hilal ya Sudan wakiwa katika chumba cha mapokezi baada ya kuwasili leo kwa mchezo wao wa marudio na timu ya KMKM unaotarajiwa kufanyika uwanja wa Amaan mwishoni wa wiki hii. katika mchezo wao wa awali uliofanyika Nchini Sudan timu ya Al Hilal imeshinda 2--0 Wachezajin wa Timu ya Al Hilal wakitoka katika jengo la Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume Zanzibar baada ya kuwasili Zanzibar kwa ajili ya Mchezo wao wa Ligi ya Mabingwa Afrika.. Wachezajin wa Timu...

 

9 years ago

Vijimambo

Dk Shein Mgeni Rasmin Fainali za Mchezo wa Bao na Karata Viwanja vya Ekrotanali Zanzibar.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, akiwasili katika viwanja vya Ekrotanali maisara kuhudhuria Fainali ya michezo ya Bao na Karata akiongozana na Mwenyekiti wa Baraza la Michezo Zanzibar Sharifa Khamis. Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi akionesha ufundi wa kusafiri kupitia mchezo wa bao wa ufunguzi wa fainali ya michezo ya Bao na Karata iliofanyika katika viwanja vya Ekrotanali maisara Zanzibar katika mchezo huo Dk Shein, amefungwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani