MCHEZO WA NGUMI KUHAMIA WILAYANI KISARAWE APRIL 26
Bondia Mbaruku Heri (kushoto) akimkabidhi barua ya maombi ya kuhamasisha mchezo wa masumbwi katika Wilaya ya Kisarawe Mwenyekiti wa halimashauri ya Wilaya ya Kisarawe, Adam Ng'imba (kulia)
ambapo imepagwa April 26 kutakuwa na ngumi za wazi kwa ajili ya kuhamasisha mchezo huo uliopotea wilayani humo. wengine wa pili kushoto ni Masudi Bakari na Saidi Chaku.
Mwenyekiti wa halimashauri ya Wilaya ya Kisarawe, Adam Ng'imba (kushoto) akitaniana na Masudi Bakari mara baada ya kuletewa barua kwa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPLHAFRA FUPI YA SHIRIKISHO LA NGUMI ZA RIDHAA TANZANIA KWA AJILI YA KUHAMASISHA MCHEZO WA NGUMI KWA VIJANA TANZANIA
10 years ago
BBCSwahili10 Mar
Mchezo wa ngumi bado marufuku Zanzibar
5 years ago
MichuziMchezo wa Ngumi Warejesha Heshima ya Tanzania Kimataifa
akizungumza na Wachezaji wa timu ya Taifa ya Mpira wa Miguu Taifa Stars
ambao walifika Ikulu Machi 25, 2019 mara baada ya kufanikiwa kufuzu kushiriki Fainali za michuano ya Mataifa ya Africa AFCON baada ya kuifunga Timu ya Taifa ya Uganda The Cranes magoli 3-0 jijini Dar es Salaam.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli
akiwa na Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan, Waziri Mkuu Kassim Majaliwa,...
10 years ago
MichuziSHINDANO LA MAMA SHUJAA LAZINDULIWA WILAYANI KISARAWE
Na Mwandishi WetuMkuu wa Wilaya ya Kisarawe Mh.Subira Mgalu amezindua Shindano la Mama Shujaa wa Chakula linaloendeshwa na Shirika lisilo la kiserikali la Oxfam kupitia kampeni ya Grow lenye lengo la Kumuwezesha Mwanamke katika kilimo na kumkwamua kiuchumi.
Subira ameyasema hayo wakati wa uzinduzi wa kampeni ya kumwezesha mwanamke katika kilimo na kumkwa mwanamke kiuchumi iliyofanyika katika kijiji cha Kisanga wilayani Kisarawe mkoani Pwani.
Subira amesema kufanyika kwa mashindano wilayani...
10 years ago
MichuziJWTZ LAFAFANUA MGOGORO WA ARDHI TONDORONI WILAYANI KISARAWE
5 years ago
MichuziWAZIRI ZUNGU AFANYA ZIARA MACHIMBO YA MADINI YA KAOLIN WILAYANI KISARAWE
10 years ago
MichuziWAWEKEZAJI KUTOKA CHINA WAVUTIWA NA ENEO LA VIWANDA WILAYANI KISARAWE MKOANI PWANI