Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


V. Gaal:Bado sifurahishwi na mchezo wetu

kocha Louis Van Gaal amemwambia aliyekuwa kocha wa timu hiyo Alex Furguson kwamba bado hajafurahishwa na mchezo wa kilabu hiyo

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Van Gaal:Mchezo wa Depay umeshuka

Mkufunzi wa kilabu ya Manchester United Louis Van Gaal amesema kuwa anatarajia mengi kutoka kwa winga wa klabu hiyo Memphis Depay.

 

5 years ago

BBCSwahili

Mbwana Sammatta 'Mchezo ulikuwa mgumu upande wetu'

Sammatta amekiri kuwa Manchester City iliishinda nguvu Aston Villa

 

10 years ago

Mwananchi

Van Gaal: Man United bado sana

Kocha wa Manchester United, Louis van Gaal amekiri kuwa mwanzo umekuwa mgumu kwake msimu huu hasa baada ya kulazimishwa kwenda suluhu na Burnley.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mchezo wa ngumi bado marufuku Zanzibar

Mchezo wa Ngumi za Mateke (Kick Boxing) bado umeendelea kupigwa marufuku katika visiwa vya Zanzibar.

 

11 years ago

Mwananchi

Irene Uwoya:Wasanii bado hatujaweza kuthamini muda wetu

Mwigizaji wa filamu na mtangazaji wa kipindi cha redio cha Paradise, Irene Uwoya, amesema licha ya kwamba wasanii wanafanya bidii kuyafikia mafanikio, kikwazo kikubwa katika safari yao ni kutokuthamini muda.

 

10 years ago

Michuzi

TAIFA STARS BADO NGOMA NGUMU COSAFA, YAPOTEZA MCHEZO WA PILI KWA KUPIGWA 2-0 NA MADAGASCER

Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) jana imepoteza mchezo wa pili mfululizo katika michuano ya kombe la Cosafa, baada ya kufungwa mabao 2 - 0 na Madagascar, mchezo uliofanyika katika uwanja wa Royal Bafokeng jijini Rustenburg.
Kwa Taifa Stars kupoteza mchezo huo, moja kwa moja inakua imeaga michuano katika hatua ya makundi, kutokana na kubakisha mchezo mmoja tu wa kukamilisha ratiba dhidi ya Lesotho utakaochezwa kesho ijumaa katika uwanja wa Moruleng.Katika mchezo huo wa jana, Taifa Stars...

 

10 years ago

Vijimambo

HUKO KUNAKO LIGI YA BPL MAMBO HIKO HIVI BAADA YA MCHEZO WA LEO THE BLUES BADO MCHARO


POSLOGO &TEAMPWDLGDPTS1ChelseaChelsea30217237702ArsenalArsenal31196630633Manchester UnitedManchester United31188527624Manchester CityManchester City31187633615LiverpoolLiverpool3116699546Tottenham HotspurTottenham Hotspur3116695547SouthamptonSouthampton311651020538Swansea CitySwansea City3113711-2469West Ham UnitedWest Ham United311191124210Stoke CityStoke City3112613-44211Crystal PalaceCrystal Palace3110912-43912EvertonEverton3191012-33713Newcastle UnitedNewcastle United319814-163514West Bromwich AlbionWest Bromwich Albion318914-153315SunderlandSunderland3151412-202916Hull CityHull City3161015-142817Aston VillaAston Villa317717-222818BurnleyBurnley3151115-232619Queens Park RangersQueens Park Rangers317420-202520Leicester City

 

10 years ago

Dewji Blog

Tahariri: Mimba ya Aunt Ezekiel bado bado sana, blogs zitafute ukweli kwanza na sio kukurupuka

AUNT1

Na Andrew Chale wa Mo dewji blog

Huenda nawe umezisikia taarifa zilizozagaa kwenye mitandao yaa kijaamii na kwingineko juu ya kuwa star mwenye mvuto wa asili anayetikisa Bongo kwa filamu mbalimbali, Msanii  wa kike, Aunt Ezekiel ambaye kwa sasa ni mjamzito, amejifungua?.

Kwa  taarifa za uhakika kutoka katikaa moja ya mtandao wa kijamii wa Global Publisher inayokubalika hapa nchini (http://www.globalpublishers.info/profiles/blogs/aunt-ezekiel-akanusha-taarifa-za-kujifungua-asema-video-ya) ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani