Van Gaal:Mchezo wa Depay umeshuka
Mkufunzi wa kilabu ya Manchester United Louis Van Gaal amesema kuwa anatarajia mengi kutoka kwa winga wa klabu hiyo Memphis Depay.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog03 Nov
Baada ya kutojumuishwa katika timu ya taifa ya Uholanzi, Van Gal naye amtoa kikosini Depay kwenye mchezo wa UEFA
Winga wa Manchester United, Memphis Depay.
Kocha wa Manchester United, Louis Van Gaal.
Na Rabi Hume
Winga wa klabu ya Manchester United, Mholanzi Memphis Depay amekuwa na wakati mgumu katika kipindi hiki cha karibuni kutokana na kudaiwa kushuka kiwango jambo lililomfanya kocha wake Louis Van Gaal kuwa akimweka benchi na nafasi yake ikichukuliwa na kijana mwenzake, Mfaransa Antony Martial.
Kama hilo halitoshi jana nchini Uholanzi yametangazwa majina ya wachezaji ambao wataingia kambini kwa...
9 years ago
BBCSwahili26 Nov
Van Gaal:Tutashinda Wolfsburg
10 years ago
BBCSwahili15 Dec
Hatufikirii ubingwa:Van gaal
10 years ago
BBCSwahili25 Oct
Mourinho amsifu Van Gaal
11 years ago
BBCSwahili24 Jun
VAN GAAL : FIFA IMETUONEA
10 years ago
BBCSwahili20 Dec
V. Gaal:Bado sifurahishwi na mchezo wetu
11 years ago
BBCSwahili29 Jun
Van Gaal; Kopo la maji uwanjani ?
10 years ago
BBCSwahili12 Jan
Van Gaal ajitetea kuhusu Falcao
10 years ago
BBCSwahili26 Dec
Van Gaal:Tunataka kushinda ligi