NIKIIANGALIA ZANZIBAR; BADO WATANZANIA TUPO MAJARIBUNI

Hayati mwalimu Julius Kambarage Nyerere. HAKIKA Mungu ni mwema na anastahili kuhimidiwa milele. Nasema hivyo kutokana na hali ya usalama na amani ambayo ipo nchini kwa sasa. Wengi kabla ya uchaguzi mkuu tulikuwa na wasiwasi na tulikuwa tukikesha tukiombea nchi amani, Mungu ametusikia. Lakini jambo moja la wazi ni kwamba mgogoro wa Zanzibar unaumiza vichwa watu wote wanaoitakia mema nchi hii na tukiri kuwa tupo majaribuni. Kwa...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo06 Jan
Bado tupo na Profesa Kitila, Mwigamba — ACT
CHAMA cha Siasa cha Mabadiliko na Uwazi (ACT-Tanzania) kimesema mkutano wa iliyojiita Kamati Kuu ya chama hicho na kutengua uongozi na uanachama wa Katibu Mkuu, Samson Mwigamba na Mshauri wa chama hicho, Profesa Kitila Mkumbo, haukuwa na uhalali.
10 years ago
Habarileo22 Nov
TACAIDS: Watanzania bado hawana uelewa wa ugonjwa wa Ukimwi
TUME ya Kudhibiti Ukimwi (TACAIDS) imesema kuongezeka kwa matumizi ya tiba mbadala katika ugonjwa wa Ukimwi kunatokana na zaidi ya asilimia 50 ya watanzania licha ya kusikia kuhusu ugonjwa huo, bado hawana uelewa wake.
10 years ago
Mwananchi12 Sep
Vigogo Ligi Kuu England majaribuni
11 years ago
Mwananchi08 Nov
Rodgers, Mourinho w yatiwa majaribuni upya England
10 years ago
Habarileo30 Aug
Simba bado Zanzibar
SIMBA jana ilishindwa kuonesha makali yake baada ya kupokea kichapo cha mabao 2-0 kutoka kwa Jeshi la Kujenga Uchumi (JKU), katika mchezo uliofanyika kwenye Uwanja wa Amaan mjini hapa.
9 years ago
Mwananchi13 Dec
Zanzibar bado hakieleweki
10 years ago
Mwananchi04 Nov
Hatima ya Zanzibar bado kujulikana
11 years ago
Tanzania Daima05 Feb
Zanzibar bado kuelekea uchaguzi huru
MARA nyingi nimeeleza kupitia gazeti hili na vyombo vingine vya habari kuwa licha ya kutolewa ahadi nyingi za kuwa na uchaguzi huru na wa haki, bado Zanzibar inayo safari ndefu...