Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Sitta akwaa kisiki

KIKAO cha Kamati ya Mashauriano kinachotarajiwa kufanyika leo chini ya Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba, Samuel Sitta, huenda kisifikie lengo lake la kutafuta suluhu ya kunusuru Bunge hilo liweze...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

Chenge akwaa kisiki Escrow, Akimbilia Mahakama Kuu.

Mbunge wa Bariadi Magharibi (CCM), Andrew Chenge.
Mbunge wa Bariadi Magharibi (CCM), Andrew Chenge, jana ‘alikwaa kisiki’ baada ya Baraza la Maadili ya Viongozi wa Umma kutupilia mbali pingamizi lake aliloliwasilisha juzi kuzuia kusikilizwa kwa shauri lake kuhusiana na tuhuma za kukiuka sheria ya maadili ya viongozi wa umma.

Pamoja na mambo mengine, Chenge, ambaye ni Mwanasheria Mkuu wa Serikali mstaafu, anatuhumiwa kwa kujipatia mgawo wa Sh. bilioni 1.6 kutoka kwenye fedha zilizochotwa...

 

11 years ago

GPL

MAIMATHA AKWAA SKENDO YA UTAPELI

Stori: Gladness Mallya SKANDALI! Prizenta maarufu Bongo, Maimatha Jesse amejikuta katika wakati mgumu baada ya kukwaa skendo ya utapeli kutokana na dawa za kukuza maungo anazoziuza kuwa hazifanyi kazi.
Sosi ameibua utapeli huo wa Maimatha kwa kusema: Prizenta maarufu Bongo, Maimatha Jesse akipozi katika duka lake la vipodozi. “Maimatha anatapeli watu na dawa zake, yaani tumepaka mabinti wengi hazitusaidii chochote, ni...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Doris akwaa taji Miss Singida

MWANADADA Doris Molel (23) ambaye ni mwanafunzi wa mwaka wa tatu katika Chuo cha Kumbukumbu cha Mwalimu Nyerere cha jijini Dar es Salaam katika Kitivo cha Siasa na Maendeleo ya...

 

10 years ago

GPL

JOYCE KIRIA AKWAA SKENDO YA UTAPELI

Hosti wa Kipindi cha Wanawake Live kupita Televisheni ya EATV, Joyce Kiria. Why Joyce? Hosti wa Kipindi cha Wanawake Live kupita Televisheni ya EATV, Joyce Kiria yupo kwenye wakati mgumu baada ya kukwaa skendo ya utapeli kwa marafiki zake (majina yanahifadhiwa kwa sasa) akidaiwa kuwashawishi kuingia kwenye biashara ya Mtandao ya Telexfree Network Marketing. Kwa mujibu wa sosi makini, ishu hiyo imeibuka juzikati ambapo Joyce...

 

10 years ago

BBCSwahili

Man United yakwaa kisiki

Ligi kuu ya England jana usiku Manchester United ilijikuta ikibanwa mbavu ugenini kwa Westbromwich Albion katika sare ya 2-2.

 

10 years ago

Mtanzania

Mbowe: Mimi ni kisiki Chadema

Freeman Mbowe

Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe

NA SHABANI MATUTU, DAR ES SALAAM

MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe, ametangaza rasmi kutetea nafasi yake baada ya kuombwa kufanya hivyo na viongozi mbalimbali wa chama hicho.

Pamoja na hilo, pia amewakaribisha wanachama wa Chadema wanaohisi wana uwezo wa kushinda nafasi hiyo kujipima kwake.

Alitangaza uamuzi huo mbele ya waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, baada ya kuchukuliwa fomu na Mwenyekiti wa Baraza...

 

10 years ago

Raia Tanzania

Simba yakwaa kisiki Zanzibar

KLABU ya Simba imeshindwa kucheza mechi ya kirafiki wiki hii visiwani Zanzibar baada ya kukosa timu yenye ubora kwa ajili ya kupima kikosi chake.

Rais wa Simba, Evans Aveva, alisema jana kuwa kocha wao, Dylan Kerr, alitaka kucheza mchezo wa kirafiki mwishoni mwa wiki hii, imeshindikana baada ya kukosa timu nzuri ya kucheza nayo.

“Unajua timu nyingi zipo hapa Dar es Salaam zinashiriki michuano ya Kagame, na timu ambayo tulikua tunategemea kucheza nao ni KMKM ndio kidogo ingetupa...

 

11 years ago

Mwananchi

Serikali yakwaa kisiki Hifadhi ya Serengeti

>Mahakama ya Afrika Mashariki (EACJ), imeizuia Serikali ya Tanzania kujenga barabara ya lami kupitia Hifadhi ya Taifa ya Serengeti, ikieleza kuwa ujenzi huo utaathiri mazingira, maisha ya wanyamawwpori na baoanuai ya hifadhi hiyo.

 

10 years ago

GPL

KISIKI UKAWA KUPATA MGOMBEA NI HIKI

Viongozi wa vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA). Na Ojuku Abraham WAKATI Watanzania wakiwa makini kusikiliza jina la mgombea wa nafasi ya urais kutoka vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) ambaye atapambana na Dk. John Magufuli wa CCM, habari zinasema kizingiti kikubwa cha kumpata mtu huyo ni mvutano mkubwa uliopo baina ya vyama viwili vya CUF na Chadema, Uwazi Mizengwe linakutaarifu.....Soma...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani