Sitta akwaa kisiki
KIKAO cha Kamati ya Mashauriano kinachotarajiwa kufanyika leo chini ya Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba, Samuel Sitta, huenda kisifikie lengo lake la kutafuta suluhu ya kunusuru Bunge hilo liweze...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo27 Feb
Chenge akwaa kisiki Escrow, Akimbilia Mahakama Kuu.
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Chenge-27Feb2015.jpg)
Mbunge wa Bariadi Magharibi (CCM), Andrew Chenge, jana ‘alikwaa kisiki’ baada ya Baraza la Maadili ya Viongozi wa Umma kutupilia mbali pingamizi lake aliloliwasilisha juzi kuzuia kusikilizwa kwa shauri lake kuhusiana na tuhuma za kukiuka sheria ya maadili ya viongozi wa umma.
Pamoja na mambo mengine, Chenge, ambaye ni Mwanasheria Mkuu wa Serikali mstaafu, anatuhumiwa kwa kujipatia mgawo wa Sh. bilioni 1.6 kutoka kwenye fedha zilizochotwa...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/0U8UQjwDEm9sxiBOwss-sQDUhzkcs4C5D1bOHVyxgNf66aVod8b*7lMvHX5yjOMwSo10RxQnlMdpiLZDf4DAuppLxb3DiVQi/MAI.jpg)
MAIMATHA AKWAA SKENDO YA UTAPELI
11 years ago
Tanzania Daima08 Jun
Doris akwaa taji Miss Singida
MWANADADA Doris Molel (23) ambaye ni mwanafunzi wa mwaka wa tatu katika Chuo cha Kumbukumbu cha Mwalimu Nyerere cha jijini Dar es Salaam katika Kitivo cha Siasa na Maendeleo ya...
10 years ago
GPLJOYCE KIRIA AKWAA SKENDO YA UTAPELI
10 years ago
BBCSwahili21 Oct
Man United yakwaa kisiki
10 years ago
Mtanzania29 Aug
Mbowe: Mimi ni kisiki Chadema
![Freeman Mbowe](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/07/Freeman-Mbowe.jpg)
Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe
NA SHABANI MATUTU, DAR ES SALAAM
MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe, ametangaza rasmi kutetea nafasi yake baada ya kuombwa kufanya hivyo na viongozi mbalimbali wa chama hicho.
Pamoja na hilo, pia amewakaribisha wanachama wa Chadema wanaohisi wana uwezo wa kushinda nafasi hiyo kujipima kwake.
Alitangaza uamuzi huo mbele ya waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, baada ya kuchukuliwa fomu na Mwenyekiti wa Baraza...
10 years ago
Raia Tanzania23 Jul
Simba yakwaa kisiki Zanzibar
KLABU ya Simba imeshindwa kucheza mechi ya kirafiki wiki hii visiwani Zanzibar baada ya kukosa timu yenye ubora kwa ajili ya kupima kikosi chake.
Rais wa Simba, Evans Aveva, alisema jana kuwa kocha wao, Dylan Kerr, alitaka kucheza mchezo wa kirafiki mwishoni mwa wiki hii, imeshindikana baada ya kukosa timu nzuri ya kucheza nayo.
“Unajua timu nyingi zipo hapa Dar es Salaam zinashiriki michuano ya Kagame, na timu ambayo tulikua tunategemea kucheza nao ni KMKM ndio kidogo ingetupa...
11 years ago
Mwananchi21 Jun
Serikali yakwaa kisiki Hifadhi ya Serengeti
10 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/07/ukawa-px.jpg)
KISIKI UKAWA KUPATA MGOMBEA NI HIKI