Doris akwaa taji Miss Singida
MWANADADA Doris Molel (23) ambaye ni mwanafunzi wa mwaka wa tatu katika Chuo cha Kumbukumbu cha Mwalimu Nyerere cha jijini Dar es Salaam katika Kitivo cha Siasa na Maendeleo ya...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Dewji Blog![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/06/DSC01863.jpg)
Doris Mole (23) atwaa taji la Miss Singida 2014, apewa kitita cha shilingi laki tano
Huyu ndiye Miss Singida 2014 Doris Mole (23) akiwa na mshindi wa pili Blath Chambo na mshindi wa tatu Lulu Abdul.
Na Hillary Shoo, SINGIDA.
Doris Molel (23) Mwanafunzi katika chuo cha Kumbukumbu cha Mwalimu Nyerere Jijini Dar es Salam anayesomea siasa na Maendeleo ya Jamii mwaka wa tatuametwaa taji la Miss Singida Redds 20014.
Katika shindano hilo lililofanyika jana kwenye ukumbi wa chuo ha Uhazili Mjini hapa Molel, mbali na kutwaa taji hilo alijinyakulia kitita cha shilingi laki...
9 years ago
VijimamboAEESHA KAMARA ANYAKUA TAJI LA MISS TANZANIA USA AVIKWA TAJI NJE YA UKUMBI BAADA YA MAJAJI KUTENGUA MATOKEO
9 years ago
Bongo521 Dec
Miss Universe 2015: Mc amtangaza Miss Colombia kimakosa kuwa mshindi, na baadaye kumvua taji na kumvisha mshindi halali Miss Philippines (Video/Picha)
![miss universe1](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/miss-universe1-300x194.jpg)
Shindano la kumtafuta Miss Universe 2015 limefanyika Jumapili Dec.19 huko Hollywood, Marekani, ambapo Pia Alonzo Wurtzbach wa Philippines alitangazwa mshindi.
Miss Universe 2015 Pia Alonzo
Kabla ya Pia kutangazwa mshindi ilijitokeza hali ya sintofahamu, pale ambapo Mc wa tukio hilo Steve Harvey alipomtangaza kimakosa Miss Colombia kuwa ndio mshindi na kuvishwa kabisa taji.
Kwa dakika kadhaa Miss Colombia alikaa na taji hilo huku akipunga bendera ya nchi yake akionekana mwenye furaha.
Miss...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/FXkXptW89jJ*T8rGAetlkdYmKrh6Dh8GIiM*7NI0CSIo4f5Hh-V*GYUqUULgEFNLIzFraP8Q6cKdy9em0n96ncG-7aLFHRQh/1.jpg?width=650)
MISS COLOMBIA PAULINA VEGA ATWAA TAJI LA MISS UNIVERSE 2015, UMATI WAZOMEA
9 years ago
Global Publishers20 Dec
Miss Hispania atwaa taji la Miss World 2015
Miss World 2015 Mireia Lalaguna Royo akivishwa taji lake.
Miss World 2015 Mireia Lalaguna Royo (katikati) akiwa katika pozi na mshindi wa pili Sofia Nikitchuk kutoka Urusi (kushoto) na mshindi wa tatu Maria Harfanti kutoka Indonesia (kulia).
Mireia Lalaguna Royo akipozi na washindi wenzake walioingia 5 bora.
Miss Afrika Kusini, Liesl Laurie aliyeingia katika 10 bora.
Miss Sudan Kusini, Ajah Deng (katikati) yeye aliingia 20 bora.
5 bora.
10 bora.
MREMBO kutoka Hispania, Mireia Lalaguna...
9 years ago
Bongo521 Dec
Miss Spain ashinda taji la Miss World 2015
![missworld1](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/missworld1-300x194.jpg)
Mrembo wa Hispania, Mireia Lalaguna Royo mwenye umri wa miaka 23 ametangazwa mshindi wa taji la Miss World 2015 katika shindano lililofanyika Sanya, China Jumamosi ya Dec.19.
Miss Russia, Sofia Nikitchuk ameshika nafasi ya pili huku Miss Indonesia, Maria Harfanti amekamata nafasi ya tatu.
Miss Spain ni msomi mwenye degree ya Pharmacology na ana mpango wa kusoma Masters ya Nutrition.
Jumla ya warembo 114 walishindana, na nchi zilizoingia kwenye kumi bora ni Russia, Philippines, Guyana,...
9 years ago
Bongo529 Dec
Miss Universe 2015 Pia Alonzo awaomba mashabiki waache chuki, amsifia Miss Colombia aliyenyang’anywa taji
![PIA](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/PIA-300x194.jpg)
Baada ya sintofahamu kuhusu kilichotokea kwenye shindano la Miss Universe 2015, mshindi wa taji hilo kwa mwaka huu Miss Philippines – Pia Alonzo Wurtzbach amefunguka kupitia Facebook kuwashukuru watu mbalimbali akiwemo Miss Colombia ambaye alitangazwa mshindi kwa dakika chache kabla ya kuvuliwa taji na kubaki kuwa mshindi wa pili.
Mrembo PIA
PIA pia amewaomba mashabiki kuacha kubishana kuhusu kile kilichotokea na kuacha kutumiana ujumbe wa chuki na kuwaambia kuwa lengo la shindano hilo ni...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-scpofE3Sh9I/VI25cGFBgxI/AAAAAAAG3LE/wcTnTadhjzU/s72-c/miss-world-2014.jpg)
NEWS ALERT: MISS SOUTH AFRICA Rolene STRAUSS ASHINDA TAJI LA MISS WORLD 2014 USIKU HUU JIJINI LONDON, UINGEREZA
![](http://2.bp.blogspot.com/-scpofE3Sh9I/VI25cGFBgxI/AAAAAAAG3LE/wcTnTadhjzU/s1600/miss-world-2014.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-QiPAw6maMrU/VI3D1fxh5yI/AAAAAAAG3LY/st7LyIHWSSE/s1600/83517_profileImage1.600x400.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-yJtHe949c48/VLzaMmWxLFI/AAAAAAAG-Tg/Q1yLYYDdlKg/s72-c/1.jpg)
DORIS MOLLEL KATIKA UZINDUZI WA BWENI LA KWANZA KWA WATOTO WA JAMII YA HADZABE, SINGIDA
![](http://2.bp.blogspot.com/-yJtHe949c48/VLzaMmWxLFI/AAAAAAAG-Tg/Q1yLYYDdlKg/s1600/1.jpg)