Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Dawa ya magugu yauwa watu Nigeria

WHO yasema yafikiri dawa ya kuuwa magugu yauwa watu kadha Nigeria

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Mashambulio Maiduguri yauwa watu 40

Mashambulio ya kujitolea mhanga yatikisa mji wa Maiduguri kaskazini-mashariki mwa Nigeria na kuuwa wengi

 

9 years ago

Michuzi

NEWZ ALERT: AJALI YAUWA WATU WATANO LUDEWA,WATUMBUKIA MTONI

Globu ya Jamii imepata taarifa kutoka Wilayani Ludewa kuwa kumetokea ajali ya gari katika kata ya Lugarawa ambayo imepelekea vifo vya watu watano leo mchana,walikuwa wakitoka Lugarawa kwenda Shaurimoyo gari ikatumbukia katika mto Lugarawa (kama ionekavyo pichani).Habari zaidi tutawaletea kadiri ya zitakavyopatikana.
Mungu aziliaze roho za marehemu mahali pema peponi-Amina

 

10 years ago

Mwananchi

Wabuni njia ya kukabili magugu

Ung’oaji wa magugu vamizi aina ya Chromoleana Oradata umetajwa kuwa ndiyo njia bora zaidi ya kudhibiti kuenea kwa magugu hayo wilayani Serengeti mkoani Mara.

 

9 years ago

BBCSwahili

Dawa za kusisimua misuli zaponza Watu 90

Zaidi ya Watu tisini wakamatwa wakijihusisha na boiashara ya Dawa za kusisismua misuli nchini Marekani

 

10 years ago

BBCSwahili

Kenya yauwa al-Shabaab 100

Serikali ya Kenya yasema imewaandamana na kuwauwa al-Shabaab waliofanya shambulio Mandera

 

11 years ago

BBCSwahili

Radi yauwa wanane Malawi

Radi imeuwa watu kadha katika matukio mbalimbali nchini Malawi tangu masika kuanza

 

10 years ago

BBCSwahili

Ebola yauwa daktari mwengine S-Leone

Madaktari 10 sasa wamekufa kutokana na Ebola nchini Sierra Leone peke yake

 

11 years ago

Mwananchi

RIPOTI MAALUM: Magugu ya ajabu yashambulia Hifadhi Serengeti, yaua misitu

>Maisha ya wanyamapori katika Hifadhi ya Serengeti na wanaoishi katika maeneo ya Mikoa ya Mara na Mwanza yapo hatarini kutokana na kugundulika kwa mmea hatari maarufu kwa jina la maguguvamizi na unaua majani na mimea mingine inayoota karibu yake.

 

10 years ago

CloudsFM

Magugu maji yasababisha kukwama kwa safari za majini ziwa victoria

Mimea ya magugu maji aina ya matende imetanda katika eneo la Kigongo wilayani Misungwi mkoani Mwanza kiasi cha kutatiza shughuli za usafiri na usafirishaji katika kivuko hicho ambacho ni kiungo muhimu cha usafiri kati ya mikoa ya Kanda ya Ziwa pamoja na nchi jirani.

Kutanda kwa mimea hiyo katika eneo lenye ukubwa wa takribani hekari 4 kulisababisha vivuko vya Mv Misungwi na Mv Sengerema kushindwa kutoa huduma ya usafiri na usafirishaji kwa takriban siku tatu mfululizo baada ya kukosa eneo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani