Mashambulio Maiduguri yauwa watu 40
Mashambulio ya kujitolea mhanga yatikisa mji wa Maiduguri kaskazini-mashariki mwa Nigeria na kuuwa wengi
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili19 Apr
9 years ago
Michuzi![](http://lh3.googleusercontent.com/-TaGsVJRnJ_Q/VdIFZqwizaI/AAAAAAAB_vw/254M0wOBB3w/s72-c/blogger-image-1589719691.jpg)
NEWZ ALERT: AJALI YAUWA WATU WATANO LUDEWA,WATUMBUKIA MTONI
![](http://lh3.googleusercontent.com/-TaGsVJRnJ_Q/VdIFZqwizaI/AAAAAAAB_vw/254M0wOBB3w/s640/blogger-image-1589719691.jpg)
Mungu aziliaze roho za marehemu mahali pema peponi-Amina
9 years ago
BBCSwahili11 Sep
Watu 12 wahukumiwa kwa mashambulio ya mabomu
Mahakama nchini India imewapata na hatia wanaume 12 kwa kuhusika na mashambulizi ya mabomu kwenye treni mjini Mumbai mwaka 2006
9 years ago
BBCSwahili28 Dec
Watu 20 wauawa kwenye mashambulio Nigeria
Watu zaidi ya 20 wamefariki kwenye mashambulio kadha yanayoshukiwa kutekelezwa na wapiganaji wa Boko Haram katika mji wa Maiduguri.
10 years ago
BBCSwahili23 Nov
Kenya yauwa al-Shabaab 100
Serikali ya Kenya yasema imewaandamana na kuwauwa al-Shabaab waliofanya shambulio Mandera
11 years ago
BBCSwahili29 Dec
Radi yauwa wanane Malawi
Radi imeuwa watu kadha katika matukio mbalimbali nchini Malawi tangu masika kuanza
10 years ago
BBCSwahili07 Dec
Ebola yauwa daktari mwengine S-Leone
Madaktari 10 sasa wamekufa kutokana na Ebola nchini Sierra Leone peke yake
10 years ago
BBCSwahili20 Jan
EU kupambana na mashambulio ya kigaidi
EU yaungana na nchi ulimwenguni kukabiliana na wapiganaji wa dola ya kiislam.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/c2nk1pk6akSvE*LCk0WjK9DrqR9zxtK3NJzSJMRDoFvM94ULo7agwDbeDQH1l7fmFc1j8XYl-oMLjuQkjXMbXY1dtErSOaKg/kenya.jpg?width=650)
MASHAMBULIO YAUA 30 KENYA
Magari yaliyochomwa katika shambulio la Mpeketoni, Juni mwaka huu. WATU 30 wamepoteza maisha katika mashambulio mawili tofauti huko Pwani ya Kenya karibu na mpaka wa Somali. Wizara ya maswala ya ndani nchini Kenya imethibitisha kutokea tukio hilo. Watu 20 waliuawa katika eneo la Gamba kaunti ya Tanariver huku wengine wakiuawa kufuatia ufyatulianaji wa risasi katika kituo kimoja cha kibiashara kaunti ya Lamu karibu na mpaka wa...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania