Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mashambulio Maiduguri yauwa watu 40

Mashambulio ya kujitolea mhanga yatikisa mji wa Maiduguri kaskazini-mashariki mwa Nigeria na kuuwa wengi

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Dawa ya magugu yauwa watu Nigeria

WHO yasema yafikiri dawa ya kuuwa magugu yauwa watu kadha Nigeria

 

9 years ago

Michuzi

NEWZ ALERT: AJALI YAUWA WATU WATANO LUDEWA,WATUMBUKIA MTONI

Globu ya Jamii imepata taarifa kutoka Wilayani Ludewa kuwa kumetokea ajali ya gari katika kata ya Lugarawa ambayo imepelekea vifo vya watu watano leo mchana,walikuwa wakitoka Lugarawa kwenda Shaurimoyo gari ikatumbukia katika mto Lugarawa (kama ionekavyo pichani).Habari zaidi tutawaletea kadiri ya zitakavyopatikana.
Mungu aziliaze roho za marehemu mahali pema peponi-Amina

 

9 years ago

BBCSwahili

Watu 12 wahukumiwa kwa mashambulio ya mabomu

Mahakama nchini India imewapata na hatia wanaume 12 kwa kuhusika na mashambulizi ya mabomu kwenye treni mjini Mumbai mwaka 2006

 

9 years ago

BBCSwahili

Watu 20 wauawa kwenye mashambulio Nigeria

Watu zaidi ya 20 wamefariki kwenye mashambulio kadha yanayoshukiwa kutekelezwa na wapiganaji wa Boko Haram katika mji wa Maiduguri.

 

10 years ago

BBCSwahili

Kenya yauwa al-Shabaab 100

Serikali ya Kenya yasema imewaandamana na kuwauwa al-Shabaab waliofanya shambulio Mandera

 

11 years ago

BBCSwahili

Radi yauwa wanane Malawi

Radi imeuwa watu kadha katika matukio mbalimbali nchini Malawi tangu masika kuanza

 

10 years ago

BBCSwahili

Ebola yauwa daktari mwengine S-Leone

Madaktari 10 sasa wamekufa kutokana na Ebola nchini Sierra Leone peke yake

 

10 years ago

BBCSwahili

EU kupambana na mashambulio ya kigaidi

EU yaungana na nchi ulimwenguni kukabiliana na wapiganaji wa dola ya kiislam.

 

11 years ago

GPL

MASHAMBULIO YAUA 30 KENYA

Magari yaliyochomwa katika shambulio la Mpeketoni, Juni mwaka huu. WATU 30 wamepoteza maisha katika mashambulio mawili tofauti huko Pwani ya Kenya karibu na mpaka wa Somali. Wizara ya maswala ya ndani nchini Kenya imethibitisha kutokea tukio hilo. Watu 20 waliuawa katika eneo la Gamba kaunti ya Tanariver huku wengine wakiuawa kufuatia ufyatulianaji wa risasi katika kituo kimoja cha kibiashara kaunti ya Lamu karibu na mpaka wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani