Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Radi yauwa wanane Malawi

Radi imeuwa watu kadha katika matukio mbalimbali nchini Malawi tangu masika kuanza

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

StarTV

Watu wanane wafariki, 15 kujeruhiwa kwa Radi Kigoma.

Na Richard Katunka,

Kigoma.

 

Watu wanane wamefariki dunia na wengine 15 kujeruhiwa baada ya kupigwa na radi kwenye mvua kubwa iliyonyesha mjini Kigoma kwa saa tatu.

 

Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Kigoma Maweni Dokta Fadhili Kibaya amewataja waliofariki kuwa ni pamoja na Yusuf Athuman, Hassan Ally, Fatuma Sley, Zamda Seif, Shukrani Yohana na Warupe Kapupa ambao ni wanafunzi wa darasa la kwanza katika shule ya msingi Kibirizi.

 

Mwalimu aliyefariki ametambuliwa kwa jina la...

 

10 years ago

BBCSwahili

Mashambulio Maiduguri yauwa watu 40

Mashambulio ya kujitolea mhanga yatikisa mji wa Maiduguri kaskazini-mashariki mwa Nigeria na kuuwa wengi

 

10 years ago

BBCSwahili

Kenya yauwa al-Shabaab 100

Serikali ya Kenya yasema imewaandamana na kuwauwa al-Shabaab waliofanya shambulio Mandera

 

10 years ago

BBCSwahili

Dawa ya magugu yauwa watu Nigeria

WHO yasema yafikiri dawa ya kuuwa magugu yauwa watu kadha Nigeria

 

10 years ago

BBCSwahili

Ebola yauwa daktari mwengine S-Leone

Madaktari 10 sasa wamekufa kutokana na Ebola nchini Sierra Leone peke yake

 

9 years ago

Michuzi

NEWZ ALERT: AJALI YAUWA WATU WATANO LUDEWA,WATUMBUKIA MTONI

Globu ya Jamii imepata taarifa kutoka Wilayani Ludewa kuwa kumetokea ajali ya gari katika kata ya Lugarawa ambayo imepelekea vifo vya watu watano leo mchana,walikuwa wakitoka Lugarawa kwenda Shaurimoyo gari ikatumbukia katika mto Lugarawa (kama ionekavyo pichani).Habari zaidi tutawaletea kadiri ya zitakavyopatikana.
Mungu aziliaze roho za marehemu mahali pema peponi-Amina

 

11 years ago

TheCitizen

Malawi’s President Banda declares Malawi election ‘null and void’

Malawi’s President Joyce Banda on Saturday declared this week’s chaotic election “null and void” and called for a fresh vote, throwing the impoverished nation into crisis.

 

11 years ago

Malawi Today

Deadlock in Malawi and Tanzania on Lake Malawi border mediation talks


Coastweek
Deadlock in Malawi and Tanzania on Lake Malawi border mediation talks
Malawi Today
Mediation talks between Malawi and neighbouring Tanzania on the border dispute over Lake Malawi ended in a deadlock last week. Head of the mediating team, former Mozambican President Joaquim Chissano is quoted by allafrica.com as having publicly ...
Tanzania: After Two Days, No Agreement Over Lake NiassaAllAfrica.com
Dar firm on border claimDaily News
Tanzania, Malawi fail to reach agreement on border...

 

11 years ago

Michuzi

WAZIRI MEMBE AWASILI MALAWI KUMWAKILISHA MHE. RAIS KIKWETE KWENYE MAZISHI YA ALIYEKUWA BALOZI WA MALAWI NCHIN

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Bernard K. Membe (Mb.) akiwasili katika Uwanja wa Ndege wa Blantyre nchini Malawi kwa ajili ya kushiriki mazishi ya aliyekuwa Balozi wa Malawi nchini Tanzania, Marehemu Flossie Gomile-Chidyaonga aliyefarikii dunia tarehe 09 mei, 2014 Jijini na Dar es Salaam na anatarajiwa kuzikwa tarehe 14 Mei, 2014. Mhe. Membe anamwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete kwenye mazishi hayo. 
Balozi wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani