Kenya yauwa al-Shabaab 100
Serikali ya Kenya yasema imewaandamana na kuwauwa al-Shabaab waliofanya shambulio Mandera
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo25 Nov
Jeshi laua wapiganaji 100 wa al- Shabaab
WANAJESHI wa Kenya wamewashambulia na kuwaua zaidi ya wanamgambo 100 wa al Shabaab na kuharibu kambi yao nchini Somalia, ikiwa ni baada ya kuwaua abiria 28, Naibu Rais, William Ruto alibainisha juzi. Watu 28 waliuawa Jumamosi baada ya kushambuliwa basi walilokuwa wakisafiria, tukio ambalo kundi la al-Shabaab lilikiri kuhusika.
10 years ago
TheCitizen25 Nov
‘100 Al-Shabaab killed’ in Mandera retaliation: Ruto
>Kenya’s Deputy President William Ruto said on Sunday that security agencies had killed about 100 suspects believed to have been among the attackers who massacred 28 Kenyans travelling in a bus from north-eastern Kenya, near the Somali border.
11 years ago
BBCSwahili12 Feb
70 wahusishwa na Al Shabaab Kenya
Mahakama imesema watu hao waliokamatwa Msikiti Musa mjini Mombasa wana makosa ya kujibu baada ya kuhusishwa na Al Shabaab
10 years ago
BBCSwahili14 Jun
Al shabaab 13 wameuawa Kenya
Wapiganaji 13 wa kundi la Kiislamu la Al Shabaab wameuawa baada ya kushambulia kambi ya jeshi katika eneo la Lamu pwani ya Kenya
11 years ago
BBCSwahili26 May
Wanajeshi wa Kenya wauawa na Al Shabaab
Ripoti zinasema msafara wa wanajeshi wa Kenya ulikuwa ukielekea eneo la Ras Kamboni wakati shambulio hilo lilipotokea.
10 years ago
BBCSwahili26 May
Polisi wapambana na Al shabaab Kenya
Maafisa wa polisi nchini Kenya wapambana na Wanamgambo wa Al shabaab
11 years ago
BBCSwahili06 Aug
Mshukiwa wa Al shabaab akamatwa Kenya
Maafisa wa polisi nchini Kenya wanasema wamemnasa mshukiwa mkuu wa Al-Shabaab ambaye aliingia nchini humo kutafuta matibabu.
11 years ago
BBCSwahili16 Jun
Al Shabaab lakiri kushambulia Kenya
Kundi la wapiganaji wa Al Shabaab nchini Somalia, limekiri kufanya mashambulizi katika eneo la Mpeketoni karibu na Lamu, Pwani ya Kenya.
10 years ago
BBCSwahili13 Jul
Polisi 2 wauawa na Al-Shabaab Kenya
Watu 5 miongoni mwao maafisa wawili wa polisi wamefariki baada ya gari walilokuwa wakisafiria kukanyaga bomu la kutegwa ardhini.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania