Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Jeshi laua wapiganaji 100 wa al- Shabaab

WANAJESHI wa Kenya wamewashambulia na kuwaua zaidi ya wanamgambo 100 wa al Shabaab na kuharibu kambi yao nchini Somalia, ikiwa ni baada ya kuwaua abiria 28, Naibu Rais, William Ruto alibainisha juzi. Watu 28 waliuawa Jumamosi baada ya kushambuliwa basi walilokuwa wakisafiria, tukio ambalo kundi la al-Shabaab lilikiri kuhusika.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Cameroon 'yaua' wapiganaji 100 wa Boko Haram

Wizara ya ulinzi nchini Cameroon imesema majeshi ya serikali yameua takriban wafuasi 100 wa kundi la wanamgambo wa kiislamu la Nigeria Boko Haram.

 

10 years ago

BBCSwahili

Chad 'imewaua wapiganaji 100' wa Boko Haram

Jeshi la Chad linasema kuwa limewauwa zaidi ya wanamgambo 100 wa Boko Haram katika kipindi cha majuma mawili yaliyopita.

 

10 years ago

BBCSwahili

Kenya yauwa al-Shabaab 100

Serikali ya Kenya yasema imewaandamana na kuwauwa al-Shabaab waliofanya shambulio Mandera

 

10 years ago

TheCitizen

‘100 Al-Shabaab killed’ in Mandera retaliation: Ruto

>Kenya’s Deputy President William Ruto said on Sunday that security agencies had killed about 100 suspects believed to have been among the attackers who massacred 28 Kenyans travelling in a bus from north-eastern Kenya, near the Somali border.

 

11 years ago

BBCSwahili

Al Shabaab washambulia hoteli ya jeshi

Wapiganaji hao wameshambulia hoteli moja muhimu katika eneo la Kati mwa Somalia ambalo wanamgambo hao walipoteza udhibiti wiki jana

 

10 years ago

BBCSwahili

Jeshi la Marekani lashambulia Al Shabaab

Wizara ya ulinzi ya Marekani inasema jeshi lake limefanya mashambulizi dhidi ya kundi la, Al Shabaab nchini Somalia.

 

10 years ago

Mwananchi

Watu 10 wakamatwa msikitini wakiwa na milipuko, sare za jeshi, bendera ya Al Shabaab

Watu 10 wanashikiliwa na polisi mkoani Morogoro baada ya kukamatwa msikitini wakiwa na milipuko 30, sare za jeshi na bendera nyeusi inayotumiwa na kundi la wapiganaji wa Al Shabaab wa nchini Somalia.

 

9 years ago

GPL

AL-SHABAAB NI NANI: MAREKANI YATANGAZA KUUA KIONGOZI WA AL-SHABAAB

ILIPOISHIA WIKI ILIYOPITA: Wiki iliyopita nilieleza juu ya kundi haramu la kigaidi la Al-Shabaab lilivyotuma vitisho vya kutaka kuvamia Majiji ya Dar na Mwanza nchini Tanzania kupitia mkanda wa video ulioonesha mwakilishi wa Kundi la Kigaidi la Dola ya Kiislam la Iraq na Lavent (ISIL), akimtaka Kiongozi wa Al-Shabaab kujiimarisha na kufanya mashambulizi kwenye majiji hayo. SASA ENDELEA… Katika kipindi hicho, polisi wa Tanzania...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani