Jeshi laua wapiganaji 100 wa al- Shabaab
WANAJESHI wa Kenya wamewashambulia na kuwaua zaidi ya wanamgambo 100 wa al Shabaab na kuharibu kambi yao nchini Somalia, ikiwa ni baada ya kuwaua abiria 28, Naibu Rais, William Ruto alibainisha juzi. Watu 28 waliuawa Jumamosi baada ya kushambuliwa basi walilokuwa wakisafiria, tukio ambalo kundi la al-Shabaab lilikiri kuhusika.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili02 Dec
Cameroon 'yaua' wapiganaji 100 wa Boko Haram
Wizara ya ulinzi nchini Cameroon imesema majeshi ya serikali yameua takriban wafuasi 100 wa kundi la wanamgambo wa kiislamu la Nigeria Boko Haram.
10 years ago
BBCSwahili31 Jul
Chad 'imewaua wapiganaji 100' wa Boko Haram
Jeshi la Chad linasema kuwa limewauwa zaidi ya wanamgambo 100 wa Boko Haram katika kipindi cha majuma mawili yaliyopita.
10 years ago
BBCSwahili23 Nov
Kenya yauwa al-Shabaab 100
Serikali ya Kenya yasema imewaandamana na kuwauwa al-Shabaab waliofanya shambulio Mandera
10 years ago
TheCitizen25 Nov
‘100 Al-Shabaab killed’ in Mandera retaliation: Ruto
>Kenya’s Deputy President William Ruto said on Sunday that security agencies had killed about 100 suspects believed to have been among the attackers who massacred 28 Kenyans travelling in a bus from north-eastern Kenya, near the Somali border.
11 years ago
BBCSwahili18 Mar
Al Shabaab washambulia hoteli ya jeshi
Wapiganaji hao wameshambulia hoteli moja muhimu katika eneo la Kati mwa Somalia ambalo wanamgambo hao walipoteza udhibiti wiki jana
10 years ago
BBCSwahili02 Sep
Jeshi la Marekani lashambulia Al Shabaab
Wizara ya ulinzi ya Marekani inasema jeshi lake limefanya mashambulizi dhidi ya kundi la, Al Shabaab nchini Somalia.
10 years ago
Mwananchi15 Apr
Watu 10 wakamatwa msikitini wakiwa na milipuko, sare za jeshi, bendera ya Al Shabaab
Watu 10 wanashikiliwa na polisi mkoani Morogoro baada ya kukamatwa msikitini wakiwa na milipuko 30, sare za jeshi na bendera nyeusi inayotumiwa na kundi la wapiganaji wa Al Shabaab wa nchini Somalia.
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ctVGzmtSoN9dXUrxxOyM0krY9H4mb1mJ2liUO5u1R9DAEQEkHo-fS1MBrhP2kV7e2y-pGg*zhcrMOy-5rA-n7CODPlmA8Mdq/AlShabaabfighters014.jpg?width=650)
AL-SHABAAB NI NANI: MAREKANI YATANGAZA KUUA KIONGOZI WA AL-SHABAAB
ILIPOISHIA WIKI ILIYOPITA: Wiki iliyopita nilieleza juu ya kundi haramu la kigaidi la Al-Shabaab lilivyotuma vitisho vya kutaka kuvamia Majiji ya Dar na Mwanza nchini Tanzania kupitia mkanda wa video ulioonesha mwakilishi wa Kundi la Kigaidi la Dola ya Kiislam la Iraq na Lavent (ISIL), akimtaka Kiongozi wa Al-Shabaab kujiimarisha na kufanya mashambulizi kwenye majiji hayo. SASA ENDELEA… Katika kipindi hicho, polisi wa Tanzania...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania