Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Al Shabaab washambulia hoteli ya jeshi

Wapiganaji hao wameshambulia hoteli moja muhimu katika eneo la Kati mwa Somalia ambalo wanamgambo hao walipoteza udhibiti wiki jana

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Magaidi washambulia hoteli,Libya

Watu wenye silaha wamevamia Hoteli ya hadhi ya juu mjini Tripoli nchini Libya na kisha kutega mabomu.

 

11 years ago

BBCSwahili

Al Shabaab washambulia Mogadishu

Wamelipua mabomu yaliyokuwa yametegwa ndani ya gari moja nje ya hoteli hoteli na kuwajeruhi wanne

 

11 years ago

BBCSwahili

AL Shabaab washambulia ikulu Somalia

Serikali ya Somalia imedhibiti ikulu mjini Mogadishu na kuwaua wanamgambo wa Al shabaab waliovamia.

 

9 years ago

BBCSwahili

Watu wenye silaha washambulia hoteli Mali

Watu wenye silaha wameshambulia hoteli ya Radisson Blu katika mji mkuu wa Mali, Bamako, ripoti zinasema

 

10 years ago

BBCSwahili

Al shabaab lavamia hoteli mbili Somalia

Wapiganaji wa kundi la Alshabaab wamevamia hoteli mbili katika mji mkuu wa Somalia Mogadishu .

 

9 years ago

BBCSwahili

Islamic State washambulia kambi ya jeshi Iraq

Wapiganaji wa kundi la Islamic State (IS) wameshambulia kambi ya jeshi karibu na mji wa Ramadi, siku chache baada ya mji huo kukombolewa.

 

10 years ago

BBCSwahili

Jeshi la Marekani lashambulia Al Shabaab

Wizara ya ulinzi ya Marekani inasema jeshi lake limefanya mashambulizi dhidi ya kundi la, Al Shabaab nchini Somalia.

 

10 years ago

Habarileo

Jeshi laua wapiganaji 100 wa al- Shabaab

WANAJESHI wa Kenya wamewashambulia na kuwaua zaidi ya wanamgambo 100 wa al Shabaab na kuharibu kambi yao nchini Somalia, ikiwa ni baada ya kuwaua abiria 28, Naibu Rais, William Ruto alibainisha juzi. Watu 28 waliuawa Jumamosi baada ya kushambuliwa basi walilokuwa wakisafiria, tukio ambalo kundi la al-Shabaab lilikiri kuhusika.

 

10 years ago

Mwananchi

Watu 10 wakamatwa msikitini wakiwa na milipuko, sare za jeshi, bendera ya Al Shabaab

Watu 10 wanashikiliwa na polisi mkoani Morogoro baada ya kukamatwa msikitini wakiwa na milipuko 30, sare za jeshi na bendera nyeusi inayotumiwa na kundi la wapiganaji wa Al Shabaab wa nchini Somalia.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani