Magaidi washambulia hoteli,Libya
Watu wenye silaha wamevamia Hoteli ya hadhi ya juu mjini Tripoli nchini Libya na kisha kutega mabomu.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili18 Mar
Al Shabaab washambulia hoteli ya jeshi
Wapiganaji hao wameshambulia hoteli moja muhimu katika eneo la Kati mwa Somalia ambalo wanamgambo hao walipoteza udhibiti wiki jana
9 years ago
BBCSwahili20 Nov
Watu wenye silaha washambulia hoteli Mali
Watu wenye silaha wameshambulia hoteli ya Radisson Blu katika mji mkuu wa Mali, Bamako, ripoti zinasema
10 years ago
BBCSwahili27 Jan
Hoteli yashambuliwa Tripoli, Libya
Watu wenye silaha wameshambulia hoteli moja mjini Tripoli na kuwaua walinzi watatu.
10 years ago
BBCSwahili27 Jan
Wapiganaji waiteka nyara hoteli Libya
Watu wenye silaha wameshambulia mojawepo ya hoteli maarufu zaidi katika mji mkuu wa Libya-Tripoli.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-GZHHZUsNTKs/Xm_SYqPBQ1I/AAAAAAALj_g/2oSh7fEC-RkV3JIx4-1WhIPmnaq_ioeywCLcBGAsYHQ/s72-c/GAMBO%252BPICHAA.jpg)
RC ARUSHA MRISHO GAMGO ASEMA HOTELI ALIYOPATIKANA MGONJWA WA CORONA IMEIFUNGA, WALIOPO HOTELI WOTE HAKUNA KUTOKA WALA KUINGIA
![](https://1.bp.blogspot.com/-GZHHZUsNTKs/Xm_SYqPBQ1I/AAAAAAALj_g/2oSh7fEC-RkV3JIx4-1WhIPmnaq_ioeywCLcBGAsYHQ/s400/GAMBO%252BPICHAA.jpg)
MKUU wa Mkoa wa Arusha Mrisho Gambo amesema kwamba ndani ya Mkoa huo amebainika kuwepo kwa mgonjwa mmoja wa Corona na kwamba hoteli ambayo amekutwa mgonjwa huyo imefungwa na hivyo hakuna anayeingia wala anayetoka.
Akizungumza leo Machi 16 mwaka 2020 , Mkuu wa Mkoa wa Arusha Gambo amesema kama ambavyo ameeleza Waziri wa Afya ,Maendeleo ya Jamii,Jinsia, Wazee na Watoto Ummy Mwalimu ni kweli wamepata mgonjwa mmoja wa Corona na kwa mujibu wa taarifa huyo...
11 years ago
BBCSwahili15 Mar
Al Shabaab washambulia Mogadishu
Wamelipua mabomu yaliyokuwa yametegwa ndani ya gari moja nje ya hoteli hoteli na kuwajeruhi wanne
11 years ago
BBCSwahili16 Jun
Wapiganaji washambulia Lamu - Kenya
Pwani ya Kenya yashambuliwa na wapiganaji wanaoshukiwa kuwa wa kiislamu
10 years ago
BBCSwahili27 May
Al Shabab washambulia tena Garisa
Sasa imethibitishwa kwamba shambulio lililofanywa na wanamgambo wa Alshaabab katika kijiji cha Yumbis huko Garisa kaskazini mwa Kenya mapema jana limewajeruhi maafisa usalama kadhaa huku mmoja wao akipoteza uhai.
11 years ago
BBCSwahili09 Jul
AL Shabaab washambulia ikulu Somalia
Serikali ya Somalia imedhibiti ikulu mjini Mogadishu na kuwaua wanamgambo wa Al shabaab waliovamia.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania