Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Magaidi washambulia hoteli,Libya

Watu wenye silaha wamevamia Hoteli ya hadhi ya juu mjini Tripoli nchini Libya na kisha kutega mabomu.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Al Shabaab washambulia hoteli ya jeshi

Wapiganaji hao wameshambulia hoteli moja muhimu katika eneo la Kati mwa Somalia ambalo wanamgambo hao walipoteza udhibiti wiki jana

 

9 years ago

BBCSwahili

Watu wenye silaha washambulia hoteli Mali

Watu wenye silaha wameshambulia hoteli ya Radisson Blu katika mji mkuu wa Mali, Bamako, ripoti zinasema

 

10 years ago

BBCSwahili

Hoteli yashambuliwa Tripoli, Libya

Watu wenye silaha wameshambulia hoteli moja mjini Tripoli na kuwaua walinzi watatu.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wapiganaji waiteka nyara hoteli Libya

Watu wenye silaha wameshambulia mojawepo ya hoteli maarufu zaidi katika mji mkuu wa Libya-Tripoli.

 

5 years ago

Michuzi

RC ARUSHA MRISHO GAMGO ASEMA HOTELI ALIYOPATIKANA MGONJWA WA CORONA IMEIFUNGA, WALIOPO HOTELI WOTE HAKUNA KUTOKA WALA KUINGIA

Na Mwandishi Wetu,Michuzi Globu ya jamii

MKUU wa Mkoa wa Arusha Mrisho Gambo amesema kwamba ndani ya Mkoa huo amebainika kuwepo kwa mgonjwa mmoja wa Corona na kwamba hoteli ambayo amekutwa mgonjwa huyo imefungwa na hivyo hakuna anayeingia wala anayetoka.

Akizungumza leo Machi 16 mwaka 2020 , Mkuu wa Mkoa wa Arusha Gambo amesema kama ambavyo ameeleza Waziri wa Afya ,Maendeleo  ya Jamii,Jinsia, Wazee na Watoto Ummy Mwalimu ni kweli wamepata mgonjwa mmoja wa Corona na kwa mujibu wa taarifa huyo...

 

11 years ago

BBCSwahili

Al Shabaab washambulia Mogadishu

Wamelipua mabomu yaliyokuwa yametegwa ndani ya gari moja nje ya hoteli hoteli na kuwajeruhi wanne

 

11 years ago

BBCSwahili

Wapiganaji washambulia Lamu - Kenya

Pwani ya Kenya yashambuliwa na wapiganaji wanaoshukiwa kuwa wa kiislamu

 

10 years ago

BBCSwahili

Al Shabab washambulia tena Garisa

Sasa imethibitishwa kwamba shambulio lililofanywa na wanamgambo wa Alshaabab katika kijiji cha Yumbis huko Garisa kaskazini mwa Kenya mapema jana limewajeruhi maafisa usalama kadhaa huku mmoja wao akipoteza uhai.

 

11 years ago

BBCSwahili

AL Shabaab washambulia ikulu Somalia

Serikali ya Somalia imedhibiti ikulu mjini Mogadishu na kuwaua wanamgambo wa Al shabaab waliovamia.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani