Al Shabab washambulia tena Garisa
Sasa imethibitishwa kwamba shambulio lililofanywa na wanamgambo wa Alshaabab katika kijiji cha Yumbis huko Garisa kaskazini mwa Kenya mapema jana limewajeruhi maafisa usalama kadhaa huku mmoja wao akipoteza uhai.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/FiztFdiPwCpKul45YTvXgOhDQ4lqNCsi3TDHQpZFyETvun54*IxndVPzstWL*ZX0s2P8kwAkbYznkz0C9L4ZODP664HBxSrB/7782.jpg?width=650)
SIMULIZI YA AL- SHABAB: WASHAMBULIA BUNGE LA SOMALIA
ILIPOISHIA WIKI ILIYOPITA: Mpenzi mfuatiliaji wangu, wiki iliyopita tuliona jinsi ambavyo mapambano kati ya Al-Shabaab na majeshi ya Serikali ya Somalia yakisaidiwa na yale ya kigeni yalivyokuwa yakipambana. Licha ya vipigo vikali kutoka kwa majeshi ya Afrika, wapiganaji hao walishambulia Kambi ya Wakimbizi ya Daadab iliyopo kwenye mpaka wa Somalia na Kenya ambayo inahesabiwa kuwa moja ya kambi kubwa zaidi ya wakimbizi duniani....
10 years ago
Vijimambo02 Apr
Al-Shabab washambulia chuo kikuu cha Garissa Kenya
Washambulizi wa Al-Shabab wameshambulia chuo kikuu cha Garissa, kaskazini mashariki ya Kenya na kusababisha vifo vya takriban watu 70 kulingana namaafisa wa serikali na zaidi ya 70 kujeruhiwa.
Kifaru cha jeshi la Kenya kikiwasili karibu na chuo kikuu cha Garissa,Garissa, Kenya, April 2, 2015.
Polisi wa Kenya wakikaribia majengo ya chuo cha Garissa kwa uangalifu mkubwa
Wananchi wa Garissa wakisubiri kuchangia damu katika hospitali ya Garissa ambako wengi waliojeruhiwa wamelazwa
Kifaru cha jeshi...
![](http://gdb.voanews.com/958DA741-3AD6-432D-9C86-C47E57628FBC_cx0_cy40_cw0_w974_n_s_r1.jpg)
![](http://gdb.voanews.com/FC578BFA-AEA0-4825-AB11-2252956A8F2C_cx0_cy15_cw0_w974_n_s_r1.jpg)
![](http://gdb.voanews.com/0B8DFF2A-14FF-4D1A-88E3-B39938960D8C_cx0_cy11_cw0_w974_n_s_r1.jpg)
![](http://gdb.voanews.com/F7078AC8-83AD-4DEB-9263-9A7AFBC7E7F5_cx6_cy9_cw84_w974_n_s_r1.jpg)
11 years ago
BBCSwahili15 Mar
Al Shabaab washambulia Mogadishu
Wamelipua mabomu yaliyokuwa yametegwa ndani ya gari moja nje ya hoteli hoteli na kuwajeruhi wanne
10 years ago
BBCSwahili05 Nov
Boko Haram washambulia Nigeria
Wapiganaji wa kundi la Boko Haram, wanashukiwa kuhusika katika shambulizi jingine huko mji Kaskazini Mashariki mwa Nigeria.
10 years ago
BBCSwahili06 Jun
Houthi washambulia Saudi Arabia
Saudi Arabia inasema kuwa imezuia makombora yaliyofyatuliwa kutoka nchini Yemen kwenda ardhi yake na waasi wa Houthi
11 years ago
BBCSwahili07 Aug
Boko Haram washambulia Cameroon
Watu wanaodaiwa kuwa ni kundi la Boko Haramu wameshambulia raia na wanajeshi kaskazini mwa Cameroon.
11 years ago
BBCSwahili18 Mar
Al Shabaab washambulia hoteli ya jeshi
Wapiganaji hao wameshambulia hoteli moja muhimu katika eneo la Kati mwa Somalia ambalo wanamgambo hao walipoteza udhibiti wiki jana
11 years ago
BBCSwahili09 Jul
AL Shabaab washambulia ikulu Somalia
Serikali ya Somalia imedhibiti ikulu mjini Mogadishu na kuwaua wanamgambo wa Al shabaab waliovamia.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania