Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SIMULIZI YA AL- SHABAB: WASHAMBULIA BUNGE LA SOMALIA

ILIPOISHIA WIKI ILIYOPITA: Mpenzi mfuatiliaji wangu, wiki iliyopita tuliona jinsi ambavyo mapambano kati ya Al-Shabaab na majeshi ya Serikali ya Somalia yakisaidiwa na yale ya kigeni yalivyokuwa yakipambana. Licha ya vipigo vikali kutoka kwa majeshi ya Afrika, wapiganaji hao walishambulia Kambi ya Wakimbizi ya Daadab iliyopo kwenye mpaka wa Somalia na Kenya ambayo inahesabiwa kuwa moja ya kambi kubwa zaidi ya wakimbizi duniani....

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Al Shabab washambulia tena Garisa

Sasa imethibitishwa kwamba shambulio lililofanywa na wanamgambo wa Alshaabab katika kijiji cha Yumbis huko Garisa kaskazini mwa Kenya mapema jana limewajeruhi maafisa usalama kadhaa huku mmoja wao akipoteza uhai.

 

10 years ago

Vijimambo

Al-Shabab washambulia chuo kikuu cha Garissa Kenya

Washambulizi wa Al-Shabab wameshambulia chuo kikuu cha Garissa, kaskazini mashariki ya Kenya na kusababisha vifo vya takriban watu 70 kulingana namaafisa wa serikali na zaidi ya 70 kujeruhiwa.Kifaru cha jeshi la Kenya kikiwasili karibu na chuo kikuu cha Garissa,Garissa, Kenya, April 2, 2015.Polisi wa Kenya wakikaribia majengo ya chuo cha Garissa kwa uangalifu mkubwaWananchi wa Garissa wakisubiri kuchangia damu katika hospitali ya Garissa ambako wengi waliojeruhiwa wamelazwaKifaru cha jeshi...

 

11 years ago

BBCSwahili

AL Shabaab washambulia ikulu Somalia

Serikali ya Somalia imedhibiti ikulu mjini Mogadishu na kuwaua wanamgambo wa Al shabaab waliovamia.

 

10 years ago

BBC

US attacks al-Shabab in Somalia

The US military says it carried out a military operation against al-Qaeda-linked al-Shabab militants in Somalia.

 

11 years ago

BBC

VIDEO: Somalia's battle against al-Shabab

International forces in Somalia are battling al-Shabab Islamist insurgents who control more land than any other al-Qaeda affiliate organisation across the world.

 

10 years ago

BBC

Somalia alert after al-Shabab death

Somalia is on alert for retaliatory attacks by Islamist group al-Shabab after its leader, Ahmed Abdi Godane, was killed in a US air strike.

 

11 years ago

BBC

Somalia's al-Shabab: Striking like mosquitoes

Why Somalia's Islamist fighters keep biting back

 

10 years ago

BBC

Somalia bans al-Shabab name in media

Somalia bans journalists from using the name al-Shabab - instead they have to refer to it as Ugus "the Group that Massacres the Somali People".

 

11 years ago

BBC

Somalia arms 'diverted to al-Shabab'

A UN report warns that "systematic abuses" by Somalia's government have allowed weapons to be diverted to warlords and al-Shabab militants.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani