Al shabaab 13 wameuawa Kenya
Wapiganaji 13 wa kundi la Kiislamu la Al Shabaab wameuawa baada ya kushambulia kambi ya jeshi katika eneo la Lamu pwani ya Kenya
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili11 Mar
Kenya: Twiga weupe wa kipekee wameuawa eneo la Kaskazini
11 years ago
BBCSwahili12 Feb
70 wahusishwa na Al Shabaab Kenya
11 years ago
BBCSwahili10 Jan
Kenya:Al shabaab yapata kipigo
10 years ago
BBCSwahili08 Jun
Al Shabaab wazua mjadala Kenya
10 years ago
Mtanzania27 May
Al Shabaab waua polisi 25 Kenya
NAIROBI, KENYA
KUNDI la wana mgambo wa Al Shabaab la Somalia, linadaiwa kuwaua polisi 25 wa Kenya jana.
Inaelezwa kuwa wanamgambo hao walivamia magari ya polisi katika eneo la Yumbis wilayani Fafi, Kaunti ya Garissa.
Hadi jana jioni, hakukuwa na taarifa inayoeleza waliko polisi walionusurika baada ya shambulio hilo la kushtukiza.
Taarifa zilizochapishwa na gazeti la Daily Nation, zilisema maofisa watatu walionusurika shambulio hilo walisema magari manne ya polisi yaliteketezwa na wanamgambo...
10 years ago
Mwananchi11 Apr
Sababu za Al-Shabaab kuishambulia Kenya
10 years ago
BBCSwahili15 Apr
Al Shabaab:Msamaha wa siku 10 Kenya