Al Shabaab wazua mjadala Kenya
Mashambulizi ya wapiganaji wa kundi la Al Shaabab nchini Kenya, limezusha mjadala mkali miongoni mwa viongozi wa eneo hilo.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mtanzania23 Sep
Twaweza wazua mjadala
NA WAANDISHI WETU, DAR ES SALAAM
UTAFITI uliofanywa na Taasisi ya Twaweza umepokewa kwa hisia tofauti na watu wa kada mbalimbali.
Kwa mujibu wa utafiti huo uliotangazwa jana, kama uchaguzi mkuu wa rais, wabunge na madiwani ungefanyika leo, mgombea wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli, angeibuka na ushindi wa asilimia 65, huku mgombea wa Chadema chini ya mwamvuli wa Ukawa, Edward Lowassa, akipata asilimia 25.
Akitangaza matokeo ya Twaweza Dar es Salaam jana, Mkurugenzi Mtendaji...
10 years ago
BBCSwahili20 Oct
Umri wa Miss Tanzania wazua mjadala
11 years ago
BBCSwahili28 Feb
Kenya: Wajumbe wa ODM wazua vurugu
10 years ago
BBCSwahili28 Feb
Ujenzi wa reli mpya wazua utata Kenya
10 years ago
BBCSwahili18 Dec
Mswada tata wazua vurugu bungeni Kenya
11 years ago
BBCSwahili16 Dec
Mjadala wa Miaka 50 Kenya
11 years ago
BBCSwahili12 Feb
70 wahusishwa na Al Shabaab Kenya
10 years ago
BBCSwahili14 Jun
Al shabaab 13 wameuawa Kenya
10 years ago
Mtanzania27 May
Al Shabaab waua polisi 25 Kenya
NAIROBI, KENYA
KUNDI la wana mgambo wa Al Shabaab la Somalia, linadaiwa kuwaua polisi 25 wa Kenya jana.
Inaelezwa kuwa wanamgambo hao walivamia magari ya polisi katika eneo la Yumbis wilayani Fafi, Kaunti ya Garissa.
Hadi jana jioni, hakukuwa na taarifa inayoeleza waliko polisi walionusurika baada ya shambulio hilo la kushtukiza.
Taarifa zilizochapishwa na gazeti la Daily Nation, zilisema maofisa watatu walionusurika shambulio hilo walisema magari manne ya polisi yaliteketezwa na wanamgambo...