Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Al Shabaab wazua mjadala Kenya

Mashambulizi ya wapiganaji wa kundi la Al Shaabab nchini Kenya, limezusha mjadala mkali miongoni mwa viongozi wa eneo hilo.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mtanzania

Twaweza wazua mjadala

mtz1NA WAANDISHI WETU, DAR ES SALAAM

UTAFITI uliofanywa na Taasisi ya Twaweza umepokewa kwa hisia tofauti na watu wa kada mbalimbali.

Kwa mujibu wa utafiti huo uliotangazwa jana, kama uchaguzi mkuu wa rais, wabunge na madiwani ungefanyika leo, mgombea wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli, angeibuka na ushindi wa asilimia 65, huku mgombea wa Chadema chini ya mwamvuli wa Ukawa, Edward Lowassa, akipata asilimia 25.

 

Akitangaza matokeo ya Twaweza Dar es Salaam  jana, Mkurugenzi Mtendaji...

 

10 years ago

BBCSwahili

Umri wa Miss Tanzania wazua mjadala

Baada ya Bi Sitti kutwaa taji hilo kumeibuka utata juu ya umri wa Miss Tanzania 2014. Kwa nini umri wa Miss Tanzania uzeu hoja?

 

11 years ago

BBCSwahili

Kenya: Wajumbe wa ODM wazua vurugu

Vurugu zimezuka katika uchaguzi wa chama kikuu cha upinzani cha ODM nchini Kenya kufuatia madai ya udanganyifu katika uchaguzi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ujenzi wa reli mpya wazua utata Kenya

Tume ya ardhi imejitetea kuhusu shutuma za kuwanyanyasa wakaazi kwa malipo ya fidia ya ardhi yao itakayotumika kwa mradi huo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mswada tata wazua vurugu bungeni Kenya

Wabunge wa Kenya wametofautiana pakubwa bungeni kufuatia mjadala mkali kuhusu mswaada tatanishi wa usalama kiasi cha kulazimisha bunge kusitisha kikao kwa muda

 

11 years ago

BBCSwahili

Mjadala wa Miaka 50 Kenya

Mjadala huu uliangazia malengo ya wapiganiaji wa uhuru, hali ilivyo sasa hivi Kenya na matarajio ya wananchi kutoka kwa serikali.

 

11 years ago

BBCSwahili

70 wahusishwa na Al Shabaab Kenya

Mahakama imesema watu hao waliokamatwa Msikiti Musa mjini Mombasa wana makosa ya kujibu baada ya kuhusishwa na Al Shabaab

 

10 years ago

BBCSwahili

Al shabaab 13 wameuawa Kenya

Wapiganaji 13 wa kundi la Kiislamu la Al Shabaab wameuawa baada ya kushambulia kambi ya jeshi katika eneo la Lamu pwani ya Kenya

 

10 years ago

Mtanzania

Al Shabaab waua polisi 25 Kenya

Uhuru_M_Kenyatta_685841119NAIROBI, KENYA
KUNDI la wana mgambo wa Al Shabaab la Somalia, linadaiwa kuwaua polisi 25 wa Kenya jana.
Inaelezwa kuwa wanamgambo hao walivamia magari ya polisi katika eneo la Yumbis wilayani Fafi, Kaunti ya Garissa.
Hadi jana jioni, hakukuwa na taarifa inayoeleza waliko polisi walionusurika baada ya shambulio hilo la kushtukiza.
Taarifa zilizochapishwa na gazeti la Daily Nation, zilisema maofisa watatu walionusurika shambulio hilo walisema magari manne ya polisi yaliteketezwa na wanamgambo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani