Twaweza wazua mjadala
NA WAANDISHI WETU, DAR ES SALAAM
UTAFITI uliofanywa na Taasisi ya Twaweza umepokewa kwa hisia tofauti na watu wa kada mbalimbali.
Kwa mujibu wa utafiti huo uliotangazwa jana, kama uchaguzi mkuu wa rais, wabunge na madiwani ungefanyika leo, mgombea wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli, angeibuka na ushindi wa asilimia 65, huku mgombea wa Chadema chini ya mwamvuli wa Ukawa, Edward Lowassa, akipata asilimia 25.
Akitangaza matokeo ya Twaweza Dar es Salaam jana, Mkurugenzi Mtendaji...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili08 Jun
Al Shabaab wazua mjadala Kenya
10 years ago
BBCSwahili20 Oct
Umri wa Miss Tanzania wazua mjadala
9 years ago
VijimamboUtafiti wazua taharuki, waibua maswali tata.Kura za maoni: Twaweza yaipa CCM ushindi wa 65%, Ukawa 25%
Matokeo ya utafiti kuhusu uchaguzi mkuu yaliyompa ushindi wa asilimia 65 mgombea wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli dhidi ya asilimia 25 za Edward Lowassa wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) yameibua taharuki kubwa huku baadhi wakiupinga, kuunga mkono na wengine kuibua maswali kadhaa magumu.
Akizungumza mbele ya waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, katika tukio lililorushwa moja kwa moja (live)...
10 years ago
TheCitizen11 Dec
Eyakuze new Twaweza boss
10 years ago
TheCitizen16 Nov
Experts’ take on Twaweza research
10 years ago
Tanzania Daima14 Nov
Lipumba: Twaweza wanatumika
SIKU mbili baada ya Taasisi isiyokuwa ya kiserikali ya Twaweza kutoa matokeo ya utafiti kuhusu masula ya siasa, jamii imegawanyika. Mgawanyiko umezua pande mbili moja ikiunga mkono utafiti huo nyingine...
10 years ago
MichuziTWAWEZA: JE, TUKO SALAMA?
WANANCHI watatu kati ya kumi wameshakumbana na wizi ndani ya kipindi cha mwaka jana,na asilimia 84 ya wananchi wanaamini kuwa kuna uwezekano wa kuathiriwa na makundi ya vijana waharifu kama panya road.
Hayo yameelezwa kwenye Utafiti umefanywa na Twaweza kwenye utafiti wenye jina la Je, tuko salama? maoni ya wananchi juu ya usalama na haki waliofanya mkutano katika ukumbi wa mikutano wa Makumbusho ya Taifa jijini Dar es Salaam leo.
Mtafiti wa twaweza...
10 years ago
Mwananchi14 Nov
Utafiti wa Twaweza watikisa nchi
9 years ago
Mwananchi24 Sep
Utafiti Twaweza waibua maswali 14