Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mjadala wa Miaka 50 Kenya

Mjadala huu uliangazia malengo ya wapiganiaji wa uhuru, hali ilivyo sasa hivi Kenya na matarajio ya wananchi kutoka kwa serikali.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Al Shabaab wazua mjadala Kenya

Mashambulizi ya wapiganaji wa kundi la Al Shaabab nchini Kenya, limezusha mjadala mkali miongoni mwa viongozi wa eneo hilo.

 

9 years ago

BBCSwahili

Mjadala Kenya kuhusu ziara nyingi za rais

Mjadala mkali umezuka kuhusu ziara nyingi za Rais Kenyatta nje ya nchi zinazogharimu mlipa ushuru mamilioni ya pesa.

 

9 years ago

Habarileo

Miaka 10 ya JK yapongezwa Kenya

WATANZANIA wanaoishi nchini Kenya wamempongeza Rais Jakaya Kikwete kwa uongozi mahiri katika miaka 10 ya utawala wake, unaokoma kikatiba siku chache zijazo. Wamesema chini ya uongozi wake, Tanzania imepiga hatua kubwa katika sekta nyingi zikiwamo za kisiasa, kiuchumi na kijamii.

 

11 years ago

BBCSwahili

Miaka 50 ya Kenya kujitawala

Timothy Njoya ni mmoja wa waliohusika na harakati za kutafuta katiba mpya

 

11 years ago

BBCSwahili

Maadhimishyo ya miaka 50 - Kenya!!

Zaidi ya marais 15, na watu mashuhuri wahudhuria sherehe za kukata na shoka, kuadhimisha miaka 50 ya uhuru wa Kenya.

 

11 years ago

BBCSwahili

Kenya yasherehekea miaka 50 ya Uhuru

Kenya inasherehekea miaka 50 ya uhuru walioupata chini ya utawala wa Uingereza.

 

11 years ago

BBCSwahili

Kenya yakata keki miaka hamsini!

Kenya imefikisha miaka hamsini tangu kujitatawala lakini changamoto bado ni nyingi kwani ndoto ya kufikia mengi haijatimia.

 

11 years ago

BBCSwahili

Mchawi mtanzania jela miaka 3 Kenya

Mchawi kutoka Tanzania amehukumiwa kifungo cha miaka mitatu nchini Kenya kwa kumlaghai mwanamke mfanyabiashara mkenya na kumibia shilingi milioni tisa.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mzee amchoma mkewe wa miaka 16 Kenya

Mzee mwenye umri wa miaka 70 aliyemchoma mkewe mwenye umri wa miaka 16 mjini Mandera kazkazini mashariki mwa Kenya amekamatwa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani