Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kenya: Twiga weupe wa kipekee wameuawa eneo la Kaskazini

Twiga wa kipekee mtoto na mama yake wameuawa na wawindaji haramu

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Mkutano kuhusu Faru weupe Kenya

Mkutano wa kimataifa utakaojadili jinsi ya kukabiliana na biashara haramu ya pembe za wanyama wanaokabiliwa na tishio kubwa la kuangamia unatarajiwa kuanza hii leo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Al shabaab 13 wameuawa Kenya

Wapiganaji 13 wa kundi la Kiislamu la Al Shabaab wameuawa baada ya kushambulia kambi ya jeshi katika eneo la Lamu pwani ya Kenya

 

5 years ago

BBCSwahili

Korea Kaskazini imetishia kutuma jeshi eneo salama la mpakani

Dada ya kiongozi mkuu wa Korea Kaskazini ameagiza jeshi - ambalo nalo limejibu kuwa liko tayai kuchukua hatua.

 

9 years ago

Michuzi

UJENZI WA KISIWA CHA KITALII WAANZA KATIKA ENEO LA MTONI MARINE KASKAZINI MAGHARIBI ZANZIBAR

 Sehemu  inayoendelea kufukiwa hapo Mtoni Marine ambayo itatumika hapo baadae kwa ajili ya eneo maalum litakalotoa fursa kwa Wananchi  kupata mapumziko.{ Public Beach }.  Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka ya Uwekezaji Vitega Uchumi Zanzibar { ZIPA } Nd. Salum Khamis Nassor  akimueleza Balozi Seif  hatua zinazochukuliwa na Taasisi yake katika kuona taratibu za uwekezaji zinachukuliwa kwa wanaowekeza vitege uchumi vyao Nchini. 
MRADI mkubwa wa Kimataifa wa ujenzi wa kisiwa cha Kitalii  ambacho...

 

10 years ago

Habarileo

Twiga kupimana ubavu na Kenya

TIMU ya Taifa ya Tanzania ya Wanawake (Twiga Stars), inatarajiwa kucheza mchezo wa kirafiki na wenzao wa Kenya (Harambee Starlets) Agosti 23, 2015.

 

9 years ago

Habarileo

Kenya kuwapa changamoto Twiga Stars

KOCHA wa timu ya Taifa ya wanawake, Twiga Stars Rogasian Kaijage amesema mchezo wao wa kirafiki dhidi ya Kenya utawapa changamoto ya kutambua nafasi yao kwenye mashindano ya All African Games yatakayofanyika mwezi ujao.

 

9 years ago

Habarileo

Twiga Stars, Kenya hakuna mbabe

TIMU ya taifa ya soka ya wanawake ya Tanzania Twiga Stars, jana ilitoka sare ya kufungana 1-1 na wenzao wa Kenya, Harambee Starlets, katika mchezo wa kimataifa wa kirafiki uliofanyika kwenye Uwanja wa Amaan.

 

11 years ago

GPL

UBOVU WA BARABARA ENEO LA VIWANDA VYA KUSAGA NA KUKAMUA MAFUTA ENEO LA SIDO MBEYA NI KERO KWA WAFANYA BIASHARA ENEO HILO

 Hii dimbwi ambalo maji yametuama na kutunza uchafu.  Barabara iendayo kutokea uwanja wa zamani wa ndege mbeya ukiwa umejaa maji.…

 

11 years ago

Mwananchi

Watoto wa maskini ‘weupe’ shuleni

Watoto katika familia masikini ndio wanaoathirika kwa kiwango kikubwa kwa kushindwa kupata stadi za kuwawezesha kujua kusoma na kuandika wakiwa darasa la pili, ikilinganishwa na watoto waliopo katika familia tajiri.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani