Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Twiga kupimana ubavu na Kenya

TIMU ya Taifa ya Tanzania ya Wanawake (Twiga Stars), inatarajiwa kucheza mchezo wa kirafiki na wenzao wa Kenya (Harambee Starlets) Agosti 23, 2015.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Etoile na Yanga kupimana ubavu

Klabu ya Etoile du Sahel ya Tunisia inategemewa kuwasili Dar es Salaam wiki hii kwa ajili ya mechi dhidi ya Yanga.

 

10 years ago

Mwananchi

Vikundi 50 kupimana ubavu, Tamasha Bagamoyo

Kuwa mzalendo yataka moyo; ni usemi wa Kiswahili unaoainisha namna ilivyo vigumu kwa watu kujitoa au kuonyesha mapenzi kwa taifa au kielelezo cha utaifa wake, mathalan utamaduni.

 

9 years ago

StarTV

Twiga Stars kujipima ubavu na Harambee Starlets.

TIMU ya Taifa ya  Tanzania ya Wanawake (Twiga Stars) iliyopo kambini kisiwani Zanzibar, inatarajiwa kucheza mchezo wa kirafiki na timu ya taifa ya Wanawake kutoka Kenya (Harambee Starlets) Agosti 23, 2015.
Mchezo huo wa kirafiki utachezwa katika uwanja wa Aman Kisiwani Zanzibar, ikiwa ni sehmu ya maandalizi ya kikosi hicho kujiandaa na fainali za Michezo ya Afrika (All Africa Games) zitakazofayika nchini Congo-Brazzavile kuanzia Septemba 4 – 19, 2015.
Twiga Stars inaendelea na mazoezi kutwa...

 

9 years ago

Habarileo

Kenya kuwapa changamoto Twiga Stars

KOCHA wa timu ya Taifa ya wanawake, Twiga Stars Rogasian Kaijage amesema mchezo wao wa kirafiki dhidi ya Kenya utawapa changamoto ya kutambua nafasi yao kwenye mashindano ya All African Games yatakayofanyika mwezi ujao.

 

9 years ago

Habarileo

Twiga Stars, Kenya hakuna mbabe

TIMU ya taifa ya soka ya wanawake ya Tanzania Twiga Stars, jana ilitoka sare ya kufungana 1-1 na wenzao wa Kenya, Harambee Starlets, katika mchezo wa kimataifa wa kirafiki uliofanyika kwenye Uwanja wa Amaan.

 

5 years ago

BBCSwahili

Kenya: Twiga weupe wa kipekee wameuawa eneo la Kaskazini

Twiga wa kipekee mtoto na mama yake wameuawa na wawindaji haramu

 

10 years ago

Mtanzania

Chadema, Polisi kupimana nguvu leo

Dk. Wilbrod Slaa

Katibu Mkuu wa Chadema, Dk. Wilbrod Slaa

NA WAANDISHI WETU, DAR ES SALAAM

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimewahamasisha wanachama wake walio jijini Dar es Salaam na mikoa ya jirani kufurika Makao Makuu ya Jeshi la Polisi jijini Dar es Salaam wakati mwenyekiti wao Freeman Mbowe atakapohojiwa, huku jeshi hilo likionya raia yeyote kutosogelea eneo hilo.

Akizungumza na waandishi wa habari kwenye makao makuu ya chama hicho Kinondoni jijini Dar es Salaam jana, Katibu Mkuu, Dk....

 

9 years ago

BBCSwahili

Arsenal kupimana nguvu tena na Bayern

Difenda wa Arsenal Per Mertesacker amesema Bayern Munich itataka sana kuonyesha kwamba ndiyo bora zaidi klabu hizo mbili zitakapokutana tena leo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani