Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Vikundi 50 kupimana ubavu, Tamasha Bagamoyo

Kuwa mzalendo yataka moyo; ni usemi wa Kiswahili unaoainisha namna ilivyo vigumu kwa watu kujitoa au kuonyesha mapenzi kwa taifa au kielelezo cha utaifa wake, mathalan utamaduni.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Etoile na Yanga kupimana ubavu

Klabu ya Etoile du Sahel ya Tunisia inategemewa kuwasili Dar es Salaam wiki hii kwa ajili ya mechi dhidi ya Yanga.

 

10 years ago

Habarileo

Twiga kupimana ubavu na Kenya

TIMU ya Taifa ya Tanzania ya Wanawake (Twiga Stars), inatarajiwa kucheza mchezo wa kirafiki na wenzao wa Kenya (Harambee Starlets) Agosti 23, 2015.

 

10 years ago

Vijimambo

BAADHI YA WASANII NA VIKUNDI VITAKAVYOSHIRIKI KWENYE TAMASHA LA KARIBU MUSIC FESTIVAL, BAGAMOYO TANZANIA.


PANDA 1/2 (JAPAN)MARIA KATE (FRANCE)IFE PIANKHI (UGANDA)MASAYO (JAPAN)FANTUZZI (USA)SHIWE MUSIQUE (COMORO)DEMBEDE (KENYA)MBIYE EBRIMA (GUINEA)JHIKOMAN & Afrikabisa Band(TANZANIA)WAHAPAHAPA BAND(TANZANIA)SEGERE ORIGINAL (TANZANIA)BARNABA (TANZANIA)VITALIS MAEMBE (TANZANIA)THE SPIRIT BAND (TANZANIA)MAMA AFRICA (TANZANIA)CHIBITE ZAWOSE FAMILY (TANZANIA)AFRIKWETU (TANZANIA)TONGWA ENSEMBLE (TANZANIA)LEO MKANYIA (TANZANIA)COCODO BAND(TANZANIA)HOKORORO BAND (TANZANIA)LUMUMBA THEATER(TANZANIA)MSWANU...

 

9 years ago

Habarileo

Vikundi 65 kushiriki Tamasha la Sanaa

VIKUNDI 65 kutoka ndani na nje ya nchi vinatarajia kushiriki katika Tamasha la 34 la Kimataifa la Sanaa na Utamaduni la Bagamoyo kuanzia wiki ijayo wilayani Bagamoyo mkoani Pwani.

 

11 years ago

Michuzi

Tamasha la Bagamoyo Marathon lazinduliwa

Naibu Katibu Mkuu, Wizara ya Habari, Vijana Utamaduni na Michezo, Elisante ole Gabriel (kushoto) akishikana mikono na Mkurugrenzi wa Kampuni ya 4Beli, Gilbert Herman baada ya kuzindua  Tamasha la Kihistoria la Bagamoyo Wilayani  Bagamoyo, Pwani .  Anayeangalia ni,  Katibu Tawala  wa Wilaya ya Bagamoyo, John Mhali. Katibu Tawala wa Wilaya ya Bagamoyo, John Mhali alizungumza katika hafla ya uzinduzi  wa Tamasha la Kihistoria la Bagamoyo iliyofanyika Bagamoyo, Mkoani Pwani .  Wengine...

 

10 years ago

GPL

TAMASHA LA 33 LA TASUBA KUANZA 22 SEPTEMBA BAGAMOYO

Mwenyekiti wa tamasha la kimataifa la sanaa na utamaduni, Abraham Bura (kulia),  Kaimu Mkuu wa Idara ya Taaluma, Gabriel Kiiza, Mkuu wa Chuo, Michael Kadinda, na Afisa Habari, Sophia Mtakasimba.…

 

10 years ago

Mwananchi

Kila la heri Tamasha la Sanaa Bagamoyo

Jumatatu ya Septemba 22, Tamasha la 33 la Sanaa la Bagamoyo litaanza, likiratibiwa na Chuo cha Sanaa cha Bagamoyo, ikiwa ni sehemu ya kuonyesha vipaji walivyozalisha kwa mwaka huu, lakini pia ni msimu wa burudani na furaha kwa wakazi wa Bagamoyo na vitongoji vyake.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani