Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Vikundi 65 kushiriki Tamasha la Sanaa

VIKUNDI 65 kutoka ndani na nje ya nchi vinatarajia kushiriki katika Tamasha la 34 la Kimataifa la Sanaa na Utamaduni la Bagamoyo kuanzia wiki ijayo wilayani Bagamoyo mkoani Pwani.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Vikundi 50 kupimana ubavu, Tamasha Bagamoyo

Kuwa mzalendo yataka moyo; ni usemi wa Kiswahili unaoainisha namna ilivyo vigumu kwa watu kujitoa au kuonyesha mapenzi kwa taifa au kielelezo cha utaifa wake, mathalan utamaduni.

 

10 years ago

Mwananchi

Kila la heri Tamasha la Sanaa Bagamoyo

Jumatatu ya Septemba 22, Tamasha la 33 la Sanaa la Bagamoyo litaanza, likiratibiwa na Chuo cha Sanaa cha Bagamoyo, ikiwa ni sehemu ya kuonyesha vipaji walivyozalisha kwa mwaka huu, lakini pia ni msimu wa burudani na furaha kwa wakazi wa Bagamoyo na vitongoji vyake.

 

10 years ago

Michuzi

Tamasha la 33 la Sanaa lazinduliwa kwa kishindo

 Mgeni rasmi ambaye pia ni Mbunge wa Bunge la Afrika Mashariki Mhe. Makongoro Nyerere (kushoto) akifuatilia maonyesho mbalimbali yaliyokua yakiendelea wakati wa uzinduzi wa Tamasha la 33 la Sanaa lililofanyika katika Taasisi ya Sanaa na Utamaduni Bagamoyo (TaSUBa) jana, katikati ni Mtendaji mkuu TaSUBa Bw. Michael J. Kadinde na kulia ni Mkurugenzi Maendeleo ya Utamaduni Prof. Hermas Mwansoko. Mgeni rasmi ambaye pia ni Mbunge wa Bunge la Afrika Mashariki Mhe. Makongoro Nyerere kati akipiga...

 

10 years ago

Vijimambo

BAADHI YA WASANII NA VIKUNDI VITAKAVYOSHIRIKI KWENYE TAMASHA LA KARIBU MUSIC FESTIVAL, BAGAMOYO TANZANIA.


PANDA 1/2 (JAPAN)MARIA KATE (FRANCE)IFE PIANKHI (UGANDA)MASAYO (JAPAN)FANTUZZI (USA)SHIWE MUSIQUE (COMORO)DEMBEDE (KENYA)MBIYE EBRIMA (GUINEA)JHIKOMAN & Afrikabisa Band(TANZANIA)WAHAPAHAPA BAND(TANZANIA)SEGERE ORIGINAL (TANZANIA)BARNABA (TANZANIA)VITALIS MAEMBE (TANZANIA)THE SPIRIT BAND (TANZANIA)MAMA AFRICA (TANZANIA)CHIBITE ZAWOSE FAMILY (TANZANIA)AFRIKWETU (TANZANIA)TONGWA ENSEMBLE (TANZANIA)LEO MKANYIA (TANZANIA)COCODO BAND(TANZANIA)HOKORORO BAND (TANZANIA)LUMUMBA THEATER(TANZANIA)MSWANU...

 

10 years ago

Michuzi

UTANDAWAZI GROUP KUNOGESHA TAMASHA LA SANAA BAGAMOYO

NA ANDREW CHALE, BAGAMOYO
KUNDI maalufu la ngoma asili la Utandawazi Theater Group ‘Matwigachallo’ jioni ya kesho wanatarajiwa kuwasha moto wa aina yake kwenye tamasha la Kimataifa la 33 la Sanaa na Utamaduni Bagamoyo, lililoanza Septemba 22 mwaka huu kwenye viunga vya chuo hicho.
Kwa mujibu wa Mwenyekiti wa tamasha hilo, Abmic am Bafadhil ‘Bura’ alieleza kuwa, kundi hilo ambalo kwa sasa limejizolea umaalufu mkubwa ndani na nje ya Tanzania, linatarajiwa kutoa burudani ya ngoma za asili...

 

9 years ago

Mtanzania

Bongo Fleva wakacha Tamasha la Sanaa Bagamoyo

BONGO FLEVANA FESTO POLEA

TAMASHA la 34 la kimataifa la Sanaa na Utamaduni Bagamoyo lililoanzishwa mwaka 1981 na Chuo cha Sanaa Bagamoyo (kwa sasa Taasisi ya Sanaa na Utamaduni Bagamoyo), linatarajiwa kufanyika kwa siku sita katika viwanja vya chuo hicho bila ya kuwa na ushiriki wa wasanii wa Bongo Fleva.

Mwenyekiti wa Tamasha hilo, John Mponda, alilieleza MTANZANIA kwamba hakuna msanii wa Bongo Fleva yeyote aliyejitokeza kuomba kushiriki katika tamasha hilo, jambo ambalo linaonyesha kutokuwa na...

 

9 years ago

Mtanzania

Tamasha la Sanaa Bagamoyo latinga siku ya pili

WAKATI Tamasha la 34 la Kimataifa la Sanaa na Utamaduni Bagamoyo likiwa limeanza jana kwa maandamano ya kuzunguka mitaa mbalimbali ya mji wa Bagamoyo, leo wadau mbalimbali wa sanaa wanapata mafunzo ya kupinga rushwa yanayoratibiwa na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru).

Katika warsha hiyo pia mabalozi wanaowakilisha nchi mbalimbali, maofisa kutoka ofisi mbalimbali na wizara mbalimbali wamealikwa ili kupata mafunzo hayo yatakayosaidia kupinga na kukabiliana na rushwa hasa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani