TAMASHA LA SANAA BAGAMOYO KUANZA SEPTEMBA 21-27
![](http://1.bp.blogspot.com/-h7TIJo5fj3Q/Vd2LGxLMEhI/AAAAAAAH0Io/PoHhNgG57Ic/s72-c/unnamed%2B%252848%2529.jpg)
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziTAMASHA LA SANAA NA UTAMADUNI KUFANYIKA SEPTEMBA 22-28-2014 WILAYANI BAGAMOYO
TAASISI ya sanaa na utamaduni Bagamoyo (TaSUba) imeanadaa tamasha la 33 lenye lengo la kukuza mila na desturi za watanzania.
Katika ...
10 years ago
GPLTAMASHA LA SANAA NA UTAMADUNI KUFANYIKA SEPTEMBA 22-28, 2014 WILAYANI BAGAMOYO
9 years ago
MichuziTAMASHA LA KIMATAIFA LA SANAA NA UTAMADUNI KUFANYIKA SEPTEMBA 21-27, 2015 WILAYANI BAGAMOYO
10 years ago
GPLTAMASHA LA 33 LA TASUBA KUANZA 22 SEPTEMBA BAGAMOYO
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-7SoSD7S8qio/UwuNPXCw0aI/AAAAAAAFPRQ/szJ5e9woZYQ/s72-c/unnamed+(2).jpg)
Kumekucha! Maandalizi ya Tamasha la Kimataifa la 33 la Sanaa na Utamaduni Bagamoyo Septemba 2014 yaanza mapemaaaa!
![](http://1.bp.blogspot.com/-7SoSD7S8qio/UwuNPXCw0aI/AAAAAAAFPRQ/szJ5e9woZYQ/s1600/unnamed+(2).jpg)
Na Andrew Chale, Bagamoyo
TAMASHA la Kimataifa la Sanaa na Utamaduni Bagamoyo ambalo kwa mwaka huu (2014) litakuwa la 33, ambapo linatarajia kulindima kwa siku saba, kuanzia Septemba 22 hadi 28, kwenye viunga vya Chuo cha Sanaa Bagamoyo.
![](http://3.bp.blogspot.com/-uGyfaVYssAQ/UwuNPmarSKI/AAAAAAAFPRY/H2hZsSb4PEQ/s1600/unnamed+(3).jpg)
Tamasha hilo la 33, mwaka huu, lenye kauli mbiu, “Sanaa na Utamaduni katika kukuza Utalii”, limekuwa msaada mkubwa kwa wasanii na vikundi mbali mbali kujitangaza kitaifa na kimataifa pamoja na kutoa fursa za kibishara katika kipindi chote cha...
9 years ago
Dewji Blog21 Sep
Tamasha la 34 la Kimataifa la Sanaa na Utamaduni Bagamoyo kuanza rasmi leo
Ratiba Ya Ufunguzi Wa Tamasha 2015 by andrewchale
10 years ago
Mwananchi20 Sep
Kila la heri Tamasha la Sanaa Bagamoyo
9 years ago
Mtanzania18 Sep
Bongo Fleva wakacha Tamasha la Sanaa Bagamoyo
NA FESTO POLEA
TAMASHA la 34 la kimataifa la Sanaa na Utamaduni Bagamoyo lililoanzishwa mwaka 1981 na Chuo cha Sanaa Bagamoyo (kwa sasa Taasisi ya Sanaa na Utamaduni Bagamoyo), linatarajiwa kufanyika kwa siku sita katika viwanja vya chuo hicho bila ya kuwa na ushiriki wa wasanii wa Bongo Fleva.
Mwenyekiti wa Tamasha hilo, John Mponda, alilieleza MTANZANIA kwamba hakuna msanii wa Bongo Fleva yeyote aliyejitokeza kuomba kushiriki katika tamasha hilo, jambo ambalo linaonyesha kutokuwa na...