Tamasha la 33 la Sanaa lazinduliwa kwa kishindo
Mgeni rasmi ambaye pia ni Mbunge wa Bunge la Afrika Mashariki Mhe. Makongoro Nyerere (kushoto) akifuatilia maonyesho mbalimbali yaliyokua yakiendelea wakati wa uzinduzi wa Tamasha la 33 la Sanaa lililofanyika katika Taasisi ya Sanaa na Utamaduni Bagamoyo (TaSUBa) jana, katikati ni Mtendaji mkuu TaSUBa Bw. Michael J. Kadinde na kulia ni Mkurugenzi Maendeleo ya Utamaduni Prof. Hermas Mwansoko.
Mgeni rasmi ambaye pia ni Mbunge wa Bunge la Afrika Mashariki Mhe. Makongoro Nyerere kati akipiga...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-AkCauQmuHjg/U-hDHxQjTcI/AAAAAAACnIY/Bhp9oDESLs8/s72-c/33.jpg)
TAMASHA LA SERENGETI FIESTA 2014 LAZINDULIWA KWA KISHINDO JIJINI MWANZA.
![](http://2.bp.blogspot.com/-AkCauQmuHjg/U-hDHxQjTcI/AAAAAAACnIY/Bhp9oDESLs8/s1600/33.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-ytRZxhNfubk/U-hDIn7mCyI/AAAAAAACnIk/Xs2caruUbfQ/s1600/34.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-3jjuX4STzr8/U-hFQcPEIiI/AAAAAAACnJ0/Wn-F2AGey2U/s1600/1+(2).jpg)
11 years ago
MichuziTamasha la Bagamoyo Marathon lazinduliwa
9 years ago
MichuziMSIMU MPYA WA TAMASHA LA MTIKISIKO LAZINDULIWA IRINGA
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Vx9eeFFwZII/VOG2Q-InKKI/AAAAAAACz4s/LlUutAwbxoA/s72-c/1.jpg)
TAMASHA LA PASAKA KUTIMIZA MIAKA 15 KWA KISHINDO,KUHUSISHA SHUGHULI MBALIMBALI ZA KIJAMII
![](http://4.bp.blogspot.com/-Vx9eeFFwZII/VOG2Q-InKKI/AAAAAAACz4s/LlUutAwbxoA/s1600/1.jpg)
Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama Promotion inayoandaa Tamasha la Pasaka Bw. Alex Msama amezungumza na waandishi wa habari katika ofisi zake zilizopo kinondoni Moroco hapo jana,kuhusiana na maandalizi ya tamasha hilo kwa mwaka huu, Msama amesema tamasha hilo mwaka huu pamoja na kuwepo waimbaji wa muziki wa ...
9 years ago
Habarileo18 Sep
Vikundi 65 kushiriki Tamasha la Sanaa
VIKUNDI 65 kutoka ndani na nje ya nchi vinatarajia kushiriki katika Tamasha la 34 la Kimataifa la Sanaa na Utamaduni la Bagamoyo kuanzia wiki ijayo wilayani Bagamoyo mkoani Pwani.
10 years ago
Mwananchi20 Sep
Kila la heri Tamasha la Sanaa Bagamoyo
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-h7TIJo5fj3Q/Vd2LGxLMEhI/AAAAAAAH0Io/PoHhNgG57Ic/s72-c/unnamed%2B%252848%2529.jpg)
9 years ago
Mtanzania18 Sep
Bongo Fleva wakacha Tamasha la Sanaa Bagamoyo
NA FESTO POLEA
TAMASHA la 34 la kimataifa la Sanaa na Utamaduni Bagamoyo lililoanzishwa mwaka 1981 na Chuo cha Sanaa Bagamoyo (kwa sasa Taasisi ya Sanaa na Utamaduni Bagamoyo), linatarajiwa kufanyika kwa siku sita katika viwanja vya chuo hicho bila ya kuwa na ushiriki wa wasanii wa Bongo Fleva.
Mwenyekiti wa Tamasha hilo, John Mponda, alilieleza MTANZANIA kwamba hakuna msanii wa Bongo Fleva yeyote aliyejitokeza kuomba kushiriki katika tamasha hilo, jambo ambalo linaonyesha kutokuwa na...