MSIMU MPYA WA TAMASHA LA MTIKISIKO LAZINDULIWA IRINGA
RADIO Ebony Fm yenye makao yake makuu mkoani Iringa kupitia kipindi chake cha mchana "THE SPLASH" imezindua rasmi hewani (on air launching) msimu mwingine wa kila mwaka wa tamasha maarufu kwa mikoa ya Nyanda za Juu Kusini linalokwenda kwa jina la "MTIKISIKO" ambalo linatarajiwa kuanza katikati ya mwezi huu na kupita karibu sehemu zote inaposikika redio hiyo baadhi ya picha za watangazaji wakiwa katika shangwe za uzinduzi huo.(PICHA zote na Denis Mlowe)
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
MichuziTamasha la Bagamoyo Marathon lazinduliwa
11 years ago
MichuziTamasha la 33 la Sanaa lazinduliwa kwa kishindo
11 years ago
Tanzania Daima18 Apr
Ni mtikisiko Tamasha la Pasaka Jumapili Uwanja wa Taifa
UHONDO wa Tamasha la kimataifa la muziki wa Injili la Pasaka ambalo limekuwa likifanyika kila mwaka tangu mwaka 2000 chini ya Kampuni ya Msama Promotions Ltd ya jijini Dar es...
9 years ago
Dewji Blog18 Nov
Tigo yadhamini Tamasha kubwa la Mtikisiko mjini Songea
Wasanii chipukizi wa Songea, Mary na Mwana King Nizo wakitumbuiza kwenye Tamasha la Mtikisiko lililofanyika uwanja wa Majimaji Mjini Songea . Tamasha liliodhmaniwa na Tigo lenye lengo la kupiga vita maambukizi ya Virusi vya Ukimwi (VVU).
Kikundi cha Ruvuma Kings toka songea kikitumbuiza kwenye Tamasha la Mtikisiko lililofanyika uwanja wa Majimaji Mjini Songea . Tamasha hilo liliodhmaniwa na Tigo lenye lengo la kupiga vita maambukizi ya Virusi vya Ukimwi (VVU).
Sehemu ya wateja wa tigo...
10 years ago
Michuzi17 Apr
KIWANDA CHA TUMBAKU MOROGORO CHAFANYA SHERERE KUFUNGA MSIMU NA KUFUNGUA MSIMU MPYA
11 years ago
Michuzi
TAMASHA LA SERENGETI FIESTA 2014 LAZINDULIWA KWA KISHINDO JIJINI MWANZA.


.jpg)
10 years ago
MichuziMwakalebela mgeni rasmi Tamasha la Krismasi Iringa
Kwa mujibu wa Mwenyekiti wa Kamati ya Maandalizi ya tamasha hilo, Alex Msama Mwakalebela anatarajia pia kuwaongoza waumini mbalimbali mkoani humo kwa lengo la kumtukuza Mungu kupitia waimbaji mbalimbali hapa nchini.
Msama alisema Mwakalebela atafanikisha lengo la kusaidia wenye uhitaji maalum kama Yatima, Wajane na walemavu...
11 years ago
Tanzania Daima05 Apr
Fid Q, Ben Pol kupamba tamasha Iringa
WASANII wa Bongo wanaofanya poa katika muziki wa kizazi kipya, Mfalme wa hip hop, Farid Kubanda ‘Fid Q’, Mfalme wa Rnb, Ben Paul na mshindi wa tuzo tatu za Kilimanjaro...
9 years ago
MichuziTAMASHA LA MITIKISIKO 2015 LAACHA HISTORIA MKOANI IRINGA