Tigo yadhamini Tamasha kubwa la Mtikisiko mjini Songea
Wasanii chipukizi wa Songea, Mary na Mwana King Nizo wakitumbuiza kwenye Tamasha la Mtikisiko lililofanyika uwanja wa Majimaji Mjini Songea . Tamasha liliodhmaniwa na Tigo lenye lengo la kupiga vita maambukizi ya Virusi vya Ukimwi (VVU).
Kikundi cha Ruvuma Kings toka songea kikitumbuiza kwenye Tamasha la Mtikisiko lililofanyika uwanja wa Majimaji Mjini Songea . Tamasha hilo liliodhmaniwa na Tigo lenye lengo la kupiga vita maambukizi ya Virusi vya Ukimwi (VVU).
Sehemu ya wateja wa tigo...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog13 Nov
Tigo yadhamini tamasha kubwa la muziki mikoa ya kusini
Mkurugenzi wa Kampuni ya Tigo wa Nyanda za Juu Kusini, Jackson Kiswaga (katikati walioketi) akielezea sababu za kampuni hiyo kudhamini tamasha la muziki (Mtikisiko) kwa mikoa ya Nyanda za Juu Kusini, Tamasha hilo litakalofanyika Songea, Njombe, Iringa na Mbeya kuanzia
kesho tamasha hilo limeandaliwa na Redio Ebony FM ya mjini Iringa na kudhaminiwa na Kampuni ya Tigo.
Sehemu ya waandishi wa habari wakimsikiliza Mkurugenzi wa Kampuni ya Tigo wa Nyanda za Juu Kusini, Jackson Kiswaga.
Kampuni...
10 years ago
Dewji Blog02 Jun
Tigo yadhamini tamasha la Mnazi Mkinda
Meneja Uhusiano wa Kampuni ya Tigo John Wanyancha akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) kuhusu tamasha la Mnazi Mkinda lenye lengo la kuendeleza vipaji kwa Wanafunzi wa Shule za Msingi Wilayani Ilala, tamasha hilo linategemewa kufanyika Juni 2-3 mwaka huu, kushoto kwake ni Afisa Elimu wa Wilaya ya Ilala Bi Elizabeth Thomas.
Meneja Uhusiano wa Kampuni ya Tigo John Wanyancha akifafanua jambo wakati akiongea na waandishi wa habari kuhusu tamasha la Mnazi Mkinda lenye lengo la...
10 years ago
Dewji Blog04 Jun
Tigo yadhamini Tamasha la Mnazi Mkinda 2015
Wanafunzi wa Shule mbalimbali za msingi Manispaa ya Ilala jijini Dar es Salaam wakiingia kijeshi katika Viwanja Vya Mnazi Mmoja wakati Tamasha la Mnazi Mkinda.
Vijana wakitoa heshima ya saluti.
Maandamano ya wanafunzi yakitoa salamu jukwaa kuu.
Mgeni rasmi Katibu Tawala wa mkoa wa Dar es Salaam, Kiduma Mageni akikagua gwaride la wanafunzi lililoandaliwa rasmi wakati wa Tamasha la Mnazi Mkinda 2015.
Meneja Mawasiliano kutoka Tigo, Bwana John Wanyancha (wa pili kushoto) akijumuika na...
10 years ago
Dewji Blog27 Oct
Tamasha kubwa la Tigo welcome pack lafana mkoani Arusha
Wasanii wa kikundi cha Ngoma cha Manyara Group Mkoani Arusha kikiwapa burudani wakazi wa mkoa huo waliofurika kwenye uwanja wa Sheikh Amri Adeid mwishoni mwa wiki kushuhudia tamasha la Tigo welcome pack, Kampuni ya Tigo imeanzisha kifurushi cha welcome pack kitakachomwezesha mtumiaji wa Tigo kupata muda wa maongezi wa dakika 20, MB175, SMS bila kikomo na pesa shilingi mia 500 kwenye akaunti yake ya Tigopesa, yote hayo kwa shilingi 1000 mteja atakaponunua laini yake ya Tigo.
Wasanii wa...
10 years ago
Dewji Blog20 Jul
TIGO yatoa zawadi ya sikukuu ya Eid kwa wakazi wa Mbagala, yafavya tamasha kubwa
Msanii mpya kwenye Game mwanadada Rapa Chemical, akipiga bonge ya shoo iliyowasisimua mashabiki walikuja kuona tamasha la Tigo viwanja vya zakhem Mbagala.
Msanii wa bongo fleva Amini, akitoa burudani kwenye Tamasha la Tigo la sikukuu ya Eid lililofanyika viwanja vya Zakhem Mbagala jana.
Msanii wa bongo fleva Belle 9, akitoa burudani kwenye Tamasha la Tigo la sikukuu ya Eid lililofanyika viwanja vya Zakhem Mbagala jana.
10 years ago
Dewji Blog01 Dec
Tamasha la Tigo Welcome Pack lapagawisha Mjini Kigoma
Msanii Alex Chalamila maarufu kama MCRegan akiburudisha katika tamasha la kuhamasisha matumizi ya mtandao wa simu ya mkononi ya Tigo lililofanyika kwenye uwanja wa Lake Tanganyika mjini Kigoma.
Msanii nguli wa hiphop nchini Joseph Haule a.k.a Prof J akitumbuiza kwenye tamasha la Tigo welcome pack huku akisindikizwa na wasanii wa kundi la Origional Comedy kwenye uwanja wa Lake Tanganyika mjini Kigoma.
Msanii wa Bongo Flava Sunday Mjeda (Linex) akitumbuiza kwenye tamasha la Tigo welcome...
10 years ago
Michuzi26 Dec
PAMOJA NA MVUA KUBWA, TAMASHA LA KRISMAS LAACHA HISTORIA MJINI IRINGA
![1](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/12/124.jpg)
10 years ago
Michuzi10 Nov
TAMASHA LA TIGO LAFANA BUKOBA LEO! WASANII WA ORIGINAL COMEDY WAFUNIKA MJINI BUKOBA!
![](https://fbcdn-sphotos-h-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xpf1/v/t35.0-12/10752811_770834002964751_455102368_o.jpg?oh=1b89da316447ce5456c59eea956c7805&oe=5462769C&__gda__=1415735297_d1eda4e9eae9628497d28db49c7d9c9c)
![](https://fbcdn-sphotos-h-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xpf1/v/t35.0-12/10756902_770833936298091_1412211642_o.jpg?oh=df5bd8d068977a689b210b8b030473d2&oe=54628C36&__gda__=1415725734_19a16af4460517cf12be00f2e2781bad)
![](https://fbcdn-sphotos-h-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xpf1/v/t35.0-12/10756381_770834029631415_705668584_o.jpg?oh=eda6bf3b244a53b846c4ed32f0f6e2fa&oe=546162C3&__gda__=1415747358_87e2c5577877db45dcbb9fd81e7630bf)
![](https://fbcdn-sphotos-h-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xpf1/v/t35.0-12/10800141_770834039631414_1976091569_o.jpg?oh=a5c1771383731ea0acdec7b125bfb108&oe=5462418C&__gda__=1415741276_4f4754d09da2f2a78b6ba91df65c7aca)
![](https://fbcdn-sphotos-h-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xpf1/v/t35.0-12/10804803_770834756298009_337901727_o.jpg?oh=fc23a3cb26948c1c8b3bb68c6a3b9f28&oe=546265DB&__gda__=1415723846_a1f865015e7f299d994a377bf2b88c91)
![](https://fbcdn-sphotos-h-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xpf1/v/t35.0-12/10754454_770834052964746_574637670_o.jpg?oh=51a663cd977916c2986e45856d0b26c7&oe=54627FCE&__gda__=1415672915_40d4df5bbec4f4c60f793846c11033ca)
11 years ago
GPL27 Jan
WILLIAM MPINGA AKIONGELEA KUHUSU MTIKISIKO ULIOTOKEA KATIKA JENGO LA OFISI ZA TIGO